Kwanini TFF wamewahi kuitolea Hukumu Kesi ya Manara ila ya CEO Barbara hadi Leo wako Kimya?

Kwanini TFF wamewahi kuitolea Hukumu Kesi ya Manara ila ya CEO Barbara hadi Leo wako Kimya?

Huu utetezi wako huwezi kukubalika Mahakamani kama ikithibitishwa kama Karia alitoa ile Kauri! Kwaiyo ata Karia angempiga jiwe Haji basi Haji akae tu kisa mtu mzima? Shwain
Imbecile.
 
Huu ujinga wenu wa copy & paste bila kujua maana ya kilichoandikwa mtauacha lini?

Manasema vipi Manara alitakiwa kushtakiwa na Karia personally kwa kupelekwa polisi wakati lile tukio lilitokea kwenye mechi ya mpira wa miguu, ambao Karia ndie boss wake hapa Tanzania?

Kama mnataka Karia akamfungulie Manara mashtaka mahakama za kawaida, sharti lile tukio lingekuwa limetokea mtaani, na sio uwanjani, hapo ndio mngesema "Karia kama mtu wa kawaida"

Mwambieni huyo bush lawyer wenu afanye marekebisho ya hiyo hoja yake "fake" hapo.
Hawa vinyesi wameufakamia ule uwongo wote aliotapika zeruzeru wameufanya ndiyo rejea.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kitenge ( EFM ), Abisai Steven na Omary Majani ( EA Radio ), Yusuf Mkule na Paul Mkai ( Wasafi FM ), Yahaya Njenge na Privaldinho ( Clouds FM ) wapo katika 'Payroll' ya GSM kupitia Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said.
Acha upumbavu unadhani GSM ni wajinga kumwaga hela haya tuambie na walio kwenye payroll ya Mo wewe popoma
 
Huu ujinga wenu wa copy & paste bila kujua maana ya kilichoandikwa mtauacha lini?

Manasema vipi Manara alitakiwa kushtakiwa na Karia personally kwa kupelekwa polisi wakati lile tukio lilitokea kwenye mechi ya mpira wa miguu, ambao Karia ndie boss wake hapa Tanzania?

Kama mnataka Karia akamfungulie Manara mashtaka mahakama za kawaida, sharti lile tukio lingekuwa limetokea mtaani, na sio uwanjani, hapo ndio mngesema "Karia kama mtu wa kawaida"

Mwambieni huyo bush lawyer wenu afanye marekebisho ya hiyo hoja yake "fake" hapo.
kesi ya Barbara ilipelekwa police na tukio lilitokea uwanjani au umesahau
 
Hiki kiazi cha kinyarwanda hebu kipewe dawa jamani . maana tarehe zake ndo hizi .
 
Uchambuzi wa humu Ni Kama wa mke mdogo na mkubwa kila mtu anamshambulia au kumsapoti mume ,kulingana siyo na fact Bali ugomvi wao ktk ukewenza
Nimeeleweka
uko sawa kabisa mkuu huu ni mjadala wa wake wenza
 
Who is Manara acheni ushabiki, acheni kanuni zifanye kazi yake yeye ni nani kwenye soka mpaka akikiuka kanuni asiwajibishwe TFF na kamati ya maadili ni kubwa kuliko manara anavyo jiona. Na hata suala la madam CEO na issue yake haviingiliani hata kidogo, sema anaingiza chuki binafsi na siasa za mpira hizo ni kesi mbili tofauti.

Inabidi atambue hajaonewa kwa hukum aliyopewa na hukum hiyo haijatolewa na matakwa ya mtu imezingatia kanuni ilivyo.
 
Back
Top Bottom