Muda mwingine huwa nawaza km wee yaan.Hivi kuna watu humu walioshuhudia hiyo vita? Haya mambo ya Tz kupigana kuna muda mi huwa nahisi chai.... mbona sie ni wapole, waoga, hatupendi makuu, anaetuumiza tunamuachia Mungu hao waliopigana ni kina nani? hawakuacha kizazi chao cha kichujaa? Au wote walikufa kwenye vita?
Alieshuhudia anielezee (sio aliesoma kwenye vitabu wala Wikipedia)
Waliopigana waliuliwa wote hukohukoHivi kuna watu humu walioshuhudia hiyo vita? Haya mambo ya Tz kupigana kuna muda mi huwa nahisi chai.... mbona sie ni wapole, waoga, hatupendi makuu, anaetuumiza tunamuachia Mungu hao waliopigana ni kina nani? hawakuacha kizazi chao cha kishujaa? Au wote walikufa kwenye vita?
Alieshuhudia anielezee (sio aliesoma kwenye vitabu wala Wikipedia)
Hapo sawa....tukabaki sisiWaliopigana waliuliwa wote hukohuko
Kuna namna umeandika hii kitu kinamna sana...!;Kuelewa inabidi usiwe umekata windoek.Hivi kuna watu humu walioshuhudia hiyo vita? Haya mambo ya Tz kupigana kuna muda mi huwa nahisi chai.... mbona sie ni wapole, waoga, hatupendi makuu, anaetuumiza tunamuachia Mungu hao waliopigana ni kina nani? hawakuacha kizazi chao cha kishujaa? Au wote walikufa kwenye vita?
Alieshuhudia anielezee (sio aliesoma kwenye vitabu wala Wikipedia)
Hakuna vita iliyowahi kupiganwa baina ya Tanzania na Uganda. Hizo ni chai tu za kijiweni. Wala hakujawahi kuwa na mtu anaitwa Idd Amini wa Nyerere.Najua umefundishwa kwamba Idd Amin ndo alivamia TZ na kutaka kuchukua eneo la kagera. Historia ilipindishwa mkuu. Nyerere ndo ali mchokoza Idd Amin, na hatimaye kumuondoa madarakani.
Hizi story za vita usikute ni chai....labda tz ilipigana vita ya kiuchuniKuna namna umeandika hii kitu kinamna sana...!;Kuelewa inabidi usiwe umekata windoek.
Vita gani mgambo wanashiriki na kushinda? Tumesoma Jeshi la akiba (mgambo) kwenye ya Vita hii.Hizi story za vita usikute ni chai....labda tz ilipigana vita ya kiuchuni