Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Unaona wewe utaputapu ulivo njiwa nimesema klabu kumia ambazo hazitocheza raundi ya kwanza ushademka kwenye ranking haya basi kwenye ranking top 15 tupo sisi haya wewe upo wap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona wewe utaputapu ulivo njiwa nimesema klabu kumia ambazo hazitocheza raundi ya kwanza ushademka kwenye ranking haya basi kwenye ranking top 15 tupo sisi haya wewe upo wap?
Hata ikiwa kikosi Z,tangazo litasomeka simba vs mazembeOngezea au malizia B
Ha ha ha ha walisema hawataki makongo.. Sasa wasiempenda atakuja na kikosi Bsawa wa mazembe ni waarabu,namuona pale tresol mputu raia wa misri.. [emoji3][emoji3]
Hebu leta orodha tuone simba iko top 15.Umeamua kubold kabisa.Simba kugharimia ni kitu cha kawaida sana,btw Wakubwa wanacheza na Wakubwa wenzao.Yani ni hivi Team zilizo kwa Top 15 kwa CAF ranking ndiyo zinakubaliana kucheza Friendly mechi,Nendeni nyinyi Utopolo mkawaombe TP Mazembe kama watakubali.
Amekwambia nani mimi ni Yanga? Mimi simba Dam-Dam.Dah wewe mwanaume una shida hata na jinsi ya kufikiria sijaona kosa hapo hebu focus na Yanga y'ako bila hivo utapata vidonda vya tumbo bure kisa Simba, maisha mafupi hivi kuweka mambo yasiyo kuhusu moyoni.
Unaona wewe utaputapu ulivo njiwa nimesema klabu kumia ambazo hazitocheza raundi ya kwanza ushademka kwenye ranking haya basi kwenye ranking top 15 tupo sisi haya wewe upo wap?
HahahaSi tulikubaliana hatuombi mechi na "wacheza sebene"
Nilikuwa nazungumza na Arafat juzi hapa (sina uhakika kama uelewa wako ni mkubwa hata kumfahamu Huyo).mkuu with all respect nadiriki kuamini una uwelewa mdogo sana. kwani zanako walitumia hela yao kiasi gani walipokuja kucheza na yanga kwenye lile tamasha la wiki ya mwananchi?
Hebu leta orodha tuone simba iko top 15.
Niletee orodha rasmi ambayo hata wewe umeitazama na ukajiaminisha kuwa hiyo orodha ni halali na sawia.View attachment 1927924
hapo hapo ulipokimbila ku google mbona hukuleta na hii
Hata tukicheza na sinza FC hamna wakutupangia team yetuAhly ahly mmewaachia wapi?
Afadhali mngecheza na ndanda
Simba hatuna watu bitter na negative ka wewe team manara with too much negativity and depression mwaka huu mlambe ndimu za kutoshaAmekwambia nani mimi ni Yanga? Mimi simba Dam-Dam.
Mimi nimekuletea Orodha hii kuonyesha kuwa Makolokolo FC hawapo hata Top 20. Sasa niletee yako ikionyesha uko nafasi ya 13.View attachment 1927924
hapo hapo ulipokimbila ku google mbona hukuleta na hii