Hao wanaopinga ndio wametufikisha hapa, waliaminishwa na jpm kuwa nchi inaweza kwenda kwa kuwaona waliokuzidi ni maadui wako, unafikiria hata mafuta ya kula tatizo lilianzia pale alipopiga marufuku uingizaji wa mafuta ghafi kwa kuweka kodi ya juu sana kikichotokea hadi leo ni kilio!!yeye mama aruhusu tu bidhaa zenye upungufu nchini ziingie tu ili hata kwa mlaji kuwe na unafuu!!tatizo la wafuasi wa awamu ya tano, bado wanafirikia mama amemshikia tu jamaa atarudi.hivyo zile sera zake za hovyo ziendelee kukumbatiwa.