Pre GE2025 Kwanini TBC hawarushi Live Mkutano Mkuu wa CHADEMA? Je, hiki ni chombo cha CCM au Watanzania wote?

Pre GE2025 Kwanini TBC hawarushi Live Mkutano Mkuu wa CHADEMA? Je, hiki ni chombo cha CCM au Watanzania wote?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Inasikitisha sana kuona chombo kikuu cha habari hapa nchini, kikifanya ubaguzi kwa walipa kodi ambao kimsingi ndiyo chanzo cha uwepo wa chombo hicho.

Uchaguzi wa CHADEMA, soma Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Mimi nikiwa kama Mtanzania ambaye ningependa kufuatilia mkutano wa chama cha demokrasia na maendeleo, ninefungua chombo changu cha habari ambacho ninakilipia kodi na uendeshaji wake unajinasibu kwamba ni chombo cha Tanzania, Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, Tanzania inayojinasibu kwa demokrasia, Tanzania inayojiita nchi ya amani!

Ila nimesikitika kuona hawana muda kabisa na kikao hiki muhimu kwa Demokrasia ya Tanzania!

Hii ndiyo Tanzania inayojiita nchi ya Amani, Hii ndiyo Tanzania tunayosema chaguzi zake ni za huru na haki!

MUNGU IBARIKI AFRIKA!
 
Yaani Boss Mkuu wa hiko Chombo kakalia Kuti Kavu sema basi tu Hirizi za Tarime zinamlinda halafu unataka akosee tena?
 
Hawana uhakika na mtu wao mbowe kama atashinda kiti, wangerusha mkuu!
 
Wamefunikwa vibaya na kile kikao Chao Cha kutambika na kuteua Wassira. Chadema ndio chama Cha siasa na democrasia sio kile kikao cha unyago na wanaume wanaoendeshwa kama gari bovu na mama Abduli
 
Kwanza hakuna mtu mwenye akili zake timamu akaangalia tbc
 
Inasikitisha sana kuona chombo kikuu cha habari hapa nchini, kikifanya ubaguzi kwa walipa kodi ambao kimsingi ndiyo chanzo cha uwepo wa chombo hicho.

Mimi nikiwa kama Mtanzania ambaye ningependa kufuatilia mkutano wa chama cha demokrasia na maendeleo, ninefungua chombo changu cha habari ambacho ninakilipia kodi na uendeshaji wake unajinasibu kwamba ni chombo cha Tanzania, Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, Tanzania inayojinasibu kwa demokrasia, Tanzania inayojiita nchi ya amani!

Ila nimesikitika kuona hawana muda kabisa na kikao hiki muhimu kwa Demokrasia ya Tanzania!

Hii ndiyo Tanzania inayojiita nchi ya Amani, Hii ndiyo Tanzania tunayosema chaguzi zake ni za huru na haki!

MUNGU IBARIKI AFRIKA!
Je chama kimelipia kurusha matangazo? Au walienda kuomba mkutano urushwe wakakataa? Hivi unajua gharama ya kurusha matangazo MUBASHARA kwa siku ni bei gani? Taasisi ninayofanyia kazi mwaka jana tulikuwa na mkutano mkuu mwaka tulifanyia Arusha, tuliwapa hao TBC milioni 7 kwa siku moja ili kurusha matangazo na hapo lazima kufanya booking may be siku 3 kabla, sasa je CDM waliomba kurushwa matangazo TBC wakakataliwa? Au unadhani ni bure
 
Je chama kimelipia kurusha matangazo? Au walienda kuomba mkutano urushwe wakakataa? Hivi unajua gharama ya kurusha matangazo MUBASHARA kwa siku ni bei gani? Taasisi ninayofanyia kazi mwaka jana tulikuwa na mkutano mkuu mwaka tulifanyia Arusha, tuliwapa hao TBC milioni 7 kwa siku moja ili kurusha matangazo na hapo lazima kufanya booking may be siku 3 kabla, sasa je CDM waliomba kurushwa matangazo TBC wakakataliwa? Au unadhani ni bure
Sio kila matangazo n lazima Tz ilipwe, mara nyingi matukio ya kitaifa hua hulipwi kuonyesha, mfano kuna msiba wa kitaifa unadhani utalipwa kuonyesha? Vp vituo vingi wameenda wao wnyw kurusha matangazo ya huu mkutano wa chadema na hawajalipwa.

