MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,843
- 5,476
Huitaj kuambiwa kuwa mtu mweupe ni adui wa ngozi nyeusi aliyejificha kwenye mwamvuli wa MISAADA mara kutetea democracy. Hao walioko ndani wako kisheria, nilifikir ungekuja na vifungu vya sheria kuonesha hawajatendewa haki kuweko huko ndani.Kuwa kiongoz wa siasa sio kinga ya kuishi utakavyo nje ya sheria. Kila nchi inataratibu zake ktk kufikia malengo. Haiwez ikawa nchi kama kila siku watu wanaamua kuandamana ovyo na bila sababu za mcng. Umeambiwa fanya siasa ktk jambo lako lkn hutaki unataka ukafanye siasa kwenye jimbo la mwenzio. Kwamba unataka kugundua nini huko?Mattz ya wananchi wako yameisha kiasi uone ni mda wa kwenda kwenye jimbo la mwenzangu?Rais kafuta sherehe za uhuru na hela kaagiza zijenge hospital, we unapinga oooh bunge halijapitisha so tuandamane na wakati unajua fika hilo swala hata lingeletwa huko bungeni lingepita. Hizi sio siasa uchwara?Madictator sikuzote huaminisha watu wao kuwa kuna maadui wa nje hawawatakii mema na pia kuna watu ndani ya nchi wanatumiwa na maadui wa nje.Kwa kuaminisha watu hivyo huendelea kukaa madarakani na kujustfy matendo yao.
Kwani hawezi pigana hiyo vita ya kiuchumi bila kuingilia mikutano ya kisiasa, kusweka ndani wanasiasa, wanasiasa kupotea, kupigwa risasi, kubadili sheria za takwimu nk?
Pia Uganda au Rwanda wakiharibu na kutoambiwa haamaanishi na wewe ukikosea usiambiwe. Kuna wengine hawaambiwi sababu wanaonekana wameshakuwa doomed, hawarekebishiki. Mtu akikushauri ujirekebishe ujue ameona una uwezo wa kufanya makubwa.
Endeleeni na Rafiki wa dhati kutoka China, Siku wakishika uchumi wote ndiyo muanze kulialia.