Kwanini TFF wamewahi kuitolea Hukumu Kesi ya Manara ila ya CEO Barbara hadi Leo wako Kimya?

Kwanini TFF wamewahi kuitolea Hukumu Kesi ya Manara ila ya CEO Barbara hadi Leo wako Kimya?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mtangazaji Maulid Kitenge

Kwanini TFF wamewahi kuitolea Hukumu Kesi ya Manara ila ya CEO Barbara hadi Leo wako Kimya?

Mchambuzi Jemedari Said

Ushahidi wa Tuhuma za Haji Manara ziko wazi na hata Yeye Mwenyewe amekiri kupitia Msamaha wake aliouomba na Kuukiri.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Kwanini Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidau jana kawahi Kumjibu Haji Manara ila Hukumu ya Maamuzi ya Kesi bado hawajampa?

Mchambuzi Jemedari Said

Aliyehukumu Kesi si Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidau bali ni Judicial Commetee ambayo Katibu Mkuu wa TFF hana Mamlaka nayo ukizingatia kuwa Yeye ( Katibu ) na Sekretarieti ya TFF ndiyo Washtaki Wakuu.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Mbona Rais wa TFF Wallace Karia nae hajaitwa Kuhojiwa kwa Maneno yake Machafu na ya Kebehi aliyoyatoa kwa Haji Manara?

Mchambuzi Jemedari Said

Haji Manara hajashtakiwa na Rais wa TFF Wallace Karia bali ameshtakiwa na Sekretarieti ya TFF iliyo chini ya Katibu Mkuu wa TFF.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Mbona inaonekana kama vile Haji Manara anaonewa na kuna Chuki Binafsi dhidi yake?

Mchambuzi Jemedari Said

TFF ya Rais Wallace Karia ingemchukia ingemteua kama Mmoja wa Wajumbe wa Saidia Taifa Stars na ingekuwa inamsamehe Makosa yake mengine ya Kujirudia na yasiyovumilika?

Hongera sana Mchambuzi wangu Genius kabisa wa Mpira wa Miguu ninayekukubali Tanzania nzima na huwa siachi Kukusikiliza EFM Jemedari Said Kazumari kwa Kumuonyesha Maulid Kitenge kuwa Kiupeo na Kiuelewa wa Mambo bado ni Mchanga mno na kwamba hata ile Division Zero yake aliyoipata akiwa anasoma ilimstahili na Kumpendeza pia.
 
Jemedari Said anaupiga mwingi mpaka unamwagika[emoji382][emoji382]
Hadi Raha. Naona Moderators wamebadili Headline yangu iliyosema Mchambuzi 'Genius: wa EFM Jemedari Said aonyesha jinsi Mtangazaji wa EFM Maulid Kitenge alivyo Mdhaifu Kifikra na Kiupeo na kuiweka hii 'Headline' yao iliyoko sasa.
 
Nimeshangaa sana leo, yaani Kitenge pamoja na kutukanwa kipindi kile na Manara kuwa huwa anaenda US kudanga kwa Basha wake leo amekua mtetezi Mkuu wa Haji kiasi kwamba haoni kabisa makosa yake? Au kuna bahasha zinapenyezwa. Kweli Fedha inaweza kumfanya mtu kuwa mpumbavu.
 
Mtangazaji Maulid Kitenge

Kwanini TFF wamewahi kuitolea Hukumu Kesi ya Manara ila ya CEO Barbara hadi Leo wako Kimya?

Mchambuzi Jemedari Said

Ushahidi wa Tuhuma za Haji Manara ziko wazi na hata Yeye Mwenyewe amekiri kupitia Msamaha wake aliouomba na Kuukiri.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Kwanini Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidau jana kawahi Kumjibu Haji Manara ila Hukumu ya Maamuzi ya Kesi bado hawajampa?

