Kwanini Tanzania na sio Cameroon: Imperialism and Barbaric actions against patriotism

Kwanini Tanzania na sio Cameroon: Imperialism and Barbaric actions against patriotism

Nafikiri wewe ndio hauko timamu. Mbowe anamshtaka mangapi huko mahakaman?Hujui kuandamana bila kutoa taarifa polisi ni kosa kisheria?Mbowe alitoa wapi taarifa ya kuandamana zaid ya saa 12 jioni?Huoni hapa tu kuna kosa hata wakisema wamfutie makosa mengine?Unaruhusiwa kudai HAKI na ni HAKI yako ya msingi lkn kuna taratibu zake ktk kudai HAKI. Je ukikiuka hizo taratibu sio kosa kisheria?
Nini chanzo cha maandamano? Umekunywa pombe ya wapi? Ule uchaguzi ulikuwa wa ccm peke yao?
 
Uchambuzi mzuri sana.
Uzuri wa vita hii Jemedari wetu Mkuu mhe.John anamjua adui na mbinu zake zote.
Watashindana lakini hawatashinda maana hata yule aliyeijenga misingi ya ulimwengu yuko upande wetu.
Kikubwa ni Watanzania kuwa wazalendo atakayeleta usaliti afanywe kama Kashogi-yes kwa faida ya taifa.
MANENO kuntu walahi
 
Nafikiri wewe ndio hauko timamu. Mbowe anamshtaka mangapi huko mahakaman?Hujui kuandamana bila kutoa taarifa polisi ni kosa kisheria?Mbowe alitoa wapi taarifa ya kuandamana zaid ya saa 12 jioni?Huoni hapa tu kuna kosa hata wakisema wamfutie makosa mengine?Unaruhusiwa kudai HAKI na ni HAKI yako ya msingi lkn kuna taratibu zake ktk kudai HAKI. Je ukikiuka hizo taratibu sio kosa kisheria?
Achana na chadrama mcharuko mizee ya matukio
 
Achana na chadrama mcharuko mizee ya matukio
Wewe tena kichwa box ulimshambulia fatma karume kuhusu rangi za bandela ya Taifa leo mwenyekiti wako kakubomoa kwisha habar yako
 
IMPERIALISM AND PATRIOTISM

Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime.

Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga wafuasi wa upinzani na kuua watu kinyama barabarani mwezi octoba mauaji ya kutisha yalifanyika lakini hakuna measures zinazochukuliwa kwa Paul Biya na serikali yake.Juzi tarehe 5-dec US imepeleka msaada wa dollar Bilioni 27 Cameroon licha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu na kutokuwepo na political change Rais Biya yupo madarakani kwa miaka 36.

Tumeona namna Tanzania ikipigiwa kelele na mataifa makubwa ya Magharibi na matamko yakitolewa huku na kule na vitisho juu.

Mnamo mwezi Novemba 2016 Bunge liliishauri serikali isijiunge na mkataba wa EPA na serikali ilikataa kujiunga na EPA, lakini jumuiya ya EU ikaja juu na kutoa vitisho mbali mbali lakini serikali ilisimamia msimamo wake baadae EU wakawaomba Museveni na Uhuru wamshauri Magufuli asaini mkataba kandamizi wa EPA na Museveni alimshawishi Magufuli ila mpaka sasa Magufuli hajasaini.Mkataba wa EPA ni mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi za EU na EAC lakini kwasisi tutabaki kuwa importers tu kuwanufaisha na viwanda vyetu vitakufa na hata ndoto ya viwanda itakufa.

Rais magufuli na Kagame walipiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba tukaona USA ikaja juu na kutishia kuiwekea vikwazo Tanzania baadae serikali ya Tanzania ikalegeza.

Suala la Acasia likivyokuwa handled na Rais wa Tanzania kiukweli hii imewagusa imperialists kwa kiasi kikubwa ukizingatia dhahabu ni moja ya resource muhimu kwa US na Nchi za ulaya na kutetereka kwa kampuni kubwa ya madini ya hawa wakubwa lazima wawatetee wafanya biashara wao.


Je Hawa mabwana wapo concerned kweli na haki za binaadamu zinazodaiwa kuvunjwa Tanzania ndio maana nikatolea mfano nchi kama Cameroon chini ya rais Biya mbona hashambuliwi kama rais wa Tanzania.

