Kwanini species nyingi za wanawake ni wafupi?

Kwanini species nyingi za wanawake ni wafupi?

Mwanaume ana kiwango kikubwa cha homoni za testoterone na estrogen ambazo kwa kiasi kikubwa zinahusika na ukuaji wa mifupa. Uwingi wa izo homoni zinamfanya mwanaume kuwa na mifupa mikubwa na mirefu, ndio maana wastani wa kimo kwa wanaume ni mkubwa ukilinganisha na kwa wanawake.
 
Nathani hata Polisi wamepunguza sifa ya urefu kwenye ajira zao.
Saivi wanachukua hadi sentimeta 157 Kwa Ke na sentimeta 165 Kwa Me

Japo Kuna Siku nilikutana na Askari wa JWTZ akiwa nadhani na sentimeta 150 ama Chini ya hapo

Japo huenda Siku hizi wanaangalia Kichwani zaidi
 
Hii thread sijaona wakichangia🤣, ila ni warembo na vimiili vyao robo kilo
 
Kwema wakuu

Naombeni msinishambulie najiuliza wanawake mbona wengi wao ni wafupi sana.. yaani unakuta anakufika kifuani au tumboni kabisa hii imekaaje ... kuna factors zozote za kisayansi?
Misinishambulie please
Wanawake hubeba ujauzito na ili mtoto akae vizuri ndani ya tumbo la uzazi anatakiwa ashikiliwe vizuri asipwaye, akipwaya atapata mtikisiko mkubwa mama yake atembeapo au afanyapo shughuri zake, jaribu kunywa maji ndani ya tumbo ambalo halina chakula kisha tembea au kimbia, utazisikia chukuchuku za maji, hii inatokana na uwazi mkubwa ndani ya tumbo.
 
Kwema wakuu

Naombeni msinishambulie najiuliza wanawake mbona wengi wao ni wafupi sana.. yaani unakuta anakufika kifuani au tumboni kabisa hii imekaaje ... kuna factors zozote za kisayansi?
Misinishambulie please
Umeandika species kisayansi umewagroup wanyama au viumbe vyote vyenye jinsia ya kike ,wengi wao wana maumbile madogo.Angalia wanyama kama ng'ombe,Mbwa,Paka,Simba,Tembo,Mamba an list goes on.. hawa wote utawakuta jinsia kike ina maumbile madogo ukilinganisha na kiume, kumbuka binadam ni wanyama pia.
 
Ndiyo, kupitia mchezo wa Kikapu

Angalia akina Michael Jordan, Kobe Bryant and likes

Wanapiga hela nyingi kupitia Kikapu

Halafu nina mashtaka, hizi species jamaa watakuwa waliwaiba Babu zetu miaka ile ya 1,600
Bado ni nonsense,mfano wewe unafaidikaje na urefu wako?
 
Back
Top Bottom