Kwanini takwimu za tozo haziwekwi wazi?

Kwanini takwimu za tozo haziwekwi wazi?

Huwa najiuliza toka ile kauli ya kuwa serikali imekusanya takriban 48 billion ambayo ilikuwa ni kiwango cha miezi kadhaa tu baada ya tozo kuanza. Je, makusanyo hayajaongezeka na kama yameongezeka yamefikia kiwango gani? Kwanini hakuna uwazi juu ya hayo makusanyo ya tozo ikiwa lengo liko wazi kuwa zitajengea madarasa.

Katika swala ambalo linanipa ukakasi ni kwamba total ya miamala inayofanyika kwa baadhi ya mitandao hukifikia wastani wa 10T kila mwezi. Tuna mitandao mitano kwa sasa ila ilio active zaidi ni minne.

Je, kupitia hii miamala ni kweli kuwa transactions za mitandao yote minne zinaweza kuzalisha 50B tu kwa mwezi mmoja? Yani out of 40T average transactions za mwezi upate 50B pekee? Ikumbukwe kuwa jamaa wanachukua VAT kisha wanachukua na Tozo ambazo ni 70% ya kile ambacho wenye mtandao wanatuchaji wao kwao kinaingia kama kilivyo maana hakitozwi VAT.

Is this thing making any sense to you? Kwanini makusanyo ya Tozo yasiwekwe wazi kama ambavyo zimeitwa za uzalendo maana zinatuhusu wananchi by 100%?

Assume wachukue buku tu kwenye kila muamala je kwa 10T transactions serikali inatengeneza bei gani?View attachment 2061575View attachment 2061576
Sasa kama mtandao mmoja unazalisha almost 90% ya budget kwa mwaka kwa miamala tu kweli tozo ambazo hazina makato kwa mitandao yote ndio ziwe 48B kwa miezi mitatu?[emoji28][emoji28][emoji28]
Tozo itakuwa ni mradi wa mwigulu na boss wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutulie wakati wataalamu wetu wakijumlisha hesabu zote Kwa pamoja. Kila kitu kitakaa sawa. Tuendelee kuchutama
 
Hii nchi siku akipatikana wa kulianzisha hakika thawabu zote za Mungu zitakuwa juu yake..sema ndio hivyo bhana ujamaa umetufanya tuwe wapole na wajinga mno

20211229_183129.jpg
 
Huwa najiuliza toka ile kauli ya kuwa serikali imekusanya takriban 48 billion ambayo ilikuwa ni kiwango cha miezi kadhaa tu baada ya tozo kuanza. Je, makusanyo hayajaongezeka na kama yameongezeka yamefikia kiwango gani? Kwanini hakuna uwazi juu ya hayo makusanyo ya tozo ikiwa lengo liko wazi kuwa zitajengea madarasa.

Katika swala ambalo linanipa ukakasi ni kwamba total ya miamala inayofanyika kwa baadhi ya mitandao hukifikia wastani wa 10T kila mwezi. Tuna mitandao mitano kwa sasa ila ilio active zaidi ni minne.

Je, kupitia hii miamala ni kweli kuwa transactions za mitandao yote minne zinaweza kuzalisha 50B tu kwa mwezi mmoja? Yani out of 40T average transactions za mwezi upate 50B pekee? Ikumbukwe kuwa jamaa wanachukua VAT kisha wanachukua na Tozo ambazo ni 70% ya kile ambacho wenye mtandao wanatuchaji wao kwao kinaingia kama kilivyo maana hakitozwi VAT.

Is this thing making any sense to you? Kwanini makusanyo ya Tozo yasiwekwe wazi kama ambavyo zimeitwa za uzalendo maana zinatuhusu wananchi by 100%?

Assume wachukue buku tu kwenye kila muamala je kwa 10T transactions serikali inatengeneza bei gani?View attachment 2061575View attachment 2061576
Sasa kama mtandao mmoja unazalisha almost 90% ya budget kwa mwaka kwa miamala tu kweli tozo ambazo hazina makato kwa mitandao yote ndio ziwe 48B kwa miezi mitatu?[emoji28][emoji28][emoji28]
Mwigulu hana tofauti na Dr Pimbi wa gazeti la Sani.
 
Naimani kesho wataitoa ripoti yenye mnyumbulisho wenye ukakasi juu ya majumuisho ya TOZO,,
Tujiandae kisaikolojia..korona itahusishwa kuporomosha TOZO,kupatwa kwa jua kutahusishwa kuporomoshwa kwa TOZO na kutonyesha mvua kwa wakati kutahusishwa kuporomoka kwa kiwango cha TOZO.
 
Madelu alitoa takwimu za tozo kama mara mbili hivi kipindi kile watu wakizipigia kelele, baada ya kuona mambo yamepoa madelu hatoi tena mahesabu ya tozo na matumizi yake, inawezekana wanazibunya kimya kimya......
 
Back
Top Bottom