Lets stop this Imperialism and Barbaric actions from Imperialists and the best way to counter this horror and Barbarism is to be patriotic to our mother land no body will liberate our economy ila ni sisi wenyewe tu kama vile babu zetu walivyopigania uhuru wa nchi hakuna imperialist aliyekuja kufanya liberation Africa ila patriotism na nationalism ya wazee wetu ndio iliyotuletea uhuru.

Hivyo basi hakuna yeyote atakayekuja kufanya liberation ya uchumi Africa isipokuwa patriotic na nationalists kama Rais Magufuli na wengineo.Imperialists siku zote wanapenda Africa na Latin America iwe ni dump ya bidhaa zao na kunyonya maliasili za nchi za bara hizi kwa kuwarubuni viongozi kwa mikataba mibovu na later kuja kutoa pesa kwa mgongo wa msaada.



Ukiukwaji wa haki za binaadamu kama US na EU wanavyosema mbona Egpt hakuna haki za LGTB na ni kosa la jinai kufanya ushoga na sheria zao ni kandamizi maisha jela mbona hatusikii wakitolewa kauli na wakilaaniwa kwa kuminya haki za binaadamu na kila mwaka US hupeleka pesa Egypt kuchangia bajeti..Why Tanzania na sio Egypt obvious utajua ni tough stance ya rais Magufuli ya kufanya liberation ya uchumi na kutetetea exploitation ya resources na kustand against capitalist Barbarism.

Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.

Revolution is not a bed of roses.A revolution is a struggle between the future and the past.

-Fidel Castro
We don't need to compare to the loser or to those who have failed..!

Tanzania since she was democratic country, so we need not to see barbaric kind of rules because it's not our culture...!
 
Narudia tena ulimuona akisema mtaishia gerezani? Uliwahi kumsikia anajiapiza kwenye utawala wangu hili halifanyiki? Uliwahi kusikia anawaita mabeberu?

Wale jamaa wanatune taratibu tu mtu alambe matapishi yake ulimi uliponza kichwa kwani anagekuwa na misheni zake za kufunga wakina mbowe nani angajua kwa nini alopoke hadharani? Ujue anawatia hadi majaji kweye wakat mgumu pengine kesi inaweza kuwa mpinzani anakosa lakin kishasikia mtaishia gerezani unafikir nani ataikubali hukumu? Amka wewe pompi
Kumbe ulitaka jk akuambie ndio ujue alikua adui wa democracy?Yani kule kuitwa kunywa juice ikulu ndio kukuza democracy?Unajua nini kiliendelea baada ya wao kunywa juice?Mauaji na mateso ya watu mbalimbali kipindi cha jk leo yamefutika?Rais yuko SAHIHI kabisa,sio kwa wanasiasa tu.Mtu yyt asiye heshimu sheria lazima aishie gerezani na hili liko wazi.Huo ndio ukweli mchungu,mkileta ujinga mtaishia jela
 
Kumbe ulitaka jk akuambie ndio ujue alikua adui wa democracy?Yani kule kuitwa kunywa juice ikulu ndio kukuza democracy?Unajua nini kiliendelea baada ya wao kunywa juice?Mauaji na mateso ya watu mbalimbali kipindi cha jk leo yamefutika?Rais yuko SAHIHI kabisa,sio kwa wanasiasa tu.Mtu yyt asiye heshimu sheria lazima aishie gerezani na hili liko wazi.Huo ndio ukweli mchungu,mkileta ujinga mtaishia jela
Naona akili yako inayumba hapa tunazungumzia kwa nini jiwe ni mhanga wa wazungu na kauli zake zisizo na tija hivi kwa akili yako kuna mahali nimezungumzia democracy?
 
Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.
Mchina viwanda vya nchi za magharibi
 
Kumbe ulitaka jk akuambie ndio ujue alikua adui wa democracy?Yani kule kuitwa kunywa juice ikulu ndio kukuza democracy?Unajua nini kiliendelea baada ya wao kunywa juice?Mauaji na mateso ya watu mbalimbali kipindi cha jk leo yamefutika?Rais yuko SAHIHI kabisa,sio kwa wanasiasa tu.Mtu yyt asiye heshimu sheria lazima aishie gerezani na hili liko wazi.Huo ndio ukweli mchungu,mkileta ujinga mtaishia jela
Problem tuliyonayo watu wengi wamekuwa mateka wa propaganda za upinzani.
Ukiuliza kosa la Maghufuli,
-watakwambia dikteta! Sijui dikteta wanamjua? Na anayeongoza kuwaaminisha hivyo anatawala chama chake kidikteta! Anang'ang'ania madaraka kwa kujenga ufalme badala ya utaasisi.
-Watakwambia anaminya uhuru wa habari, alafu kila siku hapa JF wanamtukana matusi yasiyo na idadi!
Ukweli ni kwamba Maghufuli anapendwa na watu wa chini ambao ndiyo wengi sababu anatekeleza ahadi kwa kasi ya ajabu. Wapinzani baada ya kugundua kwa njia ya kura hawawezi kushinda, wakabuni njia ya kumchafua hasa kwa mataifa ya nje. Yaani wanatanguliza ulafi wao wa kushika madaraka kwa kuhatarisha maendeleo na usalama kwa watu wote.

Sijawahi kuliwaza hili, lakini Sasa hivi nimeanza kuelewa kwa nini states huwa zina wapoteza wasaliti kwa njia mbalimbali!
 
IMPERIALISM AND PATRIOTISM

Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime.

Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga wafuasi wa upinzani na kuua watu kinyama barabarani mwezi octoba mauaji ya kutisha yalifanyika lakini hakuna measures zinazochukuliwa kwa Paul Biya na serikali yake.Juzi tarehe 5-dec US imepeleka msaada wa dollar Bilioni 27 Cameroon licha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu na kutokuwepo na political change Rais Biya yupo madarakani kwa miaka 36.

Tumeona namna Tanzania ikipigiwa kelele na mataifa makubwa ya Magharibi na matamko yakitolewa huku na kule na vitisho juu.

Mnamo mwezi Novemba 2016 Bunge liliishauri serikali isijiunge na mkataba wa EPA na serikali ilikataa kujiunga na EPA, lakini jumuiya ya EU ikaja juu na kutoa vitisho mbali mbali lakini serikali ilisimamia msimamo wake baadae EU wakawaomba Museveni na Uhuru wamshauri Magufuli asaini mkataba kandamizi wa EPA na Museveni alimshawishi Magufuli ila mpaka sasa Magufuli hajasaini.Mkataba wa EPA ni mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi za EU na EAC lakini kwasisi tutabaki kuwa importers tu kuwanufaisha na viwanda vyetu vitakufa na hata ndoto ya viwanda itakufa.

Rais magufuli na Kagame walipiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba tukaona USA ikaja juu na kutishia kuiwekea vikwazo Tanzania baadae serikali ya Tanzania ikalegeza.

Suala la Acasia likivyokuwa handled na Rais wa Tanzania kiukweli hii imewagusa imperialists kwa kiasi kikubwa ukizingatia dhahabu ni moja ya resource muhimu kwa US na Nchi za ulaya na kutetereka kwa kampuni kubwa ya madini ya hawa wakubwa lazima wawatetee wafanya biashara wao.


Je Hawa mabwana wapo concerned kweli na haki za binaadamu zinazodaiwa kuvunjwa Tanzania ndio maana nikatolea mfano nchi kama Cameroon chini ya rais Biya mbona hashambuliwi kama rais wa Tanzania.

Lets stop this Imperialism and Barbaric actions from Imperialists and the best way to counter this horror and Barbarism is to be patriotic to our mother land no body will liberate our economy ila ni sisi wenyewe tu kama vile babu zetu walivyopigania uhuru wa nchi hakuna imperialist aliyekuja kufanya liberation Africa ila patriotism na nationalism ya wazee wetu ndio iliyotuletea uhuru.

Hivyo basi hakuna yeyote atakayekuja kufanya liberation ya uchumi Africa isipokuwa patriotic na nationalists kama Rais Magufuli na wengineo.Imperialists siku zote wanapenda Africa na Latin America iwe ni dump ya bidhaa zao na kunyonya maliasili za nchi za bara hizi kwa kuwarubuni viongozi kwa mikataba mibovu na later kuja kutoa pesa kwa mgongo wa msaada.



