Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

daaaaaaaaaahhh punguza ukali wa maneno jamaaangu hata hao wanene ni watu pia wanaohitaji kuheshimiwa jamani daaahh huyo mnene aweza kuwa dadaako,shemeji au hata mama yako,kwanza naomba anikuulize umeoa wewe?kama hujaoa bado naomba nikupe ushauri huu mfupi usimcheke maba kabla hujavuka mto,na kama umeoa kiportable ufahamu kuanzia leo kuwa wanawake hawana maumbo permanent hata siku moja leo portable kesho huyo kifutu eiza kwa sababu ya njia za mpango au uzazi na mabo mengine mengi sa sijui ndo utampa talaka?,i hope utakuwa umenisoma mkuu.
sure wananuka .1.wanatoa jasho muda wote.2.wanamanyamanyama na mikunjo hivyo hawawezi kuoga wakamaliza uchafu mwilini au kujifuta uchafu wote wamalizapo kuoga.i hate them.
 
Umetumia kipimo gani?

check hii
Inategemea na urefu wako na figure yako!!!!!!!!! Wkurya iko enda hewani sanaaa, najazia kwenye guu na paja zao na ile kalio ila haiko na nyonyo kabisaa wala tambi na kono nyembamba na iko nzito sanaaaa hadi kg 90 coz fupa yoa iko ndefu na zito! Na haina nyama uzembe hata kidogo!

Ila mutu ya pwani iko fupi naweza kuta na kilo 60 ila iko jaa nyama uzembe kila sehemu ya mwili.
nakuunga mkono lara1
 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.

Dah haya mambo yangu haya I see, binafsi nawapenda sana niwe muwazi mi vimbau mbau havina nafasi kwenye hifadhi ya moyo wangu, napenda mwili nyumba, kalio hilo mtoto anasimama kwenye kalio au akisimama chini wakati mvua inanyesha halowi kabisa.
 
Dah haya mambo yangu haya I see, binafsi nawapenda sana niwe muwazi mi vimbau mbau havina nafasi kwenye hifadhi ya moyo wangu, napenda mwili nyumba, kalio hilo mtoto anasimama kwenye kalio au akisimama chini wakati mvua inanyesha halowi kabisa.

Mpwa nilijua hapa hukosi aisee!
 
Dadake Asuttu ...kama avatar yako uloweka ni wewe mwenyewe mbona siuoni huo unene?...sanasana naona una tigo safiii na kijimbo namba 8 flan..kati ya vile vitu nivipendavyo....kama ni kweli wakaribishwa pm uachane na waume za watu uwe na wako ila kama mke mdogo.
 
Wamme za watu mnakaribishwa na saplaya mpya wa turbo
cc watu8

Ndio kashajitangaza hivyo...si unajua mwanamke mwili bhanaa, kalio likitikiswa litikisike sio lishupae kama kinu, hata kitwangwe vipi kipo pale pale
 
Last edited by a moderator:
Ndio kashajitangaza hivyo...si unajua mwanamke mwili bhanaa, kalio likitikiswa litikisike sio lishupae kama kinu, hata kitwangwe vipi kipo pale pale

hahaha hii metaphor yako hii itakunyima papuchi watu8 ohooo
 
Last edited by a moderator:
Wamejiweka mkao kuliwa hasa kwa mavazi yao. Afu wanapofatwa sana wanaona raha kutoa huduma kwa wateja wengi. Nani akae?!
 
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a)Miili yetu imepitwa na wakati,
(b)Labda wanadhani tutashindwa mechi
.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a)Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.

NALILETA MEZANI TULIJADILI
.

Aiseee tumejua ya Kuwa unamakalio makuuuuuuubwaa! Subiri PM utazipata za kutosha kwani tangazo lako limebamba!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hahahah....
Siye watu wa pwani hupendelea vile vitu vinavyo vaibreti na kurindima mithili bata mzembe...halafu uwe unavikong'otea wakati vyombo"ndyofu" vishakubali...
Hao walioshupaa ngongingo kama kipande cha muwa wala hawapagawishi anaweza hata kukufia bure wakati wa kumpigisha kwata ukanunua kesi...


CC: Fidel80
hahaha hii metaphor yako hii itakunyima papuchi watu8 ohooo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom