Kwanini Tanzania na sio Cameroon: Imperialism and Barbaric actions against patriotism

Huitaj kuambiwa kuwa mtu mweupe ni adui wa ngozi nyeusi aliyejificha kwenye mwamvuli wa MISAADA mara kutetea democracy. Hao walioko ndani wako kisheria, nilifikir ungekuja na vifungu vya sheria kuonesha hawajatendewa haki kuweko huko ndani.Kuwa kiongoz wa siasa sio kinga ya kuishi utakavyo nje ya sheria. Kila nchi inataratibu zake ktk kufikia malengo. Haiwez ikawa nchi kama kila siku watu wanaamua kuandamana ovyo na bila sababu za mcng. Umeambiwa fanya siasa ktk jambo lako lkn hutaki unataka ukafanye siasa kwenye jimbo la mwenzio. Kwamba unataka kugundua nini huko?Mattz ya wananchi wako yameisha kiasi uone ni mda wa kwenda kwenye jimbo la mwenzangu?Rais kafuta sherehe za uhuru na hela kaagiza zijenge hospital, we unapinga oooh bunge halijapitisha so tuandamane na wakati unajua fika hilo swala hata lingeletwa huko bungeni lingepita. Hizi sio siasa uchwara?
 
Ngoja Jiwe lipondwe kwanza ndio tutakujibu
Wasting their time. It is high time now we stand firm with our beloved leader against them. This time we have won.
The more they see us moving towards being independent, the more they make noises. After all we have all the choices....watusubiri muda utawaambia.

Africa wanaopendwa ni kama hao kina Paul Biya au marehemu Omar Bongo
 

Mkuu

Umemsikia huyo kilaza alieleta uzi,eti mbona Cameroon anafanya makosa sana Jiwe kafanya machache anaadhibiwa?

Hayo hayo machache ni makosa,anatumia makosa ya wengine kufuta makosa yake!

Wamebanwa pabaya sana!

Hii dunia tenda haki na utaheshimiwa milele....

Heshima ya Mandela na Mussolini hapa duniani ni kama tembo na sisimizi!
 
Mkuu hizo ni siasa za Africa. Swala ni kwanini hao wazungu wanaiona Tanzania tu?Na history inaonesha kiongoz yyt aliyekinyume na maslai ya mzungu lzm apigwe vita ila aliyesawa naye hata kama hakuna democracy lazima wamuunge mkono. Huoni kuna la zaidi nje ya wanachoita HAKI ZA BINADAMU?
 
Kuna Tatizo gani mtu kutoka jimbo jingine kwenda kufanya mkutano jimbo jingine?

Unavyosema kwenda kufanya siasa ni kama vile siasa ni jambo baya na la vurugu. Unajua maana ya siasa? Ni hivi, Siasa ni mchakato wa kufanya maamuzi jinsi nchi itavyoendeshwa na chama cha siasa ni mkusanyiko wa watu wenye mawazo yanayofanana ya jinsi ya kuendesha nchi.

Ukiyajua hayo utajua kuwa kuna faida zaidi siasa ikifanyika kotekote nchini kuliko hasara.

Unasema wanaokamatwa na kunyimwa dhamana ni kwasababu wamevunja sheria za nchi!!!?
 
Mnafiki,kiherehere,hujitambui,unawaza Kwa kutumia masaburi na una njaa ndio unajikomba na kujipendekeza kwa Jiwe.
great! nakuhaidi nitaongeza juhudi kulinda title ulizonipa.
Naanza kwa kujipendekeza:Magufuli oyeee
Kumbuka kujibu swali ambalo haujaulizwa ni kiherehere pia, ahsante kwa kuungana na mimi kwenye kiherehere.
 
Uchambuzi mzuri lakini ni lazima tuwe ma DICTATOR ndiyo tulete mapinduzi ktk maendeleo ya uchumi ktk taifa ?!. Ushoga na usagaji mbaya ktk jamii yetu, lakini halikuwa tatizo la taifa kwa kiasi hicho . Mpaka pale mtoto mpendwa alipooanza kuwatishia amani. Tukubali approach ya Makonda sometimes ni tatizo kwa mstakbali ya nchi. Na ushahidi ni hapa.

Tatizo la utawala huu ni u dictator wa kudhani fikra za kiongozi ni sheria za kufuatwa na kila mtu. Hii si sawa kwa nchi ya ki democracy. Unyanyasaji unaofanyika kwa watu wenye mawazo tofauti na kiongozi ni mkubwa, na hili wafuasi wa huu utawala mnaliona kama jambo dogo. Haya hayakustahili kusubiria hao mabeberu wslisemee. Hili hata vikao vya ndani vya ccm vingeweza kulirekebisha. Lakini wapi ?!!!!.
Je na hili la kupitisha sheria kandamizi kwa lengo la kudhibiti wapinzani na watoa takwimu, mpaka tuwasubiri wazungu watusemee ?!