Mchambuzi Jemedari Said

Aliyehukumu Kesi si Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidau bali ni Judicial Commetee ambayo Katibu Mkuu wa TFF hana Mamlaka nayo ukizingatia kuwa Yeye ( Katibu ) na Sekretarieti ya TFF ndiyo Washtaki Wakuu.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Mbona Rais wa TFF Wallace Karia nae hajaitwa Kuhojiwa kwa Maneno yake Machafu na ya Kebehi aliyoyatoa kwa Haji Manara?

Mchambuzi Jemedari Said

Haji Manara hajashtakiwa na Rais wa TFF Wallace Karia bali ameshtakiwa na Sekretarieti ya TFF iliyo chini ya Katibu Mkuu wa TFF.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Mbona inaonekana kama vile Haji Manara anaonewa na kuna Chuki Binafsi dhidi yake?

Mchambuzi Jemedari Said

TFF ya Rais Wallace Karia ingemchukia ingemteua kama Mmoja wa Wajumbe wa Saidia Taifa Stars na ingekuwa inamsamehe Makosa yake mengine ya Kujirudia na yasiyovumilika?

Hongera sana Mchambuzi wangu Genius kabisa wa Mpira wa Miguu ninayekukubali Tanzania nzima na huwa siachi Kukusikiliza EFM Jemedari Said Kazumari kwa Kumuonyesha Maulid Kitenge kuwa Kiupeo na Kiuelewa wa Mambo bado ni Mchanga mno na kwamba hata ile Division Zero yake aliyoipata akiwa anasoma ilimstahili na Kumpendeza pia.
Kitenge huyu namfananisha na mama pekupeku tu. Ana mambo ya kipashkuna sana hata kupewa jinsia ya kiume kuna makosa yalifanyika.
 
Nimeshangaa sana leo, yaani Kitenge pamoja na kutukanwa kipindi kile na Manara kuwa huwa anaenda US kudanga kwa Basha wake leo amekua mtetezi Mkuu wa Haji kiasi kwamba haoni kabisa makosa yake? Au kuna bahasha zinapenyezwa. Kweli Fedha inaweza kumfanya mtu kuwa mpumbavu.
Hata maandiko matakatifu yanamsema rushwa hupofusha.
 
Uchambuzi wa humu Ni Kama wa mke mdogo na mkubwa kila mtu anamshambulia au kumsapoti mume ,kulingana siyo na fact Bali ugomvi wao ktk ukewenza
Nimeeleweka
Bibie nawe kwa mifano ya jikoni tu uko vizuri.
 
Manara katika hili ameonewa, huwezi kuwa polisi, shahidi, mwendesha mashtaka na Jaji kwa pamoja.

Chuki kwa Manara zinawapofusha hadi mnatetea uonevu wa wazi.
 
Mtangazaji Maulid Kitenge

Kwanini TFF wamewahi kuitolea Hukumu Kesi ya Manara ila ya CEO Barbara hadi Leo wako Kimya?

Mchambuzi Jemedari Said

Ushahidi wa Tuhuma za Haji Manara ziko wazi na hata Yeye Mwenyewe amekiri kupitia Msamaha wake aliouomba na Kuukiri.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Kwanini Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidau jana kawahi Kumjibu Haji Manara ila Hukumu ya Maamuzi ya Kesi bado hawajampa?

Mchambuzi Jemedari Said

Aliyehukumu Kesi si Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidau bali ni Judicial Commetee ambayo Katibu Mkuu wa TFF hana Mamlaka nayo ukizingatia kuwa Yeye ( Katibu ) na Sekretarieti ya TFF ndiyo Washtaki Wakuu.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Mbona Rais wa TFF Wallace Karia nae hajaitwa Kuhojiwa kwa Maneno yake Machafu na ya Kebehi aliyoyatoa kwa Haji Manara?

Mchambuzi Jemedari Said

Haji Manara hajashtakiwa na Rais wa TFF Wallace Karia bali ameshtakiwa na Sekretarieti ya TFF iliyo chini ya Katibu Mkuu wa TFF.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Mbona inaonekana kama vile Haji Manara anaonewa na kuna Chuki Binafsi dhidi yake?

