hussein h kitambi
Member
- Aug 16, 2014
- 37
- 42
Sasa issue muhimu kama hii yenye maslahi kwa umma na chombo hiki kinajinasibu kuwa chombo cha umma kinachoendeshwa kwa kodi za wananchi kinaona kipindi cha Lulu za kiswahili ni muhimu kuliko mkutano huu! Ingekuwa ITV hapo sawa, maana ni chombo binafsi, ila TBC ni chombo cha umma!
Jambo lenye interest ya umma halipaswi kulipiwaKalipieni wenzenu walilipa
pia hua mnasema kua hamtazami tbc1 ajabu leo mnalalamikaAlafu gomvi zao binafsi haipaswi kuwa sababu ya kuwanyima watanzania haki ya kupata habari hii muhimu
Chombo cha umma, Matukio muhimu yenye maslahi kwa umma hayapaswi kulipiwa! Hiyo sio ITV au Clouds, ni chombo cha Umma wa watanzania!
Kwaa hiyo mmekaa na Dr. Ayoub Ryoba mkajiridhisha kwamba watu hawaipendi TBC kwa hiyo msirushe baadhi ya matukio muhimu?pia hua mnasema kua hamtazami tbc1 ajabu leo mnalalamika
Ila uchaguzi wa CHADEMA umefatiliwa na watanzania wengi na kwasababu hiyo ungetakiwa kuoneshwa mbashara. Msema kweli ni taarifa ya habari ya usiku ambayo mara nyingi hutakiwa kuwa habarisha wananchi kuhusu matukio muhimu ya sikuJe chama kimelipia kurusha matangazo? Au walienda kuomba mkutano urushwe wakakataa? Hivi unajua gharama ya kurusha matangazo MUBASHARA kwa siku ni bei gani? Taasisi ninayofanyia kazi mwaka jana tulikuwa na mkutano mkuu mwaka tulifanyia Arusha, tuliwapa hao TBC milioni 7 kwa siku moja ili kurusha matangazo na hapo lazima kufanya booking may be siku 3 kabla, sasa je CDM waliomba kurushwa matangazo TBC wakakataliwa? Au unadhani ni bure
Na walirusha live mkutano wa mwenyekiti akitangaza kugombeaHawana uhakika na mtu wao mbowe kama atashinda kiti, wangerusha mkuu!
Kumbe wewe kama mm nina miaka mitatu sasa sijaifatikiaKwanza hakuna mtu mwenye akili zake timamu akaangalia tbc