TUJIKOSOE NA KUJISAHIHISHA KABLA YA KUWALAUMU HAO MABEBERU.
 
Kawaambie EU sasa huku hamna msaada😂😂😂😂😂
 
Kikwete aliwahi kusema mtaishia jela? Uongozi unahitaji kauli makini sana anaweza kuwa na lengo zuri magufuli lakini kauli zinamponza unafikir wale hawana wadukua taarifa huku? Wakiwa ikulu anawaita wanaume wakisepa anawaita mabeberu watakufurahia? Lazima watafute namna ya kukuchomoa hii michezo huwa inachezwa kwa akili sana sio wazi wazi kama anavyofanya bwana mkubwa
 
Mpuuzi
 
Simpendi jiwe ila kwa hili nipo pamoja na mleta mada

Wazungu sio watu wazuri hta kidogo

Ona walichomfanyia lumumba, kumefanya mpaka leo kongo haikaliki
Vipi kuhusu kwame nkurumah.ghadafi na wengine wengi waliofanyiwa hujuma,na,wazungu ili wakombe rasilimali zetu!!!

Narudia tena mzungu sio mtu mzuri
 
Polisi anampiga akwelina kisha kesi anapewa mbowe hivi uko timamu wewe? Hapo ndipo tunashindwa kwenda sawa ili mzungu afungiwe vioo kwa post za kipuuzi kama hizi mnakaribisha maadui bila kujijua kuwa na akili timamu mambosasa alikiri polisi kupiga mtu risasi mwisho akabadilika baada ya kuona mambo yatawaendea vibaya hamna vipofu shwaini wewe.
 
Ngozi nyeupe yoyote haijawahi kuwa rafiki kwa mweusi hapo zambia tu nchi inaporwa na mchina

Tatizo kauli zake zinamponza na kutesa wenzie bila sababu mwisho wa siku unatengeneza genge la maadui toka ndani kwako hadi nje

Raisi anasema mtaishia gerezani tena mbele ya hadhara unafikir hamna watu waliotafsir ile hotuba?

Wazungu wakija ikulu anawaita wanaume wakienda kwao anawaita mabeberu tena hadharani hizi kauli zinamadhara makubwa sana kikwete alipiga sana wapinzani lakini alikuwa smat kwa kauli zake aliejuu yupo juu tu
 

Uko sahihi, sasa ni kipi kinafanya kiongozi wetu kama ana nia njema awafanyizie uhayawani wasiokubaliana naye? Ni kipi kinafanya afanye makosa ambayo hao wazungu watatumia kama kigezo cha kumuadhibu? Kama anadhani kuongoza nchi ni kuitetea ccm basi acha wazungu wamfanyizie na sisi tunaona hao wazungu wako sawa.
 
Kwani wewe unafiki wasiotii sheria wataishia wapi?Lipumba alipigwa kipindi cha nani?Hivi ulishwah angalia clip ya vurugu za Arusha?Au unajiropokea tu kuhusu jk?
 
Nafikiri wewe ndio hauko timamu. Mbowe anamshtaka mangapi huko mahakaman?Hujui kuandamana bila kutoa taarifa polisi ni kosa kisheria?Mbowe alitoa wapi taarifa ya kuandamana zaid ya saa 12 jioni?Huoni hapa tu kuna kosa hata wakisema wamfutie makosa mengine?Unaruhusiwa kudai HAKI na ni HAKI yako ya msingi lkn kuna taratibu zake ktk kudai HAKI. Je ukikiuka hizo taratibu sio kosa kisheria?
 
Kawafanyia nini?
 
Kwani wewe unafiki wasiotii sheria wataishia wapi?Lipumba alipigwa kipindi cha nani?Hivi ulishwah angalia clip ya vurugu za Arusha?Au unajiropokea tu kuhusu jk?
Narudia tena ulimuona akisema mtaishia gerezani? Uliwahi kumsikia anajiapiza kwenye utawala wangu hili halifanyiki? Uliwahi kusikia anawaita mabeberu?

Wale jamaa wanatune taratibu tu mtu alambe matapishi yake ulimi uliponza kichwa kwani anagekuwa na misheni zake za kufunga wakina mbowe nani angajua kwa nini alopoke hadharani? Ujue anawatia hadi majaji kweye wakat mgumu pengine kesi inaweza kuwa mpinzani anakosa lakin kishasikia mtaishia gerezani unafikir nani ataikubali hukumu? Amka wewe pompi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…