Kwanini taifa la Nigeria limetawala sekta nyingi sana na kuwa na masupa star Wengi Sana na mabilionea?

Kaka wasukuma ni wengi mno hata ikifanyika ya zeruzeru mtaongoza .percentage wise hamuwezi kitu bro nyi ndo washamba wa taifa na wenzenu waha
 
Wanigeria kinachowabeba ni elimu na exposure, wengi wanaishi nje ya nchi yao, Ulaya Nigeria inajulikana sana kwa wingi wao, ukisema umetoka africa , utasikia" near nigeria". hahaha sema ni matapeli hatari
 
Kwa uchawi Nigeria #1 si unaona watu wanaenda kuombewa kule.

Kwa umalaya pia #1 umalaya na kuuza watu.

#1 pia kwa utapeli wa kila aina




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Singapore, Brunei, Kuwait, Luxembourg na Iceland ni nchi zenye watu wachache sana na ni matajiri sana
Wingi wa watu sio utajiri mkuu

Sent from my iPhone using Tapatalk
Kwahiyo idadi ya raia wa Rwanda ni sawa na China maana population ya Rwanda ni ndogo kulinganisha na Tanzania lakini kimaendeleo wapo mbali.. Muachage kula wali na sembe

Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu yoyote yenye idadi kubwa ya watu ni lazima idominate sekta mbalimbali sababu ya vipaji inavyokuwa imetoa kuwa vingi, hayo ya nchi ndogo kuwa na utajiri mkubwa ni matokeo ya jinsi gani vipaji vimeendelezwa tu!.
Chukulia umepata watoto 2 wakawa na utajiri wa 2M each halafu chukulia jirani yako kapata watoto 6 nao kila mmoja ana utajiri wa 1M each hapo Familia ipi ni Tajiri zaidi!?. Hii kanuni hata mababu zetu waliitumia sana!.
Hivyo vinchi ni vidogo vinautilize udogo wake, lakini sio kwamba ndio best!. Chukulia vimebanwa kutoexport mnadhani vitaweza kujisustain internally?, tofauti na nchi zenye watu wengi zinaweza kujisustain!.

Higher population decides an economy.
 
Na we kuwaga makini basi unadhani sijamuelewa ? Kaongea kwa mbinu
Kwa hiyo siruhusiwi kuchangia? au unataka niandike kama ulivyoandika wewe? Humu jukwaani ubinafsi hauna nafasi mkuu na tuna uelewa na namna tofauti ya kukieleza tunachofahamu. Unataka kila mtu aongee kwa mbinu? alishasema yeye ni mzee wa kuusoma mchezo na kubadilika kama kinyonga.
 
Kaka wasukuma ni wengi mno hata ikifanyika ya zeruzeru mtaongoza .percentage wise hamuwezi kitu bro nyi ndo washamba wa taifa na wenzenu waha
Yes kwa ushamba ni kweli hatujambo sana,
Hata mimi nilinunua benz nikahonga cheupe fulani, kisha nikanunua bodaboda ndio natembelea!. Sisi ni malimbukeni wa mademu weupe na
Tunahonga sana!.
P
 
Unabeba sana ukabila siku hizi.
Kabla ya kuwa surprised ..uchukuwe idadi ya phd holders kwa idadi ya watu wa kabila hilo hilo au mkoa tuone kama ratio haitakua ndogo kulinganisha na mikoa mingine!. Mikoa kama Simiyu, Mara, Shinyanga, Mwanza, Tabora, nk...wote karibu ni wasukuma..
 
Kwa upande wa Afrika, SA pia wapo vizuri katika sector nyingi hasa upande wa sayansi na teknolojia...
 
Elimu yao pia iliwasaidia kufikiria vizuri,angalia waandishi wa vitabu ambavyo vinatumika hata hapa Tz (Literature)......so wao wamewekeza maarifa yao waliyoyapata shule kwenye real life
 
Wanigeria kinachowabeba ni elimu na exposure, wengi wanaishi nje ya nchi yao, Ulaya Nigeria inajulikana sana kwa wingi wao, ukisema umetoka africa , utasikia" near nigeria". hahaha sema ni matapeli hatari
sio kwamba ni wajanja sana?
 
Wanaijeria hujasema watakuwa wangapi? Kama sisi tuko milioni 50 tutakuwa milioni 150 basi Wanaijeria ambao Sasa hivi ni milioni 200 watakuwa milioni 600!!!!
 


Kwa nini taifa la Nigeria lime dominate secta nyingi sana na kuwa na masupa star Wengi Sana na mabilionea?
Idadi kubwa ya watu,
Vyuo vikuu vingi kuliko nchi nyingi africa
Angalizo.... Siyo kwamba Wana akili sana kuliko watu wangine ispokuwa wako wengi sana kuliko nchi nyingi za Africa mfano Tanzania tuko mil 50wao wapo milioni 200!!
Kwa uwiano mzuri tunatakiwa tuwe na ma super star robo Yao........
 
Tuangalie zaidi quality ya watu na si quantity maana tunaweza jaza taifa na useless people. Kuna watu wakizaliana Sana ni heri maana kutakuwa na impact ila wengine ni matatizo tu
 
Hapo uliposema viongozi wao kutobweteka una maanisha kuleta maendeleo au kupiga deal?
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hao watu wana productive population na wana middle income class ya 30+million. yaani zaidi ya nusu ya population yetu na hapo bado hujahesabia diaspora ambayo inatuma pesa home pia.

Hawa kuwashinda ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…