Mwayegoo.Nikitapeliwa na kanisa la KKKT Usharika wa Mwenge, waliniuzia ardhi hewa Fukayose Bagamoyo
Mkuu ndio maana nikasisitiza IMANI haitaki matumizi ya LOGICKwahiyo watanzania tumekuwa mazuzu Kiasi cha kutojua kutofautisha imani na biashara?
Yani zile biashara za makanisa nayo ni sehemu ya imani?
Kwamba imani hairuhusu kuhoji biashara za haya makanisa?
Aisee! Tunakoelekea makanisa yatakuwa nikwajili ya watu wajinga tu. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuelewa huu wizi unaoendelea huko makanisani