Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.
Aizee huyu Mama Wa Mgawaha amzing hapa Mbezi Beach ni hatari.

Ana Kiuno kama vile amebeba Kamtungi fukani kako Spherical in shape.

Mpaka leo naamini ana wanaume wengi sana.

Maana hajaolewa nikijiuliza Sababu sipati maana hata mimi sina mpango wa kumuoa.
 
Aizee huyu Mama Wa Mgawaha amzing hapa Mbezi Beach ni hatari.

Ana Kiuno kama vile amebeba Kamtungi fukani kako Spherical in shape.

Mpaka leo naamini ana wanaume wengi sana.

Maana hajaolewa nikijiuliza Sababu sipati maana hata mimi sina mpango wa kumuoa.
Ila unamega
 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.
Njoo inbox tuyajenge,...huwa nawapenda mno wanawake kama nyie😋😋,..tebo tebo lah!🎶,..tebo tebo lah🎵
 
Njoo inbox tuyajenge,...huwa nawapenda mno wanawake kama nyie[emoji39][emoji39],..tebo tebo lah![emoji445],..tebo tebo lah[emoji444]
Eeeh umeona umalize kabisa tatizo lake[emoji23][emoji23]
 
Tafuteni hela,haiwezekani wewe ni kibonge alafu huna hela utaishia kusalitiwa
 
%kubwa ya mabonge ni wachafu hawawezi kujiosha vizuri
 
si kila wakati mnene anakuwa mzito.. Kuna tofauti kati ya unene na uzito.. Nikupe mfano wa gunia la ujazo mmoja la pamba na gunia la chuma
Kipi kizito Kati ya pamba kilo 50 na mchanga kilo 50 ?
 
Back
Top Bottom