Kwanini soko kuu lililoungua Mbeya Mjini hadi leo halijajengwa?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Wakuu poleni na janga la moto Kariakoo. Janga hilo limenikumbusha kuungua kwa soko kuu la mjini kati Mbeya. Ni kama miaka 10 hivi imepita toka liungue. Kwanini hadi leo halijajengwa?

Kweli kwenye baraza la jiji hakuna mwenye akili akaona huo ni uzembe wa hali ya juu? Kama soko limeungua si kinachotakiwa kujengwa ni soko? Sasa nini kinakwamisha?

Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
 
Soko la Mwanjelwa si lilishajengwa mkuu? Au unazungumzia soko la Uhindini?
 
Huko ni kwa wapinzani, tunawakomesha
 
uliza moja kwa moja kwa SUGU aka Jongwe

kwanini hakuwahi lijenga soko hili
 
kuna soko mbeya mjini liliungua miaka mingi nyuma saizi eneo lile wamegeuza parking tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…