Kwanini speed ni 180 km/h?

Kwanini speed ni 180 km/h?

Kwenye hesabu za automobiles hiyo haipo?
Sidhan kama upo sahihi!
Gari kama Porsche, Maybatch, Bugatti hizo zote zipo zina V12 ambazo top speed ni kati ya 300-400 kph!
'Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h'

Hio sentensi hapo juu umeielewa lkn?

Hizo Porsche,Maybatch,Bugatti zina 200HP?

Kabla ya kuendelea kubisha andika HP za hayo magari then ujiulize msingi wa hoja yako ni upi?
 
'Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h'

Hio sentensi hapo juu umeielewa lkn?

Hizo Porsche,Maybatch,Bugatti zina 200HP?

Kabla ya kuendelea kubisha andika HP za hayo magari then ujiulize msingi wa hoja yako ni upi?
Hoja yako wewe ndo naijibu, huko juu ulidai kwanye soko la automobile, kitu ambacho SI KWELI
 
Nijibu Swali langu rahisi tu,Porsche,Maybatch,Bugatti zina HP ngapi?
Katika maelezo yako huko juu ulisema haipo katika soko la Automobile, jambo ambalo haliakisi ukweli!
Hatuko kubishana lakini lazima ukweli usemwe.
Hizo zote zina Hp kati ya 600 Maybatch, na Bughatti 900-1000, na huyo mnyama Porsche kati ya 600-700 kutegemea na annual improvement, ambayo siyo hoja hapa kuweka hizo list!
 
Katika maelezo yako huko juu ulisema haipo katika soko la Automobile, jambo ambalo haliakisi ukweli!
Hatuko kubishana lakini lazima ukweli usemwe.
Hizo zote zina Hp kati ya 600 Maybatch, na Bughatti 900-1000, na huyo mnyama Porsche kati ya 600-700 kutegemea na annual improvement, ambayo siyo hoja hapa kuweka hizo list!

Umesema:

Maybatch 600HP

Bughatti 900-1000HP

Porsche kati ya 600-700HP

Na mimi hoja yangu ilisema

'Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h',yaani kwny hesabu za automobile hii kitu haipo.'

Kwa hio wewe unachobisha hapa ni nini?
 
Umesema:

Maybatch 600HP

Bughatti 900-1000HP

Porsche kati ya 600-700HP

Na mimi hoja yangu ilisema

'Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h',yaani kwny hesabu za automobile hii kitu haipo.'

Kwa hio wewe unachobisha hapa ni nini?
Huyo Chaza anakaza ubongo hataki kuelewa [emoji28]
Ila atakuwa kashaelewa sema analeta ubishi kama wa Bavarian Motor works tu.
Wanabisha bila facts
 
Umesema:

Maybatch 600HP

Bughatti 900-1000HP

Porsche kati ya 600-700HP

Na mimi hoja yangu ilisema

'Inahitaji kujitoa ufahamu kwa gari yenye around hp 200's hapo kufikia top speed ya 320km/h',yaani kwny hesabu za automobile hii kitu haipo.'

Kwa hio wewe unachobisha hapa ni nini?
Sawa
 
Katika maelezo yako huko juu ulisema haipo katika soko la Automobile, jambo ambalo haliakisi ukweli!
Hatuko kubishana lakini lazima ukweli usemwe.
Hizo zote zina Hp kati ya 600 Maybatch, na Bughatti 900-1000, na huyo mnyama Porsche kati ya 600-700 kutegemea na annual improvement, ambayo siyo hoja hapa kuweka hizo list!
Nahisi hukufatilia mtililiko wa post za jamaa Torque vs HP . Ungefatilia ungepata point ya alichokuwa ana maanisha
 
Mengi ya wajeruman hayafiki 230
Ni speedometer wanaweka tu, machache sana ndo yanavuka 260 akina porshe na mengine mazuri,
Ukisoma speedometer ni tofauti na reality
Ni kama subaru Legacy inafika 233kmp uku speedometer inasoma 180, uku audi A4 ya 2008 ina top speed 204 speedometer inasoma 260, au range rover vogue mpya ina top speed ya 240 uku speedometer yake inasoma 280kmp, ko ni swala la sheria za nchi mama
Hapa barabara iliisha.....
Screenshot_20210328-180149.png
 
Hapana. Vitu vya kawaida hivi hapa hapa Tz ila kwasababu wengi hizi gari wanazisoma mtandaoni ndio wanaona ajabu.
Kabisa mkuu japanese cars zimeharibu wengi siku wajaribu european cars walete mrejesho hapa
 
Wakuu

Baada ya kupata bahati ya kuwemo katika magari aina tofauti tofauti, makubwa na madogo lakini kubahatika kuendesha umbali mrefu kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, kitu kimoja nimekuwa nikijiuliza, ni kwa nini magari ''karibia'' yanaonesha uwezo wa kwenda kasi kufikia mwendo wa 180 km/h?

Nilichogundua, mwendo kasi wa 180 km/h ni mkubwa sana sana sana, haufikiki, ni hatari na sio halisi hasa kwa aina ya magari yetu mengi ambayo ni mtumba huku barabara zetu nazo zikiwa sio rafiki.

Kwa mfano, magari ya cc 900 mpaka 2000cc haya kuwekewa mwendo kasi wa 180 km/h ni sahihi? Kwanini wasingeweka tu mfano 140 km/h? Hebu tuangalie uhalisia, katika mazingira yoyote yenye cc chini ya 1500 inaweza kweli kufika mwendo kasi wa let say 160km/h? Binafsi sidhani. Kwa gari maalumu za kwenda kasi na safari ndefu, ama zenye cc zaidi ya 2500 uwezekano unaweza kuwepo lakini kwa hizi nyingine, nahisi watengenezaji wanatulipisha gharama kubwa kwa kitu ambacho hakipo ama kwa kifupi wanatuibia.

Nini mtazamo wako?
Hiyo inaitwa kufa au kupona.
 
Wakuu

Baada ya kupata bahati ya kuwemo katika magari aina tofauti tofauti, makubwa na madogo lakini kubahatika kuendesha umbali mrefu kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, kitu kimoja nimekuwa nikijiuliza, ni kwa nini magari ''karibia'' yanaonesha uwezo wa kwenda kasi kufikia mwendo wa 180 km/h?

Nilichogundua, mwendo kasi wa 180 km/h ni mkubwa sana sana sana, haufikiki, ni hatari na sio halisi hasa kwa aina ya magari yetu mengi ambayo ni mtumba huku barabara zetu nazo zikiwa sio rafiki.

Kwa mfano, magari ya cc 900 mpaka 2000cc haya kuwekewa mwendo kasi wa 180 km/h ni sahihi? Kwanini wasingeweka tu mfano 140 km/h? Hebu tuangalie uhalisia, katika mazingira yoyote yenye cc chini ya 1500 inaweza kweli kufika mwendo kasi wa let say 160km/h? Binafsi sidhani. Kwa gari maalumu za kwenda kasi na safari ndefu, ama zenye cc zaidi ya 2500 uwezekano unaweza kuwepo lakini kwa hizi nyingine, nahisi watengenezaji wanatulipisha gharama kubwa kwa kitu ambacho hakipo ama kwa kifupi wanatuibia.

Nini mtazamo wako?
Gari lolote la cc 1300-1500cc horse power above 90hp linafika vizuri tu 180kph....labda chini ya hapo like passo ndo zinaishia 160 hivi tena kwa shida,
 
Back
Top Bottom