Pre GE2025 Kwanini TBC hawarushi Live Mkutano Mkuu wa CHADEMA? Je, hiki ni chombo cha CCM au Watanzania wote?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
 
Hahaha Team Lisu mnatafuta cha kuongea.

Wakirusha mnasema Mbowe kawaagiza.

Twendeni hivyo hivyo na simu zetu za Tochi.
 
Ila uchaguzi wa CHADEMA umefatiliwa na watanzania wengi na kwasababu hiyo ungetakiwa kuoneshwa mbashara. Msema kweli ni taarifa ya habari ya usiku ambayo mara nyingi hutakiwa kuwa habarisha wananchi kuhusu matukio muhimu ya siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…