AbaMukulu
JF-Expert Member
- Jan 1, 2018
- 2,053
- 3,586
- Thread starter
- #61
Labda kama Wewe huishi hapa nchini.....
Watanzania wengi ni wahanga wa customer care...!!!
Mimi huwa nikisogelea huduma yeyote ambayo inamhusisha mtu basi camera ya simu yangu huwa on.
Ili kuweka ushahidi wa huduma nitakayopewa.
Siku nyungine fanya hivyo mkuu halafu unamtolea taarifa kwa kiongozi wake.
Wasipolifanyia kazi unaweka malalamiko mitandaoni watu wajionee.
Hakuna atakekubali kuchafua "brand" yake kwa kumvumilia mfanyakazi anaetoa huduma mbovu kwa mteja