Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhalifu sikuzote anaishi kwakujihamiKwani nani anahisiwa atasababisha machafuko, walio anzisha mauwaji ya wanasiasa ni nani huenda kuna jibu kwa hili sio watu kuwa waoga tu, au wanajihisi kuna kulipa kisasi
Mhalifu sikuzote anaishi kwakujihami
GADAFI NA SADDAM walivuna walichopanda kwa kutowaunganisha watu wao thus adui akapata nafasi ya kuwasambaratisha.Swali jiulize kwann wameshindwa kuisambaratisha Iran ni kwa sababu irani ni wamoja,ukiwaunganisha wananchi wako usiwabague sababu ya vyama,ukawtendea haki,hakuna dabo standard,ujawasomesha namba watu wako,watakuwa wamoja na hakuna adui yeyeto atakaeungana nao kukusanabaratisha case study Irani.Kuna nini? Kwanini TBC1 wana tangazo moja tu la Historia ya Libya na Iraq, kuna nini huku kwetu, wanatengeneza mazingira au ni kampeni, mwenye uelewa atujulishe maana, kwangu binafsi sina Histora yoyote ya ACT wala CHADEMA kuwateka wanachama wa CCM na kuwaua sina kabisa, huenda wengine wana historia ya wengine kuwaua wengine.
Kujuzane hatuelewi kabisa.
you can lead a horse to water, but you can't make him drinkPropaganda at work,wananchi wanatishwa ki aina
musiba ni kada thus alipata kura nne na tbc ni mali ya ccm vile vileTBC ni wanaharakati huru kama MUSIBA!
propaganda haitowasidia njaa ina nguvu kuliko propaganada zao.TBC inahitaji marekebisho makubwa sana, TV ya umma inayotumika na ccm pekee.Ccm wanachokifanya sio uzalendo kwa taifa letu
There are brainwashedLisemwalo lipo na kama halipo basi laja, kama halipo kwanini wanatulazimisha tuendelee kulisikiliza? sisi tuna amani hatupo huko wala hatuna haja ya kuambiwa si tumeyaona kwann walazimishe yaingie masikioni mwetu. Ryoba (MKURUGENZI WA TBC)naye sijui nini kimemkuta
Kuna nini? Kwanini TBC1 wana tangazo moja tu la Historia ya Libya na Iraq, kuna nini huku kwetu, wanatengeneza mazingira au ni kampeni, mwenye uelewa atujulishe maana, kwangu binafsi sina Histora yoyote ya ACT wala CHADEMA kuwateka wanachama wa CCM na kuwaua sina kabisa, huenda wengine wana historia ya wengine kuwaua wengine.
Kujuzane hatuelewi kabisa.
FafanuaLissu anapenda machafuko