Kwanini tarehe ya Pasaka hubadilika?

Kwanini tarehe ya Pasaka hubadilika?

Unataka kuwekewa hoja kutoka kwenye Biblia iliyojaa logical fallacies na Contradictions..!!

Unataka hoja kwenye Biblia ambayo ni man-made inayokupa ugumu wa kujua siku ya pasaka ni ipi?

Kama Biblia imeshindwa kukupa majibu ya pasaka ni siku ipi exactly, unataka majibu kutoka reference ipi?
Samahani bro, hatuhitaji mashindano. We huamini Biblia, sisi tunaiamini. Tunakuomba mkuu utuache tuendelee na mada. We nenda kule kwenye jukwaa la Science, siasa au international mkuu. Samahank kwa hilo kiongozi.
 
Wayahudi Bado wanatazama mwezi na nimekupa Tarehe yao Ya leo ni Tarehe 22 Mwezi wa Adar II ambao huu ni mwezi wa Hukumu Na mwezi wa Kwanza Utafika baada ya wiki Moja so Tunategemea Pasaka Baada ya wiki Tatu kutoka sasa kwenye mwezi wa Nissani..
Still hata wakitazama na vipi kuhusu mwezi ulio ongezwa hiyo cycle itakuwa sawa kama zamani?
 
Ulikurupuka na kimsingi ndio changamoto yenu vijana wa sasa. Umenilidha maneno. Sijasema na sintasema kuwa PURIM ndio Christmas ila nimesema Msingi wa kuanzishwa kwa sherehe ya Christmas ni sawa na sherehe ya PURIMU. Kuwa mtulivu na mwenye hekima pia jitahidi kusoma between lines na sio kukurupula dogo.
Mkuu Narudia tena pengine,Hunifahamu Vizuri
Mimi kwa sasa Kuitwa Dogo niliitwa miaka Mingi sana iliyopita, Pengine hata Kijana pia..

Japo kwa Jf wengi huniita Mzee Kijana!

But Thanks Nimelikubali Hilo Jina kuanzia leo nitajiita Dogo Mambo jambo 😅😅
 
Ok Then leo ni Tarehe 22 mwezi wa Adar II mwaka 5784

In which pasaka pado Siku kadhaa kama Wiki Tatu ndp wayahudi Washerekee..
Pasaka itakuwa Itakuwa 14 mwezi Nissan 5784..

Umenielewa Mkuu?

Bado mwezi mzima Paska ndio ifanyike Ile original
Kama unaswali uliza
Mwezi Nissan ni mwezi gani ..?
 
Still hata wakitazama na vipi kuhusu mwezi ulio ongezwa hiyo cycle itakuwa sawa kama zamani?
Hakuna mwezi ulioongezwa Mkuu!
It was Just a pinch of changing the day..
Kutoka Julian Calenda kwenye Gregory ni kama wiki kadhaa tu zilikuwa skipped not kuongezwa
 
UKo sawa kabisa Na hilo sipingi..
Lakini nichosema kulikuwa na haja gani ya Kubadili jina Kutoka Paska kuwa Easter?

Kama Mungu aliamuru Ifanyike Tarehe anayotaka Yeye Then kwanini Walibadilisha??
Hiyo Easter labda wewe ndio unasheherekea ila sisi waamini tunasheherekea "Passover"😀😃😄😁😆

Kuna vitu ambavyo mkuu haviepukiki kwenye ulimwengu wa sasa nacho ni "muingiliano wa mila na tamaduni mbalimbali" japo havitakiwi kututoa katika uwepo wa Mungu. Muingiliano wa kijamii ndio chanzo cha kubadilika kwa tarehe na siku ila kikubwa ni "msingi wa kile tushehereacho" mkuu. Bado nabaki pale pale, "tunasheherekea na kukumbuka tukio gani" regardless ya siku na majira.
 
Wayahudi Bado wanatazama mwezi na nimekupa Tarehe yao Ya leo ni Tarehe 22 Mwezi wa Adar II ambao huu ni mwezi wa Hukumu Na mwezi wa Kwanza Utafika baada ya wiki Moja so Tunategemea Pasaka Baada ya wiki Tatu kutoka sasa kwenye mwezi wa Nissani..
Mwezi Nissan ndio march?
 
NImemwambia aliyeleta Concern kuwa Pasaka ziko mbili..

Ndo ntaka nizisikie na nani mwanzilishi wake?
Mada juu inazungumzia Utata wa Tarehe za pasaka..
So Bila kujua Pasaka zote mbili huwezi kujua Mada inazungumzia Pasaka ipi..

Kufungua Uzi wakati kuna uzi mwingine ni Utoto
Thanks but no Thanks

NImemwambia aliyeleta Concern kuwa Pasaka ziko mbili..

Ndo ntaka nizisikie na nani mwanzilishi wake?
Mada juu inazungumzia Utata wa Tarehe za pasaka..
So Bila kujua Pasaka zote mbili huwezi kujua Mada inazungumzia Pasaka ipi..

Kufungua Uzi wakati kuna uzi mwingine ni Utoto
Thanks but no Thanks
Unajiongeza tu lakini mtoa mada amesha maanisha ni pasaka ipi, ametaja mpaka tarehe, unasemaje sasa
 
HIyo Pasaka ya kwanza Iliwekwa na Mungu mwenyewe Na kutangaza Tarehe, hiyo paskaa ya Pili aliiweka Nani?
Na unajia Chimbuko Lake??
Hii ni tamaduni tu, kama ilivyo krismasi. Hazijawekwa kibiblia, hazijaagizwa na Mungu. Ila Yesu aliagiza wanafunzi wake wale mkate (chakula cha Bwana) kukumbuka mwili wake na pia wanywe divai kukumbuka damu yake iliyomwagika msalabani. Haya yapo Kibiblia na hufanyika kabla ya Pasaka (easter), lakini jumapili ni utaratibu uliowekwa na wanadamu kuadhimisha siku aliyofufuka Yesu. Kwa hiyo haipo kwenye biblia, kwamba ni maagizo.
 
