Yo majesty
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 687
- 1,179
Sema nini mwanamke awe mfupi na mtraaakooo kama niffer inapendeza.ila mwanaume awe mfupi tumbo kama loba la taka na tako juu hiyo shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Simon, ngoja waanze kukuonyesha majibu ya kwenye kanga.wako kama mitungi ya gas (oryx)
Watu wafupi moyo hua uko karibu na mfuko wa mavi,Sasa lile joto ndio maana muda mwingi hua tuna hasira.Mwanaume mzima unapata wapi muda wakuwaza haya??
Kwani hata wangekufika kichwani ungewafanyia nin??
Akiwa mnene na ana matege akavaa na nguo nyekundu kwa mbaali unaweza kudhani kibanda Cha mpesa kinatembea 😀Au ukute ni kafupi halafu kanene,utasema ni tairi ya Bajaj
Urefu kama unaongeza akili au pesa ni hoja kama sio ni nonsenseUshauri wangu;
Oa mke mrefu ili aje akuzalie watoto warefu pia
Usije nawe kulaumiwa na wakwe zako hapo baadaye
NB;
Watanzania wengi zaidi ya asilimia 70 ni wafupi, ni rahisi kuendelea kuzaa watoto wafupi
Ha ha hapana mkuuUna utani na waha
Siyo kupita, inaingia yote.Lakini si inapita mkuu?
Hakiyamungu kazi ipo,Watu wafupi moyo hua uko karibu na mfuko wa mavi,Sasa lile joto ndio maana muda mwingi hua tuna hasira.
Elezea kidogo hapa mkuu, Mbona ni moja ya mikoa inayoongoza kwa vyakula vyenye Lishe 😆😆watu wa njombe hao mkuu wapo kama ndoo ya maji
Genetic issues nafikiriElezea kidogo hapa mkuu, Mbona ni moja ya mikoa inayoongoza kwa vyakula vyenye Lishe 😆😆
Mkuu watu wake ni wafupi,wanene,weusi kama mjulusi😆Elezea kidogo hapa mkuu, Mbona ni moja ya mikoa inayoongoza kwa vyakula vyenye Lishe 😆😆
Baki humo humoSiyo kupita, inaingia yote.
Hii nayo ni habari?Kwema wakuu
Naombeni msinishambulie najiuliza wanawake mbona wengi wao ni wafupi sana.. yaani unakuta anakufika kifuani au tumboni kabisa hii imekaaje ... kuna factors zozote za kisayansi?
Misinishambulie please
Hao hao ukiwalinganisha na wanaume wa huko kwao utakuta wanaume ni warefu kuliko hao bibieView attachment 3156353
Njoo huku Sudan ujionee milingoti
Marekani wanaoongoza Kwa urefu ni black AmericansUrefu kama unaongeza akili au pesa ni hoja kama sio ni nonsense
How? Yaani kucheza kikapu au?Marekani wanaoongoza Kwa urefu ni black Americans
Ambao, wanautumia urefu wao kupiga hela kupitia basketball.
Huku kwetu urefu hauna deal
Ndiyo, kupitia mchezo wa KikapuHow? Yaani kucheza kikapu au?
Yes kucheza mpira wa kikabu zile ligi za NBA, fatilia wengi ni black niggas warefu sana..How? Yaani kucheza kikapu au?
Nathani hata Polisi wamepunguza sifa ya urefu kwenye ajira zao.Ushauri wangu;
Oa mke mrefu ili aje akuzalie watoto warefu pia
Usije nawe kulaumiwa na wakwe zako hapo baadaye
NB;
Watanzania wengi zaidi ya asilimia 70 ni wafupi, ni rahisi kuendelea kuzaa watoto wafupi