Kwanini Tanganyika iliuhitaji zaidi Muungano kuliko Zanzibar?

Kwanini Tanganyika iliuhitaji zaidi Muungano kuliko Zanzibar?

Nyerere anapenda sifa,alitaka ndo awe Rais wa Jamhuri ya Muungano. Unajua kwa nini Africa walishindwa kuungana?

Moja ya sababu ni personal ambitions. Nyerere alitaka ndo awe Rais wa Muungano wa Africa huku Nkurumah nae anataka.
Nyerere alikuwa na ukibaraka flan kwa wazungu ingawa alikuwa na matamshi ya kijasiri mdomoni na sera za kizalendo kwenye makaratasi.
Demokrasia haikuwa hobby yake!
Ujamaa aliutafsiri kama dini!
Baba mbabe flan hivi!
Hata muungano wa Africa alishirikiana na wanaoukataa akampinga sana Nkrumah, akitaka regional blocks kwanza!
Nkrumah akauawa kikatili kwa kupambania United States of Africa (kama kilichompata Gadafi na benk ya Africa!)
Tishio la wakati ule kuidhibiti zanzibar (warsaw pact vs NATO...Ubepari vs ujamaa...soviet vs west), sio tishio lile lile leo.
Kwa sasa tishio ni ulinzi wa coastline dhidi ya magendo, ugaidi na maliasili za bahari!
Zanzibar should remain economically and politically healthy BUT, strictly, in our palms!
We don't care much what their papers of sovereignty read.
Our country can't afford restless nights due to an island susceptible to patent and non patent eco-political foe.
Actually, elites are anticipating and pursuing ONE GOVERNMENT state of affair. We have already sacrificed/invested a lot for this pleasurable grail.
 
Nyerere alikuwa na ukibaraka flan kwa wazungu ingawa alikuwa na matamshi ya kijasiri mdomoni na sera za kizalendo kwenye makaratasi.
Demokrasia haikuwa hobby yake!
Ujamaa aliutafsiri kama dini!
Baba mbabe flan hivi!
Hata muungano wa Africa alishirikiana na wanaoukataa akampinga sana Nkrumah, akitaka regional bocks kwanza!
Si alijua Nkurumah ndo angekuwa Rais wa Africa. Nyerere alitaka blocks cause alijua blocks ya huku south east yeye ndo angekuwa number one.Ndo maana wakaishia kuanzisha OAU huku kila nchi ikibaki na unchi wake.
 
Kama wewe na mimi hatufaidiki chochote na huu Muungano ujue wapo Watanganyika wengine wanafaidika sana na huu Muungano na wanafanya maombi kila siku huu Muungano uendelee kudumu 😅🙏🙏 !
mbona swali dogo tu, iwe wewe au wengine, tuambieni nini sisi tumefaidika nacho ambacho hata ukisimama mbele za watu unaweza kutetea hoja. kama wewe unasema wapo wanaofaidika, bila shaka faida hizo unazijua, tutajie basi hao wengine wanafaidikaje.

ukweli mchungu ni kwamba wazanzibar pekee ndio wanafaidika na huu muungano, kitu pekee ambacho waTanganyika tumefumbwa mdomo tusiongee wanasema tunafaidika na "ulinzi". ukiwauliza ulinzi wa nini kwenye dunia hii ambayo sio mtu lazima akae karibu na wewe akupite, anaweza kutoka nchi ya mbali akakupiga, wanatoa tu mimacho. ama wanasema ugaidi, wakati Tanganyika kuna ugaidi kuliko hata zanzibar. kwani hata kwao kukiwa na ugaidi,tukifunga mipaka yetu vizuri wajijue wenyewe huko sisi tunaathirika nini? tuwe wakweli.
 
Anayejua kwanini China na ukubwa wake wote inaig'ang'ania Taiwan anieleze vyema kwanza!
 
Kwa mujibu wa maandiko mbalimbali muungano haukuwa hata kwa maono ya Nyerere na Karume. Hii shughuli nzima ilifanywa na mabeberu (CIA & waingereza). Wazee wetu walifuata tu maelekezo. Sababu kuu ni kuepusha Zanzibar kuingia mikononi mwa wakomunist. Mzee Nyerere alikubali haraka proposal ya CIA kwasababu hata yeye alikuwa anaona tishio la kiusalama kwa uwepo wa Zanzibar jirani.
 
mbona swali dogo tu, iwe wewe au wengine, tuambieni nini sisi tumefaidika nacho ambacho hata ukisimama mbele za watu unaweza kutetea hoja. kama wewe unasema wapo wanaofaidika, bila shaka faida hizo unazijua, tutajie basi hao wengine wanafaidikaje.

ukweli mchungu ni kwamba wazanzibar pekee ndio wanafaidika na huu muungano, kitu pekee ambacho waTanganyika tumefumbwa mdomo tusiongee wanasema tunafaidika na "ulinzi". ukiwauliza ulinzi wa nini kwenye dunia hii ambayo sio mtu lazima akae karibu na wewe akupite, anaweza kutoka nchi ya mbali akakupiga, wanatoa tu mimacho. ama wanasema ugaidi, wakati Tanganyika kuna ugaidi kuliko hata zanzibar. kwani hata kwao kukiwa na ugaidi,tukifunga mipaka yetu vizuri wajijue wenyewe huko sisi tunaathirika nini? tuwe wakweli.
Swali gumu hili !
Labda tuseme kwamba muungano wetu ni wa udugu wa damu 😅🙏🙏
 
Kwa mujibu wa maandiko mbalimbali muungano haukuwa hata kwa maono ya Nyerere na Karume. Hii shughuli nzima ilifanywa na mabeberu (CIA & waingereza). Wazee wetu walifuata tu maelekezo. Sababu kuu ni kuepusha Zanzibar kuingia mikononi mwa wakomunist. Mzee Nyerere alikubali haraka proposal ya CIA kwasababu hata yeye alikuwa anaona tishio la kiusalama kwa uwepo wa Zanzibar jirani.
Mmhh !
 
Anayejua kwanini China na ukubwa wake wote inaig'ang'ania Taiwan anieleze vyema kwanza!
Kwa sababu wachina wanaamini hiyoTaiwan ni sehemu ya China kama ilivyo kwa HongKong !
 
Nyerere anapenda sifa,alitaka ndo awe Rais wa Jamhuri ya Muungano. Unajua kwa nini Africa walishindwa kuungana?

Moja ya sababu ni personal ambitions. Nyerere alitaka ndo awe Rais wa Muungano wa Africa huku Nkurumah nae anataka.
we baba ako alifanya nn
 
Nyerere anapenda sifa,alitaka ndo awe Rais wa Jamhuri ya Muungano. Unajua kwa nini Africa walishindwa kuungana?

Moja ya sababu ni personal ambitions. Nyerere alitaka ndo awe Rais wa Muungano wa Africa huku Nkurumah nae anataka.
Duuh umetisha
 
Back
Top Bottom