Kwanini taifa la Nigeria limetawala sekta nyingi sana na kuwa na masupa star Wengi Sana na mabilionea?

Kwanini taifa la Nigeria limetawala sekta nyingi sana na kuwa na masupa star Wengi Sana na mabilionea?

In 1998, Nigeria had 37 arts and sciences universities, 3 agriculture universities, 1 military university, 4 polytechnics, and 63 colleges of education.

Jiulize mlikuwa na vyuo vikuu vingapi Tanganyika mwaka 1998



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikubaliani na wewe Pascal, India, Brazil na Ethiopia population iko juu lkn mafukara, kama Ethiopia kila siku wanahaha kukimbilia nchi za watu
Nigeria ina dorminate kutokana na idadi ya watu. Kwa mujibu wa sensa yangu ya kwanza ni sensa ya mwaka 1978 sisi Tanzania tukiwa milioni 19, Nigeria walikuwa milioni 150!. Hivyo success kwenye kila kitu inatokana na idadi ya watu. Wachina wako bilioni 1.5 ndio wanatawala dunia.

Hata kwa Tanzania kati ya watu milioni 50, Wasukuma ni 10 million na ndilo kabila linaloongoza kwa fertility rate, procreation rate, na birth rate hivyo 2099 Wasukuma tutakuwa milioni 50 Watanzania tukiwa milioni 150 kama Nigeria ile.

P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikubaliani na wewe Pascal, India, Brazil na Ethiopia population iko juu lkn mafukara, kama Ethiopia kila siku wanahaha kukimbilia nchi za watu

Sent using Jamii Forums mobile app

population kubwa ina mantiki ikiwa productive na sio kama huku kwetu ambapo unakuta mtu mmoja anategemewa na ukoo mzima. Hapo lazma uwe maskini

Halafu katika nchi ulizozitaja umeziongelea kwa upande negative ila ukiingia positive utafuta hiyo comment.

Ethiopia ndio nchi tajiri Africa anbayo haina resources, angalia Airline , export volume na pia hata huo umeme ambao Tz tunatarajia kununua toka kwao. Pia ndio uchumi pekee Africa unaokua kwa double digits.

ukirudi India, angalia Bollywood, uchumi wao mkubwa duniani, teknolojia, medical tourism na Diaspora yao yenye nguvu duniani. Angalia watu matajiri zaidi hata Tanzania na Kenya, huwezi kuwaita maskini
 
Wana bodi, kwenye kufanya utafiti wangu mkubwa nimegundua na kuona kwamba taifa la Nigeria limedominate Karibu mambo mengi sana mfano kwenye muziki Muziki na Wana muziki wa Nigeria ni maarufu sana Africa na duniani kwa ujumla mfano Wizkid, patoranking, chidinma, yemi alade, femi kuti, davido, Mr favour, falz, tiwa savage, don Jazzy, p square, kipengele cha pili ambacho Nigeria wame dominate ni Kwenye fasihi na sanaa itakuwa movies za Nigeria zinatamba Africa na duniani kote kutokana na waigizaji mahiri na wenye passion na moyo na kazi yao mfano Hawa vijana Kama kina Aki na ukwa etc, kwenye uwanda wa Fasihi kwa Hapa Africa Nigeria imebeba wana fasihi wakubwa na mahiri mfano Huyu Wole Soyinka ambaye ni Mshindi wa tuzo ya amani ya 'Nobel Prize ' kwenye fasihi mwaka 1986, Mwingine ni huyu Chinua Achebe Wengi wetu tumemsoma kwenye 'Things Fall apart ' ni mwana fasihi aliyetukuka na kuheshimika
hapa barani Africa,

Kwenye kipengele cha michezo hususan mpira Nigeria wenyewe mnaona 'super eagles ' wakiingia Mara kadhaa kwenye kombe la dunia,
Kipengele kingine ni mabilionea Nigeria kuna mataycoon maarufu sana mfano tajiri Aliko dangote, Mike Adenuga, Alakija

Kipengele cha idadi ya watu Nigeria wanaongoza hapa Africa wapo milioni 200+
Kipengele kingine cha Uchumi nigeria wanawongoza hapa Africa
Kipengele kingine japo sio cha muhimu ni kwamba makabila ya Nigeria ni makubwa sana yaani yana idadi kubwa Sana ya watu mfano Wahausa, Yoruba etc

Hebu tujadili why Nigeria hawa wame dominate mambo mengi sana kiasi cha kwamba kuonekana Hawa wanaigeria kuonekana wao Kama hawapo Africa vile wao ni level ya mataifa makubwa duniani!

Nb Nigeria ni moja ya nchi ambazo Hapa Africa wamepinduana Sana /marais wamepinduliwa sana!
Nadhani busara ingekuwa kujadili kwa nini wako wengi namna hiyo lakini hawaja-dominate sector nyingi na kuna umaskini wa kutupwa! Haya wewe unayoona ni mafanikio, ukifananisha na idadi ya watu iliyo nayo pamoja na raslimali iliyopo, ni aibu tupu! Jaribu kufikiria kwa kina. Duniani kuna mataifa mengine mengi madogo yenye raslimali chache zaidi na yanatoa msaada kwa Nigeria!
 
Yes kwa ushamba ni kweli hatujambo sana,
Hata mimi nilinunua benz nikahonga cheupe fulani, kisha nikanunua bodaboda ndio natembelea!. Sisi ni malimbukeni wa mademu weupe na
Tunahonga sana!.
P
Wakati mwingine Pascal huwa naangalia comments zako nakinganisha na umri wako naona mahala wewe haupo sawa.ebu sasa kua vyote.unakua kwa umru lakn hekima na bado sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nigeria ina dorminate kutokana na idadi ya watu. Kwa mujibu wa sensa yangu ya kwanza ni sensa ya mwaka 1978 sisi Tanzania tukiwa milioni 19, Nigeria walikuwa milioni 150!. Hivyo success kwenye kila kitu inatokana na idadi ya watu. Wachina wako bilioni 1.5 ndio wanatawala dunia.

