Kwahio unaamin hata toyo kuwekewa 140 sijui 160 itafika ila inahitaji stretch ya kutosha😁😁 so na mm nitengeneze gari yangu sedan uzito 1.5t 105hp ...speed mshale niweke 240kph utaamin linafika?😁Gari zinafika ila hakuna stretch ya kutosha ya kukufanya ufike hiyo speed.
Barabara ya gari, lakini hadi ng'ombe wamoWewe umetembelea gari za mjapani. Kacheck chuma za kijerumani cc 1600 speed 260 huku tatizo barabara haziruhusu na full matuta na hazijawa protected unaweza kuwa speed 120 unakuta mtu kaingia Road na kundi la ng'ombe
Huyo jamaa anadanganywa na namba hizo ..inahitaji ufahamu wa hali ya juu me hizo video nimeangalia sana ...so hata nikikuta mtu ana germany car limeandikwa 320 siogopi all i need to know ni how much power hio gari inayo... ndo mana siogopi v8 hizo hp 267 uzito tani mbili plus hata nikiwa na sedan yoyote hp kwanzia 180 petrol unazifata vizuri tuNa autobahn haina strech ya kutosha?
Ingia hata youtube uangalie mfano golf gti na speedometer zake za 320km/h zinavyoishia 235km/h haisogei zaidi.
Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h yaani kwny hesabu za automobile hii kitu haipo.
Si kweli ,, nan kasema 3000cc is equal to 300hp ...nani kasema gari za cc 2000 zinafika 243...xtrail inafika?3000cc......>300HP
~2000cc ndio unapata 233-243km/h
Naam kwa stock cars(non-tuned) huu ndio ukweli halisi wa mambo huko barabarani.
Kwani hayo uliyoyasema wewe nani kayasema?Si kweli ,, nan kasema 3000cc is equal to 300hp ...nani kasema gari za cc 2000 zinafika 243...xtrail inafika?
Nina ki Volkswagen golf changu cha 2001 ,Dar Arusha masaa ma 5 tu 240-250km/hr kanafika vizuri tu.Na autobahn haina strech ya kutosha?
Ingia hata youtube uangalie mfano golf gti na speedometer zake za 320km/h zinavyoishia 235km/h haisogei zaidi.
Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h yaani kwny hesabu za automobile hii kitu haipo.
Hazijui Golf huyu..Kuna jamaa yupo hukohuko youtube anafikisha hizo top speeds. Anaitwa autotoppnl.
Na juzi tu alikuwa anaendesha hiyo golf gti.
Nashangaa unaposema hazifiki.
Nimeenda nayo rally nikijaribu kufika ile 320km/h iliyoandikwa kwny kisahani haikufika ng'o hata kwa dawa,ifikishe hapo ukiwa umemaliza kisahani tuone kama utaweza.Nina ki Volkswagen golf changu cha 2001 ,Dar Arusha masaa ma 5 tu 240-250km/hr kanafika vizuri tu.
Nunua mjerumani usisimuliwe..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja....Nimeenda nayo rally nikijaribu kufika ile 320km/h iliyoandikwa kwny kisahani haikufika ng'o hata kwa dawa,ifikishe hapo ukiwa umemaliza kisahani tuone kama utaweza.
Nimeshakua na bmw na mercedes kwa hio huo ujinga wako nenda kawaambie wanaoanza kumiliki magari na sio mimi.
Cheki sasa ulivyorukia ndonga kwa mbele, huyo jamaa amenitajia mwenye hio gti huko youtube na top speed aliyoishia ni 259km/h tu.
[emoji23][emoji23][emoji23] wawadanganye watotoCheki sasa ulivyorukia ndonga kwa mbele, huyo jamaa amenitajia mwenye hio gti huko youtube na top speed aliyoishia ni 259km/h tu.
Weka screenshot hapa akiwa amefikisha 320km/h.
Hizo story muwe mnapigia watoto wenzenu.
Vitz cc1290 speed 200kmhWakuu
Baada ya kupata bahati ya kuwemo katika magari aina tofauti tofauti, makubwa na madogo lakini kubahatika kuendesha umbali mrefu kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, kitu kimoja nimekuwa nikijiuliza, ni kwa nini magari ''karibia'' yanaonesha uwezo wa kwenda kasi kufikia mwendo wa 180 km/h?
Nilichogundua, mwendo kasi wa 180 km/h ni mkubwa sana sana sana, haufikiki, ni hatari na sio halisi hasa kwa aina ya magari yetu mengi ambayo ni mtumba huku barabara zetu nazo zikiwa sio rafiki.
