Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli mkuuninachofahamu ni kwamba wengi wa wanaume wanahitaji wanawake wanaoweza kuwahandle,ni vigumu kumhandle mwanamke wa sample kama hiyo that's y most of the men decide to marry portable wife(easy to handle,portable to carry).
Jarib kua sirias hruf mbaya unene havina uhusiano mpigie mwalim wako akukumbusheTetea hoja yako na wewe.
Yalikukuta?
Naomba uitetee hoja yako.
Mwili mnene na harufu vina uhusiano?
Naomba unifafanulie mkuu BUCHANAGANDE.
Duh!!!Ndoa sio makalio wala unene, ingelikua hivyo Dokii na Asha book wasingetanga tanga
Kila mwanaume anakuwa anawatamani hii inafanya mshawishike kuwakubali wanaume wengi na mwanaume akishajua hujatulia anashindwa kuweka kambi kwa kujua utamsumbua kwenye ndoaNimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
Hahahaha uliwatisha sana tangia enzi hizo mpaka sasa hawajielewi ujue mkuu🤣🤣Anzeni kutongoza wanaume ila mjiandae ku cope na majibu ambayo huwa yanatolewa unapotongoza...
Una ujumbe mzuri lakini hujaweka vituo wala kufuata mantiki ili uweleke vizuri mkuu.Kila mwanaume anakuwa anawatamani hii inafanya mshawishike kuwakubali wanaume wengi na mwanaume akishajua hujatulia anashindwa kuweka kambi kwa kujua utamsumbua kwenye ndoa
Madame.....nakuona mamii🌹Duh!!!
Nami nakuona kipenzi changu 😍Madame.....nakuona mamii🌹
Njoo unitembelee ili ule mema ya nchi 🌹Nami nakuona kipenzi changu 😍
Kuna kipindi vitambi venu hua haviondoki yaan unaishi ndani na Mwanamke ana kitambi kweli kitambi makalio yamejaa na kitumbo kimejaa na mimba hana? Alafu titi sasa likishadondoka ndala ndala sio ndala yaan hapo haujazaa mtoto hata mmoja titi lishaanguka, sura nzuri tako zuri ila sasa kitambi na titi ndala zikasome hapo unakuta umri wako ndogo Ila ndio hivyo2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
Kila mtu ana mzigo wake kwanini mm nibebe mzigo wakoNimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
Kuna kipindi vitambi venu hua haviondoki yaan unaishi ndani na Mwanamke ana kitambi kweli kitambi makalio yamejaa na kitumbo kimejaa na mimba hana? Alafu titi sasa likishadondoka ndala ndala sio ndala yaan hapo haujazaa mtoto hata mmoja titi lishaanguka, sura nzuri tako zuri ila sasa kitambi na titi ndala zikasome hapo unakuta umri wako ndogo Ila ndio hivyo
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
wanaogopa shepuNimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.