Hata kwa Tanzania kati ya watu milioni 50, Wasukuma ni 10 million na ndilo kabila linaloongoza kwa fertility rate, procreation rate, na birth rate hivyo 2099 Wasukuma tutakuwa milioni 50 Watanzania tukiwa milioni 150 kama Nigeria ile.

P
Hallo P hata mkiwa mil. 100 mlijikita sana kwenye ufugaji na Kilimo ila naona akina Nshomile wangekuwa wengi kama akina ngosha tungeipata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanigeria wanaskika saana ila SA ndiyo taifa lililopiga hatua Africa karibia kwa kila kitu.

-Angalia television zao kama unaangalia za mbele
-Viwanja vyao vya mipira
-miundo mbinu yao
-Shule/vyuo
-Maisha kwa ujumla.... unazaa kama maisha magumu jiandikishe serikalini utakuwa unapata chakula na mavazi maisha yanaenda.

Uvivu tu ndiyo umewashinda.
 
population kubwa ina mantiki ikiwa productive na sio kama huku kwetu ambapo unakuta mtu mmoja anategemewa na ukoo mzima. Hapo lazma uwe maskini

Halafu katika nchi ulizozitaja umeziongelea kwa upande negative ila ukiingia positive utafuta hiyo comment.

Ethiopia ndio nchi tajiri Africa anbayo haina resources, angalia Airline , export volume na pia hata huo umeme ambao Tz tunatarajia kununua toka kwao. Pia ndio uchumi pekee Africa unaokua kwa double digits.

ukirudi India, angalia Bollywood, uchumi wao mkubwa duniani, teknolojia, medical tourism na Diaspora yao yenye nguvu duniani. Angalia watu matajiri zaidi hata Tanzania na Kenya, huwezi kuwaita maskini
Ethiopia tajiri ni serikali. Watu ni choka mbaya. Na by the way, wana maendeleo ya vitu kuliko watu. Purchasing power ya Nigerian individual ime surpass vibaya mno ya Ethiopia na nchi nyingi za Afrika. Kwa hiyo tukubali hawa watu wapo vema upstairs.
 
nchi zote zenye population kubwa ni matajiri na wana kila aina ya kipaji....MF USA, China,India, Russia etc..Nigeria kwa population yake..jumlisha E.Africa na southern Africa yote ndo upate idadi ya wanaijeria
Population lazima iendane na shule za maana sio shule za kufundisha ujinga
 
nchi zote zenye population kubwa ni matajiri na wana kila aina ya kipaji....MF USA, China,India, Russia etc..Nigeria kwa population yake..jumlisha E.Africa na southern Africa yote ndo upate idadi ya wanaijeria

East & South watu ni wengi saana inaweza kuwa mara mbili ya Nigeria.
 
Tuangalie zaidi quality ya watu na si quantity maana tunaweza jaza taifa na useless people. Kuna watu wakizaliana Sana ni heri maana kutakuwa na impact ila wengine ni matatizo tu
Quality ya watu unaipimaje!?.. Yani kuna jamii ya watu ni useless kuzaliwa jaza taifa!?. Jamii ya watu gani hao wakizaliana sana impact itaonekana?
 
Wanigeria wanaskika saana ila SA ndiyo taifa lililopiga hatua Africa karibia kwa kila kitu.

-Angalia television zao kama unaangalia za mbele
-Viwanja vyao vya mipira
-miundo mbinu yao
-Shule/vyuo
-Maisha kwa ujumla.... unazaa kama maisha magumu jiandikishe serikalini utakuwa unapata chakula na mavazi maisha yanaenda.

Uvivu tu ndiyo umewashinda.
South Africa tatizo ni kwamba ni wazungu Ndiyo wame dominate Uchumi wakati Nigeria ni watu Weusi Ndiyo wame dominate eg kina Dangote, Alakija, Adenuga
 
In 1998, Nigeria had 37 arts and sciences universities, 3 agriculture universities, 1 military university, 4 polytechnics, and 63 colleges of education.

Jiulize mlikuwa na vyuo vikuu vingapi Tanganyika mwaka 1998



Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi hicho tulikuwa na vyuo VIWILI tu chenye hadhi ya university ambacho ni UDSM, SUA
 
Na nasikia hawa wanaijeria ni wajanja Sana /matapeli / watu wa fursa
 
Jicho Langu, Nijeria Ni Nchi Pekee Africa Inayotukuza Utamaduni Wao Kwa Kulinda Mila Na Desturi Zao....
Wanaamini Katk Wao Ndo Maana Hawajaathiriwa Sana Na Tamaduni Za Kimagharibi Tofaut Na Nchi Zngne Baada Yakuja Umagharibi Tumezificha Mila Zetu Na Kuhisi Ni Mambo Yakizamani....
Mfano Sisi Wabongo Hatuna Uhalisia Wowote Katka Kila Tulifanyalo Yaani Kila Kitu Ni Tunakopi Kwa Wazungu, Tujifunze Kwa Nijeria Maybe Twaweza Toboa
Ila naijeria kuna ukabila!!!!

Hizo Mila na desturi zimesababisha ukabila haswa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
South Africa tatizo ni kwamba ni wazungu Ndiyo wame dominate Uchumi wakati Nigeria ni watu Weusi Ndiyo wame dominate eg kina Dangote, Alakija, Adenuga
Sasa mada inaongelea matatizo ya wanaohodhi uchumi Africa?
 
Back
Top Bottom