cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaota ndoto shtuka utajijolea ohh [emoji81][emoji81]
Nyie vifupi, mna gubu, vichoyo na vichawi [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaota ndoto shtuka utajijolea ohh [emoji81][emoji81]
Nyie vifupi, mna gubu, vichoyo na vichawi [emoji1787]
Dah nimelia sana 😭Unaota ndoto shtuka utajijolea ohh 😹😹
Nyie vifupi, mna gubu, vichoyo na vichawi 🤣
Toka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia mcheza mpira mkubwa Tanzania ligi kuu ni mpare kwanini?
Naomba serikali ifanye utafiti.
Bado hujalia vizuri 😹Dah nimelia sana 😭
Gadiel Michael MbagaHahaha, na kweli sijawahi sikia mchome, mbaga, mndeme. Ila nadhani hata wachaga na wamasai ni wachache, mara chache sana kusikia Lymo, mushi, saitoti, Mollel... Nadhani kaskazini na mpira kidogo ni changamoto.
Mungu hakuwanyima vyote aliwapa kipaji mwanana chaubahili uliopitilizaToka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia mcheza mpira mkubwa Tanzania ligi kuu ni mpare kwanini?
Naomba serikali ifanye utafiti.
Shukraan.Gadiel Michael Mbaga
Ni vile kiasili mko bahili mno, so kuna vitu vingi huwa mnaviondoa kwenye maisha yenu ya kila siku. Hata soka mmeondoa, mnaona kama kupoteza hela tu.Toka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia mcheza mpira mkubwa Tanzania ligi kuu ni mpare kwanini?
Naomba serikali ifanye utafiti.
Au nimesema uongo mh mshanduaji?😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sana sana nawaona Wapo kweny mzik tu ndo wa kinaToka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia mcheza mpira mkubwa Tanzania ligi kuu ni mpare kwanini?
Naomba serikali ifanye utafiti.
Yupo Mshana Jr anawawakilisha watani zangu wapare kwani anacheza ligi kuu ya Tanzania bara kwa akiwa na timu ya wachawi FC.Aiseee ila kweli
Hakuna Mpare aitwae Massawe.Yupo jacob masawe....namungo
Nadhani nilikuwa najibu kuhusu wachaga....Hakuna Mpare aitwae Massawe.