Ukiukwaji wa haki za binaadamu kama US na EU wanavyosema mbona Egpt hakuna haki za LGTB na ni kosa la jinai kufanya ushoga na sheria zao ni kandamizi maisha jela mbona hatusikii wakitolewa kauli na wakilaaniwa kwa kuminya haki za binaadamu na kila mwaka US hupeleka pesa Egypt kuchangia bajeti..Why Tanzania na sio Egypt obvious utajua ni tough stance ya rais Magufuli ya kufanya liberation ya uchumi na kutetetea exploitation ya resources na kustand against capitalist Barbarism.

Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.

Revolution is not a bed of roses.A revolution is a struggle between the future and the past.

-Fidel Castro

Tatizo udikteta sio Tabia yetu.. Wanaamini wakikemea tutabadilika.. Mtoto aleavyo ndivyo akuavyo. Mambo haya mageni sana nchini na ulimwenguni pia wanajua hatujakuzwa na kulelewa kihivyo. Waasisi wetu na warithi wao wanashangaa pia. Ukibadilika kidogo au ukionekana unabadilika kila mtu anaona.. Ni hivyo tuu
 
Washamba wa siasa kwa kivuli cha demokrasia wanafanya fitna nje ya Nchi kwa wanaowatuma bila kujitambua, kutokana na ulevi wa uchochezi, ipo siku Tanzania itawalilia na machozi yake yatalaani vizazi vyao maisha yote..
Watakuwa zaidi ya chifu Mangungo alieuza utu, watu na Nchi yake kwa chupa ya wine na kioo cha kujitazamia. SHAME ON YOU!
IMPERIALISM AND PATRIOTISM

Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime.

Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga wafuasi wa upinzani na kuua watu kinyama barabarani mwezi octoba mauaji ya kutisha yalifanyika lakini hakuna measures zinazochukuliwa kwa Paul Biya na serikali yake.Juzi tarehe 5-dec US imepeleka msaada wa dollar Bilioni 27 Cameroon licha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu na kutokuwepo na political change Rais Biya yupo madarakani kwa miaka 36.

Tumeona namna Tanzania ikipigiwa kelele na mataifa makubwa ya Magharibi na matamko yakitolewa huku na kule na vitisho juu.

Mnamo mwezi Novemba 2016 Bunge liliishauri serikali isijiunge na mkataba wa EPA na serikali ilikataa kujiunga na EPA, lakini jumuiya ya EU ikaja juu na kutoa vitisho mbali mbali lakini serikali ilisimamia msimamo wake baadae EU wakawaomba Museveni na Uhuru wamshauri Magufuli asaini mkataba kandamizi wa EPA na Museveni alimshawishi Magufuli ila mpaka sasa Magufuli hajasaini.Mkataba wa EPA ni mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi za EU na EAC lakini kwasisi tutabaki kuwa importers tu kuwanufaisha na viwanda vyetu vitakufa na hata ndoto ya viwanda itakufa.

Rais magufuli na Kagame walipiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba tukaona USA ikaja juu na kutishia kuiwekea vikwazo Tanzania baadae serikali ya Tanzania ikalegeza.

Suala la Acasia likivyokuwa handled na Rais wa Tanzania kiukweli hii imewagusa imperialists kwa kiasi kikubwa ukizingatia dhahabu ni moja ya resource muhimu kwa US na Nchi za ulaya na kutetereka kwa kampuni kubwa ya madini ya hawa wakubwa lazima wawatetee wafanya biashara wao.


Je Hawa mabwana wapo concerned kweli na haki za binaadamu zinazodaiwa kuvunjwa Tanzania ndio maana nikatolea mfano nchi kama Cameroon chini ya rais Biya mbona hashambuliwi kama rais wa Tanzania.

Lets stop this Imperialism and Barbaric actions from Imperialists and the best way to counter this horror and Barbarism is to be patriotic to our mother land no body will liberate our economy ila ni sisi wenyewe tu kama vile babu zetu walivyopigania uhuru wa nchi hakuna imperialist aliyekuja kufanya liberation Africa ila patriotism na nationalism ya wazee wetu ndio iliyotuletea uhuru.

