Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Tangu tozo mpya zilipoanza nimesusa kutoa pesa kwenye akaunti yangu, chakushangaza Tigo wamekuwa wakinitumia ujumbe nitoe pesa vinginevyo wataifunga! Wakiifunga inamaana wao watakomba pesa yote ndani ya akaunti yangu?
Na kwanini wakombe wakati mimi niko hai kwani namba yangu ya Tigo ninaitumia kila siku, na mimi nasema LIWALO NA LIWE, ila tozo ng'o.
Na kwanini wakombe wakati mimi niko hai kwani namba yangu ya Tigo ninaitumia kila siku, na mimi nasema LIWALO NA LIWE, ila tozo ng'o.