Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #101
Hii mada ni ya tangia Jan 2, 2021. Mechi za Fenerbahçe ndani ya TBC zingesaidia sana kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Uturuki.Kwani Samatta amebakiza masaa mangapi kukaa hapo fenerbahçe
Kwani Samatta anakaribia kuondoka Uturuki?Hii mada ni ya tangia Jan 2, 2021. Mechi za Fenerbahçe ndani ya TBC zingesaidia sana kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Uturuki.
Bado kwa maana mkataba wake ni mpaka 2023Kwani Samatta anakaribia kuondoka Uturuki?
Arsenal wanamtaka SamattaBado kwa maana mkataba wake ni mpaka 2023
Sam-Magoli anafaa hata kuwa BarcaBado kwa maana mkataba wake ni mpaka 2023
Samatta amechelewa kwenda kucheza soccer Ulaya. Sasa ameanza kuonekana mzee.Arsenal wanamtaka Samatta
Samatta aende South Africa sasaArsenal wanamtaka Samatta
Wapinzani wanokosa adabu wanapotaka kujilinganisha na Rais Samia Huyu Samia ana uwezo mkubwa sana ujue?chadema kwa mara nyingine sera na ilani walichopanga kusema tayari Samia ameshafanya na anatarajia kufanya makubwa zaidi.
Nitaamrisha watoto wangu kila moja aite mtoto wake moja jina Samia Hili jina limejaa uzalendoWapinzani wanokosa adabu wanapotaka kujilinganisha na Rais Samia Huyu Samia ana uwezo mkubwa sana ujue?
Samia Mungu azidi kukulinda Rais wetuNitaamrisha watoto wangu kila moja aite mtoto wake moja jina Samia Hili jina limejaa uzalendo
Rais Samia kaza hapo hapo usigeuke nyuma, Watanzania wengi hawajui wanataka niniSamia Mungu azidi kukulinda Rais wetu
Samia miaka mitano tena .ameleta mabadiliko makubwa huyu mamachadema kwa mara nyingine sera na ilani walichopanga kusema tayari Samia ameshafanya na anatarajia kufanya makubwa zaidi.
Mkuu nakushauri tu uungane na Samia lasivyo October mtapokea kipigo cha mbwa mwizi.Samia miaka mitano tena .ameleta mabadiliko makubwa huyu mama
Kama miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati je tukimpa miaka kumi mingine itakuwaje?Mkuu nakushauri tu uungane na Samia lasivyo October mtapokea kipigo cha mbwa mwizi.
Rais Samia anafaa aongezewe muda mpaka 2030 kwa maana anafanya mambo makubwa sana.Kama miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati je tukimpa miaka kumi mingine itakuwaje?
Rais Samia anafanya kazi kubwa saaaana huyu kipenzi chetu.Rais Samia anafaa aongezewe muda mpaka 2030 kwa maana anafanya mambo makubwa sana.