Hivyo basi hakuna yeyote atakayekuja kufanya liberation ya uchumi Africa isipokuwa patriotic na nationalists kama Rais Magufuli na wengineo.Imperialists siku zote wanapenda Africa na Latin America iwe ni dump ya bidhaa zao na kunyonya maliasili za nchi za bara hizi kwa kuwarubuni viongozi kwa mikataba mibovu na later kuja kutoa pesa kwa mgongo wa msaada.



Ukiukwaji wa haki za binaadamu kama US na EU wanavyosema mbona Egpt hakuna haki za LGTB na ni kosa la jinai kufanya ushoga na sheria zao ni kandamizi maisha jela mbona hatusikii wakitolewa kauli na wakilaaniwa kwa kuminya haki za binaadamu na kila mwaka US hupeleka pesa Egypt kuchangia bajeti..Why Tanzania na sio Egypt obvious utajua ni tough stance ya rais Magufuli ya kufanya liberation ya uchumi na kutetetea exploitation ya resources na kustand against capitalist Barbarism.

Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.

Revolution is not a bed of roses.A revolution is a struggle between the future and the past.

-Fidel Castro
 
Kashindwa nyerere kulinda heshima akazugia kung'atuka sembuse sasa hivi.
Uchambuzi mzuri sana.
Uzuri wa vita hii Jemedari wetu Mkuu mhe.John anamjua adui na mbinu zake zote.
Watashindana lakini hawatashinda maana hata yule aliyeijenga misingi ya ulimwengu yuko upande wetu.
Kikubwa ni Watanzania kuwa wazalendo atakayeleta usaliti afanywe kama Kashogi-yes kwa faida ya taifa.
 
Mali zote si zetu sisi ni wasimamizi tu wa mali thus wao ndo wanunuzi wakigoma tutayachezea bao madini yetu.Madikteta wengine wanajua kucheza na vipofu,ukimgusa kipofu lzm jiwe lipondwe na nyundo
IMPERIALISM AND PATRIOTISM

Nimekuwa najiuliza kwanini Tanzania na sio Cameroon na kwanini Magufuli regime na sio incumbent Paul Biya regime.

Cameroon chini ya Rais Paul Biya aliyedumu madarakani kwa takribani miaka 36 na Cameroon iliyo na matatizo lukuki ya ndani tumeshuhudia jeshi ikiwapiga wafuasi wa upinzani na kuua watu kinyama barabarani mwezi octoba mauaji ya kutisha yalifanyika lakini hakuna measures zinazochukuliwa kwa Paul Biya na serikali yake.Juzi tarehe 5-dec US imepeleka msaada wa dollar Bilioni 27 Cameroon licha ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu na kutokuwepo na political change Rais Biya yupo madarakani kwa miaka 36.

Tumeona namna Tanzania ikipigiwa kelele na mataifa makubwa ya Magharibi na matamko yakitolewa huku na kule na vitisho juu.

Mnamo mwezi Novemba 2016 Bunge liliishauri serikali isijiunge na mkataba wa EPA na serikali ilikataa kujiunga na EPA, lakini jumuiya ya EU ikaja juu na kutoa vitisho mbali mbali lakini serikali ilisimamia msimamo wake baadae EU wakawaomba Museveni na Uhuru wamshauri Magufuli asaini mkataba kandamizi wa EPA na Museveni alimshawishi Magufuli ila mpaka sasa Magufuli hajasaini.Mkataba wa EPA ni mkataba wa ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi za EU na EAC lakini kwasisi tutabaki kuwa importers tu kuwanufaisha na viwanda vyetu vitakufa na hata ndoto ya viwanda itakufa.

Rais magufuli na Kagame walipiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba tukaona USA ikaja juu na kutishia kuiwekea vikwazo Tanzania baadae serikali ya Tanzania ikalegeza.

Suala la Acasia likivyokuwa handled na Rais wa Tanzania kiukweli hii imewagusa imperialists kwa kiasi kikubwa ukizingatia dhahabu ni moja ya resource muhimu kwa US na Nchi za ulaya na kutetereka kwa kampuni kubwa ya madini ya hawa wakubwa lazima wawatetee wafanya biashara wao.


Je Hawa mabwana wapo concerned kweli na haki za binaadamu zinazodaiwa kuvunjwa Tanzania ndio maana nikatolea mfano nchi kama Cameroon chini ya rais Biya mbona hashambuliwi kama rais wa Tanzania.

