92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
mali za kkkt lazima zipukutike kwanza nyingi zilijengwa au kuanzishwa na wazungu waafrika kuziendeleza ni ngumu shule kibao zimepigwa mnada kwakua usimamizi ulikua mbovu shule kushuka kiwango mwishoe wazazi kutopeleka watoto ndio basi tena shule inaingia madeni inadaiwa inapigwa mnada..
kkkt kuna katabia ka kutamani madaraka kila mtu anataka awe zimba
kkkt kuna katabia ka kutamani madaraka kila mtu anataka awe zimba