skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,383
Ndugu zangu wana jamvi wenzanzangu, wtz wenzanzangu, habari za asubuhi,, nitumsini langu mko poo
Leo napenda tujadili sukari kidogo, niliwahi kusikia ni marufuku kuagiza sukari nje ili kulinda maslahi ya mlaji Hilo ni tamko la serikali kupitia waziri mkuu na waziri mwenye dhamana pia aliekuwa rais wa awamu ya tano.
Sasa juzi kati hapa mama ametoa tamko kuwa sukari iingie toka Uganda je mama yeye anasimamia maslahi ya nani ikiwa wenzake walisimamia maslahi ya mwekezaji?
Hapa napata tabu katika suala moja tu kwanini sisikii maslahi ya mlaji yakigusiwa? Kwa mfano sukari imekuwa ikipanda Bei juu Sana bila kukali mlaji na serikali ipo kimya ila tumekuwa mashahidi kuwa ukinunua sukari nje ya nchi yetu Bei inakua angalau kidogo ahueni kwa mlaji.
Sasa hoja yangu ni kwamba kwanini sukari imekuwa ghali saaana wakati viwanda vipo nchini vya kutosha halafu kwanini serikali haina tamko lolote kuzungumzia Bei ya sukari kabisa?
Je, kwanini serikali isirudishe viwanda vyote vya sukari mikononi mwake na ikafanya kazi yenyewe ya uzalishaji na kuuza ili kusimamia uzalishaji na uuzwaji, mapato kwa ujumla ili kujua ni wapi panakosewa hadi sukari kuuzwa Bei juu kiasi hichi?
Maana nakumbuka upandaji wa Bei ya sukari unakuwa ni wa kihuni kabisa haufuati utaratibu hata kidogo na ikipanda serikali haikemei kabisa kurudi ilipotoka Kama itapanda elf moja juu basi serikali ikiongea kidogo haiondoki elfu moja inaondoka mia moja tu, Nini maana yake hasa au serikali haina mpango wa kutetea maslahi ya mlaji wa sukari?
Leo napenda tujadili sukari kidogo, niliwahi kusikia ni marufuku kuagiza sukari nje ili kulinda maslahi ya mlaji Hilo ni tamko la serikali kupitia waziri mkuu na waziri mwenye dhamana pia aliekuwa rais wa awamu ya tano.
Sasa juzi kati hapa mama ametoa tamko kuwa sukari iingie toka Uganda je mama yeye anasimamia maslahi ya nani ikiwa wenzake walisimamia maslahi ya mwekezaji?
Hapa napata tabu katika suala moja tu kwanini sisikii maslahi ya mlaji yakigusiwa? Kwa mfano sukari imekuwa ikipanda Bei juu Sana bila kukali mlaji na serikali ipo kimya ila tumekuwa mashahidi kuwa ukinunua sukari nje ya nchi yetu Bei inakua angalau kidogo ahueni kwa mlaji.
Sasa hoja yangu ni kwamba kwanini sukari imekuwa ghali saaana wakati viwanda vipo nchini vya kutosha halafu kwanini serikali haina tamko lolote kuzungumzia Bei ya sukari kabisa?
Je, kwanini serikali isirudishe viwanda vyote vya sukari mikononi mwake na ikafanya kazi yenyewe ya uzalishaji na kuuza ili kusimamia uzalishaji na uuzwaji, mapato kwa ujumla ili kujua ni wapi panakosewa hadi sukari kuuzwa Bei juu kiasi hichi?
Maana nakumbuka upandaji wa Bei ya sukari unakuwa ni wa kihuni kabisa haufuati utaratibu hata kidogo na ikipanda serikali haikemei kabisa kurudi ilipotoka Kama itapanda elf moja juu basi serikali ikiongea kidogo haiondoki elfu moja inaondoka mia moja tu, Nini maana yake hasa au serikali haina mpango wa kutetea maslahi ya mlaji wa sukari?