Nna namba za baadhi ya watu wa TBC na wapo eneo la mkutano wa chadema, ila ishu ya kurusha mkutano mzima live ndo sijui.
 
Inasikitisha sana kuona chombo kikuu cha habari hapa nchini, kikifanya ubaguzi kwa walipa kodi ambao kimsingi ndiyo chanzo cha uwepo wa chombo hicho.

Mimi nikiwa kama Mtanzania ambaye ningependa kufuatilia mkutano wa chama cha demokrasia na maendeleo, ninefungua chombo changu cha habari ambacho ninakilipia kodi na uendeshaji wake unajinasibu kwamba ni chombo cha Tanzania, Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, Tanzania inayojinasibu kwa demokrasia, Tanzania inayojiita nchi ya amani!

Ila nimesikitika kuona hawana muda kabisa na kikao hiki muhimu kwa Demokrasia ya Tanzania!

Hii ndiyo Tanzania inayojiita nchi ya Amani, Hii ndiyo Tanzania tunayosema chaguzi zake ni za huru na haki!

MUNGU IBARIKI AFRIKA!
Kalipieni wenzenu walilipa
 
Write your reply...nakumbuka chadema waliwahi kufukuza na kuwapiga tbc1 ajabu leo mnalalamika pia matangazo ya moja kwa moja sio bure lazima ulipie
 
Je chama kimelipia kurusha matangazo? Au walienda kuomba mkutano urushwe wakakataa? Hivi unajua gharama ya kurusha matangazo MUBASHARA kwa siku ni bei gani? Taasisi ninayofanyia kazi mwaka jana tulikuwa na mkutano mkuu mwaka tulifanyia Arusha, tuliwapa hao TBC milioni 7 kwa siku moja ili kurusha matangazo na hapo lazima kufanya booking may be siku 3 kabla, sasa je CDM waliomba kurushwa matangazo TBC wakakataliwa? Au unadhani ni bure
Ilipaswa kuwa bure! Huu ni mkutano wa chama cha demokrasia na maendeleo! Walipa kodi wanahitaji kuufuatilia! Kama hawarushi LIVE mambo ya msingi kama haya, wanafanya kazi gani sasa? CCM walilipia? Kwa hiyo maudhui yote ya TBC lazima yalipiwe? Tarifa za habari, Lulu za kiswahili nk. Sasa hicho ni chombo cha habari cha umma au ni duka la biashara? Mkutano muhimu kama huu unaachaje kuwaonyesha walipa kodi hususan kwenye chombo cha UMMA ??
 
Tulitegemea TBC warushe live mkutano wa CHADEMA kama walivyofanya kwa CCM. Kama chombo cha serikali polisi wameshafika mapema tu kina muliro na vijana wake wa kazi wapo pale kwa kazi yao why TBC chombo cha umma wasirushe coverage mkutano huo?
 
Write your reply...nakumbuka chadema waliwahi kufukuza na kuwapiga tbc1 ajabu leo mnalalamika pia matangazo ya moja kwa moja sio bure lazima ulipie
Sasa issue muhimu kama hii yenye maslahi kwa umma na chombo hiki kinajinasibu kuwa chombo cha umma kinachoendeshwa kwa kodi za wananchi kinaona kipindi cha Lulu za kiswahili ni muhimu kuliko mkutano huu! Ingekuwa ITV hapo sawa, maana ni chombo binafsi, ila TBC ni chombo cha umma!
 
Media gani ipo mlimani city ikurusha live mkutano huo?
 
Write your reply...nakumbuka chadema waliwahi kufukuza na kuwapiga tbc1 ajabu leo mnalalamika pia matangazo ya moja kwa moja sio bure lazima ulipie
Alafu gomvi zao binafsi haipaswi kuwa sababu ya kuwanyima watanzania haki ya kupata habari hii muhimu
 
Back
Top Bottom