Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
NG'O, LIWALO NA LIWE, wakombe tu kwani sitaona machungu ya tozo.Wanataka utume na ya kutolea.
Nipe namba yako nitaifowadi kwako.Tuonyeshe hiyo sms ya kujilazimisha kutoa pesa na kukutishia kufungia laini yako usipofanya hivyo.
Vocha ya Tigo!Ata picha ya vocher ya tigo kusindikiza thread hamna
Post hapa.Nipe namba yako nitaifowadi kwako.
Unauliza kitu ambacho tayari nimeeleza!Je hiyo laini unatumia kila siku kwa mawasiliano? If yes wewe komaa tuu na wakiifunga waburuze kwa pilato...
Kheri wakombe wao kuliko nimpe mtu hela yangu hivihivi! Tigo wasifanye udalali au ushenga.Tunaomba hata reference.
NB: Tigo wanakuhurumia huenda kunaongezeko jingine la tozo
Wewe nawe! Unakwenda kulalamika kwa aliyekupiga ngumi! Utaahira.Post hapa.
Mbona huu uzi wako hujaupeleka huko Tigo?
Waulize Tigo wao ndio wenye maamuzi wa nani kumtumia, nipe namba yako nikutumia sms yao.Mbona mimi sijatoa pesa tigopesa muda na sijawahi kutumiwa hiyo text
I-copy paste hapaWaulize Tigo wao ndio wenye maamuzi wa nani kumtumia, nipe namba yako nikutumia sms yao.