Lets stop this Imperialism and Barbaric actions from Imperialists and the best way to counter this horror and Barbarism is to be patriotic to our mother land no body will liberate our economy ila ni sisi wenyewe tu kama vile babu zetu walivyopigania uhuru wa nchi hakuna imperialist aliyekuja kufanya liberation Africa ila patriotism na nationalism ya wazee wetu ndio iliyotuletea uhuru.

Hivyo basi hakuna yeyote atakayekuja kufanya liberation ya uchumi Africa isipokuwa patriotic na nationalists kama Rais Magufuli na wengineo.Imperialists siku zote wanapenda Africa na Latin America iwe ni dump ya bidhaa zao na kunyonya maliasili za nchi za bara hizi kwa kuwarubuni viongozi kwa mikataba mibovu na later kuja kutoa pesa kwa mgongo wa msaada.



Ukiukwaji wa haki za binaadamu kama US na EU wanavyosema mbona Egpt hakuna haki za LGTB na ni kosa la jinai kufanya ushoga na sheria zao ni kandamizi maisha jela mbona hatusikii wakitolewa kauli na wakilaaniwa kwa kuminya haki za binaadamu na kila mwaka US hupeleka pesa Egypt kuchangia bajeti..Why Tanzania na sio Egypt obvious utajua ni tough stance ya rais Magufuli ya kufanya liberation ya uchumi na kutetetea exploitation ya resources na kustand against capitalist Barbarism.

Ipo siku Tanzania na Africa itakuwa Economic independent hata Mao alivyofanya mapinduzi China alikumbana na misukosuko na Vita kutoka kwa Imperialists lakini mwisho wa siku China imesimama na kuwa Nchi iliyopiga hatua kubwa kiuchumi,kiteknolojia na viwanda.Kwenye kila mapinduzi lazima changamoto na kupigwa vita kuwepo kwa njia na mbinu mbalimbali hata kulazimisha regime change kwa kumeddle siasa za nchi.

Revolution is not a bed of roses.A revolution is a struggle between the future and the past.

-Fidel Castro
 
Washamba wa siasa kwa kivuli cha demokrasia wanafanya fitna nje ya Nchi kwa wanaowatuma bila kujitambua, kutokana na ulevi wa uchochezi, ipo siku Tanzania itawalilia na machozi yake yatalaani vizazi vyao maisha yote..
Watakuwa zaidi ya chifu Mangungo alieuza utu, watu na Nchi yake kwa chupa ya wine na kioo cha kujitazamia. SHAME ON YOU!
Team kunufaika lzm mtetei matumbo yenu mbuyu ukiondoka mtarudi kijijini
 
Problem tuliyonayo watu wengi wamekuwa mateka wa propaganda za upinzani.
Ukiuliza kosa la Maghufuli,
-watakwambia dikteta! Sijui dikteta wanamjua? Na anayeongoza kuwaaminisha hivyo anatawala chama chake kidikteta! Anang'ang'ania madaraka kwa kujenga ufalme badala ya utaasisi.
-Watakwambia anaminya uhuru wa habari, alafu kila siku hapa JF wanamtukana matusi yasiyo na idadi!
Ukweli ni kwamba Maghufuli anapendwa na watu wa chini ambao ndiyo wengi sababu anatekeleza ahadi kwa kasi ya ajabu. Wapinzani baada ya kugundua kwa njia ya kura hawawezi kushinda, wakabuni njia ya kumchafua hasa kwa mataifa ya nje. Yaani wanatanguliza ulafi wao wa kushika madaraka kwa kuhatarisha maendeleo na usalama kwa watu wote.

Sijawahi kuliwaza hili, lakini Sasa hivi nimeanza kuelewa kwa nini states huwa zina wapoteza wasaliti kwa njia mbalimbali!
Uko sawa kabisa. Hata kama kuna matatizo kwenye nchi, kwenda kuishtaki nchi yako kwa wazungu ambao siku zote una piga kelele kuwa wazungu haohao wametusainisha mikataba feki huitakii mema nchi. Mimi likitokea baya lolote kutokana na haya nitawalaumu wanasiasa walioishtaki nchi kwa wazungu na kiongozi wao tundu lisu.
 
Back
Top Bottom