Mchambuzi Jemedari Said

TFF ya Rais Wallace Karia ingemchukia ingemteua kama Mmoja wa Wajumbe wa Saidia Taifa Stars na ingekuwa inamsamehe Makosa yake mengine ya Kujirudia na yasiyovumilika?

Hongera sana Mchambuzi wangu Genius kabisa wa Mpira wa Miguu ninayekukubali Tanzania nzima na huwa siachi Kukusikiliza EFM Jemedari Said Kazumari kwa Kumuonyesha Maulid Kitenge kuwa Kiupeo na Kiuelewa wa Mambo bado ni Mchanga mno na kwamba hata ile Division Zero yake aliyoipata akiwa anasoma ilimstahili na Kumpendeza pia.

Nasema hivi Mwisho wa siku wa hili sakata…
Haji atashinda[emoji12][emoji30],
Ujio wa Manara ndio umesababisha Jangwani Kutwaa Ubingwa…
Hivyo lazima Ushirikiano apewe na Atashinda hii issue,
Labda angekuwa peke yake[emoji12]
Muda Utaongea[emoji274]
Daima Mbele Nyuma mwiko[emoji40]
 
Mtangazaji Maulid Kitenge

Kwanini TFF wamewahi kuitolea Hukumu Kesi ya Manara ila ya CEO Barbara hadi Leo wako Kimya?

Mchambuzi Jemedari Said

Ushahidi wa Tuhuma za Haji Manara ziko wazi na hata Yeye Mwenyewe amekiri kupitia Msamaha wake aliouomba na Kuukiri.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Kwanini Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidau jana kawahi Kumjibu Haji Manara ila Hukumu ya Maamuzi ya Kesi bado hawajampa?

Mchambuzi Jemedari Said

Aliyehukumu Kesi si Katibu Mkuu wa TFF Wilfred Kidau bali ni Judicial Commetee ambayo Katibu Mkuu wa TFF hana Mamlaka nayo ukizingatia kuwa Yeye ( Katibu ) na Sekretarieti ya TFF ndiyo Washtaki Wakuu.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Mbona Rais wa TFF Wallace Karia nae hajaitwa Kuhojiwa kwa Maneno yake Machafu na ya Kebehi aliyoyatoa kwa Haji Manara?

Mchambuzi Jemedari Said

Haji Manara hajashtakiwa na Rais wa TFF Wallace Karia bali ameshtakiwa na Sekretarieti ya TFF iliyo chini ya Katibu Mkuu wa TFF.

Mtangazaji Maulid Kitenge

Mbona inaonekana kama vile Haji Manara anaonewa na kuna Chuki Binafsi dhidi yake?

Mchambuzi Jemedari Said

TFF ya Rais Wallace Karia ingemchukia ingemteua kama Mmoja wa Wajumbe wa Saidia Taifa Stars na ingekuwa inamsamehe Makosa yake mengine ya Kujirudia na yasiyovumilika?

Hongera sana Mchambuzi wangu Genius kabisa wa Mpira wa Miguu ninayekukubali Tanzania nzima na huwa siachi Kukusikiliza EFM Jemedari Said Kazumari kwa Kumuonyesha Maulid Kitenge kuwa Kiupeo na Kiuelewa wa Mambo bado ni Mchanga mno na kwamba hata ile Division Zero yake aliyoipata akiwa anasoma ilimstahili na Kumpendeza pia.
 

Attachments

  • 20220726_140633.jpg
    20220726_140633.jpg
    35.8 KB · Views: 7
Nasema hivi Mwisho wa siku wa hili sakata…
Haji atashinda[emoji12][emoji30],
Ujio wa Manara ndio umesababisha Jangwani Kutwaa Ubingwa…
Hivyo lazima Ushirikiano apewe na Atashinda hii issue,
Labda angekuwa peke yake[emoji12]
Muda Utaongea[emoji274]
Daima Mbele Nyuma mwiko[emoji40]
Daima mbele nyuma kinyesi
 
Back
Top Bottom