KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,705
- 4,217
Kwanini hizi team uwa hazidumu kwenye ligi na zinaongoza kwa matokeo mabaya??Na sio Bongo pekee ni E.Africa ndo tuna ili pepo la team za majeshi ligi zilizoendelea kiafrica kama S.Africa na Egypt,Morocco,Algeria amna team za majeshi.Huko duniani EPL hata tusifike kabisa..
Pia zinaongoza kwa kucheza vibaya(Rafu) mfano msimu wa 2021/2022 team nyingine zililamika sana na pia mashabiki walilalamika unakuta game ni viatu(Rafu) mwanzo mwisho hakuna fair play..JE!! Ni kwakuwa wachezaji wa team izo wanaamini katika UBABE UBABE kutokana na mazoezi ya kijeshi wanayopitia?
MFANO:
TZ
~Polisi Tanzania(iko mkiani)
~JKT Tanzania(Ilishuka daraja)
~Ruvu shooting(inapumulia gesi mkiani)
~Tanzania prisons(Angalau ila Inashika nafasi ya 10)
Pia Uganda
~UPDF(iko hatarini kushuka)
~Black powers(inashika mkia)
Kenya
~Kenya police(Nafasi ya 5)
~Ulinzi stars(ya 8)
USHAURI:
'Nashauri hizi timu za majeshi ziwekeze kwenye michezo mingine kama Ndondi(Boxing).Wanaweza kuingia mkataba na Azam TV.. kwenye Boxing wanafanya vizuri sana sana.
~Selemani Kidunda
~Rashid mfaume
Na wajeda wengine tunaowaona Azam TV kwenye VITASA wanafanya vizuri sana wawekeze huko labda kuna siku watatoa mwanamasumbwi atakaeipeperusha bendera kama ISRAEL ADESANYA alivyoipeperusha bendera ya wanigeria.
WAKO MTIIFU,KENGE
NAWASILISHA.
Pia zinaongoza kwa kucheza vibaya(Rafu) mfano msimu wa 2021/2022 team nyingine zililamika sana na pia mashabiki walilalamika unakuta game ni viatu(Rafu) mwanzo mwisho hakuna fair play..JE!! Ni kwakuwa wachezaji wa team izo wanaamini katika UBABE UBABE kutokana na mazoezi ya kijeshi wanayopitia?
MFANO:
TZ
~Polisi Tanzania(iko mkiani)
~JKT Tanzania(Ilishuka daraja)
~Ruvu shooting(inapumulia gesi mkiani)
~Tanzania prisons(Angalau ila Inashika nafasi ya 10)
Pia Uganda
~UPDF(iko hatarini kushuka)
~Black powers(inashika mkia)
Kenya
~Kenya police(Nafasi ya 5)
~Ulinzi stars(ya 8)
USHAURI:
'Nashauri hizi timu za majeshi ziwekeze kwenye michezo mingine kama Ndondi(Boxing).Wanaweza kuingia mkataba na Azam TV.. kwenye Boxing wanafanya vizuri sana sana.
~Selemani Kidunda
~Rashid mfaume
Na wajeda wengine tunaowaona Azam TV kwenye VITASA wanafanya vizuri sana wawekeze huko labda kuna siku watatoa mwanamasumbwi atakaeipeperusha bendera kama ISRAEL ADESANYA alivyoipeperusha bendera ya wanigeria.
WAKO MTIIFU,KENGE
NAWASILISHA.