Waambie wapunguze kujiamini kupita kiasi huko nako kunapelekea mwanaume ajione Mdogo .ifahamike hakuna mwanaume anafurahia kuwa chini ya mwanamkeAnzeni kutongoza wanaume ila mjiandae ku ifahamikajibu ambayo huwa yanatolewa unapotongoza...
Duuuh, ngoja nitaanza kumfuatilia wife nionemnajidhalilisha. hivi unafikiri mwanaume gani utampa 0713 halafu akuoe?. sio wote wanene ambao hawaolewi, wanao jielewa wameolewa. mabonge wengi wavivu. unakuta ananawa miguu, mikono na uso kisha anaondoka bila hata kuoga sana sana atajipulizia manukato. acheni kujirahisisha. mabonge nmapenda kula ovyo ovyo, mahindi,karanga,papai, twist, parachichi, soda nk tena barabarani huku akitembea. mtu bonge nyama zimebebana kiasi kwamba akioga inabidi awe anainua nyama za tumbo na kusugua vingenevyo atanuka. mia
Jamani,upo?Hili ni tangazo la biashara tofauti na matangazo mengine hili halijalipiwa airtime...
Haya dada umesikika na wale wanaopenda wanawake wanene watakutafuta PM na utashangaa namna utavyopata wateja wengi...
Sorry Lakin ukichua mwanamke mwembamba thn akija kuzaa ataongezeka kiasi Lakin ukichukua tukunyema kabla hajazaa ndugu yangu akija kuzaa si atakuwa balaa..kuhusu usafi no point hapo, usafi tabiaNdo mana waki-comment nawauliza maswali wanakimbia.
Wavute picha miaka 10 nyuma kabla wake zao hawajazaa, walikuwa na maumbo gani?
Tatizo wanaume wengi wanafata mkumbo, akianza mmoja kwenda against na mada, basi woote watakaofuatia watamsapoti wa awali, hata kama Ukweli anaujua.
Na nina uhakika wanaume waliokuja kusema kuwa hawawapendi wanawake wanene, ukienda majumbani mwao, ndio haohao wamewaweka ndani.
Ila hapa jukwaani hufuata mkumbo.
Mkuu unako ako kavideo clip unitumieWe dadake Assutu haupo sawa, me mwenyewe napenda miss Bantu wallah.. Wanawake waliojazia jazia Neema za Allah...
NiPM Nama Yako nikutumie kwa watsapp Mkuu!Mkuu unako ako kavideo clip unitumie
ukifunikwa na mtindi lazima afe hamna namnaSasa we mwili mkubwa, kalio kubwa na mara nyingi wa hivi, na nyonyo nayo huwa kubwa, hivi ukinikumbatia mimi kimbaumbau si utaonekana umelala peke yako? Halafu huo mkumbatio unaweza ukanikosesha pumzi na mwisho nikafa.... Sasa kujiepusha na kifo nawakwepa