Kuna life style flani la viongozi wa kitanzania wakiwa maradakani huionesha jamii kupitia mitandao yao ya kijamii lakini punde wakishatoka madarakani style hiyo hupotea ghafla, labda waanze tena Leo baada ya Uzi huu!
Mfano;
Mfano;
- Wakiwa madarakani utaona wakipost wapo jimu (gym) nakutufanya sisi wenye vitambi tuonekane ni wazembe sana
- Wakiwa madarakani utaona wakifanya mazoezi ya kukimbia hata na wake zao (jogging) hadi sisi wengine huwa tunajiona wazembe
- Wakiwa madarakani wanaonesha kusali na mahaba ndindindi hadi sisi wengine tunajiona wapagani
- Wakiwa madarakani huona watu wengine kama hawajui maisha kwa kuwashangaa wengine kutokuona fursa (inje ya box)
- Wakiwa madarakani kila maisha yao binafsi hutupia pichapicha
- Wakiwa madarakani hushangaa RAIA kwanini hatufanyi utalii wa ndani
- Wakiwa madarakani hutangaza wao wasamalia wema n.k