Kwa mfano, magari ya cc 900 mpaka 2000cc haya kuwekewa mwendo kasi wa 180 km/h ni sahihi? Kwanini wasingeweka tu mfano 140 km/h? Hebu tuangalie uhalisia, katika mazingira yoyote yenye cc chini ya 1500 inaweza kweli kufika mwendo kasi wa let say 160km/h? Binafsi sidhani. Kwa gari maalumu za kwenda kasi na safari ndefu, ama zenye cc zaidi ya 2500 uwezekano unaweza kuwepo lakini kwa hizi nyingine, nahisi watengenezaji wanatulipisha gharama kubwa kwa kitu ambacho hakipo ama kwa kifupi wanatuibia.
Nini mtazamo wako?
Mkuu labda ungesema PREMIO ya aina gani maana yenye cc 1496 unaitofautishaje na IST au RAUM?Tatizo 180km/h kwa mazingira yetu na aina ya magari haifikiki .... Kidogo Premio, hizo nyingine kufika 180 km/h ni almost to impossible ama suicide.
Hebu 'tusimulie' tu huyo uliyemuona na IST/ Runx/ Premio kafuta visahani
🤔🤔🤔 Bado nafkri nikipata jibu narudiWakuu
Baada ya kupata bahati ya kuwemo katika magari aina tofauti tofauti, makubwa na madogo lakini kubahatika kuendesha umbali mrefu kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, kitu kimoja nimekuwa nikijiuliza, ni kwa nini magari ''karibia'' yanaonesha uwezo wa kwenda kasi kufikia mwendo wa 180 km/h?
Nilichogundua, mwendo kasi wa 180 km/h ni mkubwa sana sana sana, haufikiki, ni hatari na sio halisi hasa kwa aina ya magari yetu mengi ambayo ni mtumba huku barabara zetu nazo zikiwa sio rafiki.
Kwa mfano, magari ya cc 900 mpaka 2000cc haya kuwekewa mwendo kasi wa 180 km/h ni sahihi? Kwanini wasingeweka tu mfano 140 km/h? Hebu tuangalie uhalisia, katika mazingira yoyote yenye cc chini ya 1500 inaweza kweli kufika mwendo kasi wa let say 160km/h? Binafsi sidhani. Kwa gari maalumu za kwenda kasi na safari ndefu, ama zenye cc zaidi ya 2500 uwezekano unaweza kuwepo lakini kwa hizi nyingine, nahisi watengenezaji wanatulipisha gharama kubwa kwa kitu ambacho hakipo ama kwa kifupi wanatuibia.
Nini mtazamo wako?
Umenikumbusha mwaka jana tulipanda coaster uyole kuja dar kuliko na wamalawi wengi wanaongea kwa sauti ya juu,tukajaribu kulalamika dereva akasema tulieni watanyamaza wenyewe kweli kuanzia makambako wote kimya mwendo uliwanyamazisha!Kuna mshikaji humu alitoa story. Walikua wanatoka Mwanza gari private na wana kadhaa. Ulikua usiku kwahiyo hamna trafick wala jam sana njiani. Kule mjini mjini ilikua poa wanacheka sana kwenye gari kufika maporini dere anafuta kisaani akipunguza sana 100 labda kuwe na tuta.
Aisee gari zima kimyaaa hamna mtu alielala wala anaeongea. Wale wengine wakawa wanachat. Wakakubaliana waombe wasimame kwaajili ya aja ndogo.
Dere anasimama nae anaenda jisaidia anarudi anakuta kwenye siti amekaa mwana mwingine. Kumbe wajamaa wameshakunaliana uyu fala anataka kutuua uyu. Akishuka tu agusi gari tena.
Walilala Dodoma. Wakati jamaa aliwaambia asubuhi chai wanaenda kunywa Dar.
Inaa maana ukimaliza umbali wa kilomita 180 utakuwa umetumia saa 1na hiyo 180km/h iwe costant(isipungue wala isizidi)Jamani mnisamee... Mimi nimgeni kabsa kwenye magari nataka kujua hyo 180km/h ina maana gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeenda nayo rally nikijaribu kufika ile 320km/h iliyoandikwa kwny kisahani haikufika ng'o hata kwa dawa,ifikishe hapo ukiwa umemaliza kisahani tuone kama utaweza.
Nimeshakua na bmw na mercedes kwa hio huo ujinga wako nenda kawaambie wanaoanza kumiliki magari na sio mimi.
Na hyo ni latestCheki sasa ulivyorukia ndonga kwa mbele, huyo jamaa amenitajia mwenye hio gti huko youtube na top speed aliyoishia ni 259km/h tu.
Weka screenshot hapa akiwa amefikisha 320km/h.
Hizo story muwe mnapigia watoto wenzenu.
Aerodynamics, ist ina aerodynamics nzr ko usishangae unaachwa ns cruizer ykoKuna kitu watu hawajui,utakuta anaponda IST kisa ana cruiser 1hz,japo zote kisahani ni 180 kinaonesha lkn topspeed ya ist iko juu kuliko 1hz!