Mkuu Narudia tena pengine,Hunifahamu Vizuri
Mimi kwa sasa Kuitwa Dogo niliitwa miaka Mingi sana iliyopita, Pengine hata Kijana pia..

Japo kwa Jf wengi huniita Mzee Kijana!

But Thanks Nimelikubali Hilo Jina kuanzia leo nitajiita Dogo Mambo jambo 😅😅
😄 🤣 😂 😆 haya mkuu, much love and respect kwako.
 
Hiyo Easter labda wewe ndio unasheherekea ila sisi waamini tunasheherekea "Passover"😀😃😄😁😆

Kuna vitu ambavyo mkuu haviepukiki kwenye ulimwengu wa sasa nacho ni "muingiliano wa mila na tamaduni mbalimbali" japo havitakiwi kututoa katika uwepo wa Mungu. Muingiliano wa kijamii ndio chanzo cha kubadilika kwa tarehe na siku ila kikubwa ni "msingi wa kile tushehereacho" mkuu. Bado nabaki pale pale, "tunasheherekea na kukumbuka tukio gani" regardless ya siku na majira.
Passover (Paska) ni Kumbukumbu Ya Mikate isiyotiwa chachu na Divai na ilisherekewa kama Kumbukumbu ya ukombozi kutoka Misri kwenda kanaani..

Easter ni Kumbukumbu siku ya Kufa na kufufuka kwa yesu..

Mkuu hizi siku ni Mbili tofauti tusipindishe kwa wale wasiojua
 
Kuna kitu umeshindwa kuelewa mkuu. Hatusheherekei siku bro, tunasheherekea "tukio".
Kuna tukio lililotokea bila siku husika?

Acha kuleta ufafanuzi uchwara.

Sema siku husika.
Pasaka tunayosheherekea inaitwa Passover na hata tukisheherekea mwezi wa 7 au 8 hatutakosea wala halitakuwa kosa kwani tunakumbuka tukio la "kazi njema ya msalaba ushindi juu ya mauti"
Eleza siku exactly ni ipi.

Yani ni sawa uambiwe tunasherehekea miaka 63 ya uhuru halafu siku husika ya uhuru wenyewe haijulikani.

Kwamba mnasherekea tukio tu ambalo hamjui lilitokea exactly siku ipi.
tunasheherekea sasa kuwa mauti ya kiroho iliyotokana na anguko la Adam pale bustanini haina nguvu tena kwetu wanadamu kwani uzao wa mwanamke ametukomboa na mauti kupitia damu yake kama ambavyo Mungu alimuua mwanakondoo pale bustanini na kumvisha Adam na mkewe ili kumuondolea aibu.

Christmas naye tunasheherekea tukio la kuzaliwa kwa Yesu na hatusheherekei siku gani au muda gani kazaliwa. Msingi wa Christmas ni sherehe ya "PURIMU" wanayosheherekea wayahudi kila tarehe 14 na 15 mwezi wa "ADARI" ambao ni mwezi 12 (December) ambapo katika tarehe 14 na 15 wayahudi hufanya karamu na kupelekeana zawadi(Boxing day)
 
Hii ni tamaduni tu, kama ilivyo krismasi. Hazijawekwa kibiblia, hazijaagizwa na Mungu. Ila Yesu aliagiza wanafunzi wake wale mkate (chakula cha Bwana) kukumbuka mwili wake na pia wanywe divai kukumbuka damu yake iliyomwagika msalabani. Haya yapo Kibiblia na hufanyika kabla ya Pasaka (easter), lakini jumapili ni utaratibu uliowekwa na wanadamu kuadhimisha siku aliyofufuka Yesu. Kwa hiyo haipo kwenye biblia, kwamba ni maagizo.
Pasaka ni agizo. Kuabudu Jumapili ni kukumbuka siku aliyofufuka kwake Yesu ni sawa tuabudu katika mwanzo mpya wa siku baada ya kuishinda mauti. Kusheherekea kuzaliwa kwa Kristo ni Agizo la malaika "Furaha kuu kwa ulimwengu, kwani leo amezaliwa Yesu aliye mkombozi wa ulimwengu" Luke 2:10.

Kuhusu "siku na majira ya sherehe", hatusheherei siku wala majira ila "tunasheherekea tukio". Nafikri nami nimechangia kidogo mkuu.
 
Kuna tukio lililotokea bila siku husika?

Acha kuleta ufafanuzi uchwara.

Sema siku husika.

Eleza siku exactly ni ipi.

Yani ni sawa uambiwe tunasherehekea miaka 63 ya uhuru halafu siku husika ya uhuru wenyewe haijulikani.

Kwamba mnasherekea tukio tu ambalo hamjui lilitokea exactly siku ipi.
Haya mkuu, kuwa na siku njema. Byeeeeeee
 
Kuna tukio lililotokea bila siku husika?

Acha kuleta ufafanuzi uchwara.

Sema siku husika.

Eleza siku exactly ni ipi.

Yani ni sawa uambiwe tunasherehekea miaka 63 ya uhuru halafu siku husika ya uhuru wenyewe haijulikani.

Kwamba mnasherekea tukio tu ambalo hamjui lilitokea exactly siku ipi.
Mkuu wanaleta Loggical fallacies kwenye Facts inayoonekana 😅😅
 
Back
Top Bottom