balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Wanene busara ..............zaidi yangu Mimi na wewe Hakunagaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na usahaulifu,ukosefu Wa busara na uzembeeeWanaume wanaogopa vingi sana. Pamoja na hizo sababu tajwa hapo juu kuna hizi pia,
Kununua kitanda kikubwa, kuchekwa, kuogopa mwanamke bonge kuzeeka haraka, harufu mbaya kutokana na maumbile hayo n.k
Tatizo kubwa kwa kuwa mna makalio makubwa hua mnajiona kama mmepaki benz au bugatti hivyo mnaanza kuringaaaa kumbe ni hovyo kabisa mnafuga fangasi tu katikati ya hiyo minyamaNimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
Nakuunga mkono!jimwili hata kwenye paso hakai sasa wa kazi ganMiili minene inavutia tu kuangalia akiwa kavaa nguo.akivua inabore sana.
Wewe unapenda fangasi tuuAcheni masihara bana usicheze na mtoto aliyejaaliwa mzigo mkubwa nyuma.weee,ni shida ase.
kila kitu kina saizi yake,sasa kalio liko kama furushi la nguo nani anataka mizigo,kalio likizidi sana huwa unalimezea mate tu kuliona likikatiza mbele yako ila kuliweka ndani duuuuh halifaiNimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
Tatizo wanawake wa namna hii ni kivutio kwa wanaume wengi na wao wameshindwa kuvivumilia kwasababu mara nyingi huangukia kwenye wanaume wenye pesa. Huendelea kudhani wataendelea kushobokewa siku zote wakati umri unasogea. Wakija kugutuka wametumika muda mrefu wanaanza kusema vijana hawatutokei. Wanakuwa wamewazidi vijana tayari. Halafu kwasababu wao wanapenda pesa ni vigumu kuwapata vijana wenzao kwasababu bado wanatafuta pesa na walio na pesa tayari wameoa. Kwa ufupi wanakuwa na tamaa zinazopelekea wao kutumika. Kwa wanaojitambua hata kama ni wanene wanaolewa tu.Wewe mwenyewe umeji-devalue
Kama unakuwa na mme wa mtu sababu wew ni reject kwa singles, basi utakuwa reject siku zote
Wenzako wanakuwa na wamme za watu kwa faida, wewe unakuwa nao kwa sababu ni reject? Really?
Labda una miaka mingapi?
Hii inahusiana na self esteem yako, ifanyie kazi kwanza
Ndio wanamme wengine watakuona.
Kama unahisi tatizo ni unene basi punguza kiasi fulani cha kg ili kuboresha self esteem.
HahahahahahWatu wanatumia 'mini kabang' wewe unaleta 'kabang'! Unategemea nn?!!
Nimecheka ila ni kweli.hahaa ndo maana mdau mwenyewe kasema wanaongoza kuwa vimada cos wanaowatamani ni wengi,wakimaliza haja zao(kubofya) wanasepa......