Kwanini Timu hajapewa mgunda? Viongozi wa simba wanajiandaa tena kupiga ela ndefu kuchukua kocha wa mchongo.

Kwanini Timu hajapewa mgunda? Viongozi wa simba wanajiandaa tena kupiga ela ndefu kuchukua kocha wa mchongo.

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kumpa simba Matola na Cadema ata kwa siku 3 ni ujanja ujanja tu.

Kama mgunda akipewa timu mechi ya kwanza tu atafanya wonderful na na Mo atamuelewa hivyo viongozi kukosa upigaji mwingine ws kutosha kupitia.

1. Kugawana posho na marupurupu na kocha huyo.

2. Kupiga dili kupata sehemu ya nyumba ya kupanga kwa kocha wa kigeni kwa mamilioni ya pesa.

3. Kama mo Anapenda ela zake. Wampe hadhi Mgunda. Wampe nafasi. Wampe posho na marupurupu kama wageni. Gari na wakae wasubiri matokeo.

Tumewapa wageni hasa wazungu fedha nyingi sana awali. Mfano tumechukua kipa wa billion 3. Kisa mwarabu na Kocha yupo tu hana ushauri kabisa. Tumewapa Hadhi kubwa lakini hakuna tunachopata. Wamekosea mara nyingi please mjaribuni Mgunda.


Matola hawezi kuongoza simba. Simba ni kubwa mno kwake.

Mkishindwa basi mpeni timu kocha wa Asec Tu. Ila mgunda ndie kipenzi chetu kwa sasa
 
Mgunda na matola....
Mkitaka makocha wazuri wa nje wafanye kazi vizuri na wadumu, hao watu wawili waondoeni. Msiwe wajinga nyie madunduka. Timu inadumaa kwasababu ya hawa watu.

Matora kafukuzisha makocha weee..... Kaja mgunda kamzidi kauchawi kidogo matora kakimbia kambi, sasa leo anarudi tena matora. Bado hamtaki kuwaelewa hawa watu wawili wa aina gani?
 
Mgunda na matola....
Mkitaka makocha wazuri wa nje wafanye kazi vizuri na wadumu, hao watu wawili waondoeni. Msiwe wajinga nyie madunduka. Timu inadumaa kwasababu ya hawa watu.

Matora kafukuzisha makocha weee..... Kaja mgunda kamzidi kauchawi kidogo matora kakimbia kambi, sasa leo anarudi tena matora. Bado hamtaki kuwaelewa hawa watu wawili wa aina gani?
Madunduka mamako
 
Madunduka mamako
Hahahahahah mchezo huu hauhitaji hasira
JamiiForums-99700918.jpg
 
Ukisikia kuvurugwa ndiyo huku sasa. Baada tu ya kichapo kitakatifu, kila shabiki wa simba anaweweseka. Yaani mpaka leo, hawaamini kilichotokea ile Jumapili jioni.
 
Back
Top Bottom