Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

yuko sawa mimi nimejenga sitting room with open kitchen na master room imekamilika kabisa vioo tiles imecost 15 m wazee muache kubeza kila kitu hapo tu mapinga mkitaka kupaona nitafuteni
Inawezekanaje mtu anasema yeye huwa ni foremen wa ujenzi wa nyumba kila siku..ingawa anabisha million 36 hujengii nyumba
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Ina maana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yaani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Huwoo ni wivuu..

Uchawi ulianza hivihivi..

Sent from my MHA-L29 using JamiiForums mobile app
 
yuko sawa mimi nimejenga sitting room with open kitchen na master room imekamilika kabisa vioo tiles imecost 15 m wazee muache kubeza kila kitu hapo tu mapinga mkitaka kupaona nitafuteni
Hicho kibanda cha m15 napo unapaita nyumba unaweza hatankupokea wageni wawili wakawa comfortable unaweza weka mke watoto na msaidizi hapo hilo si sawa na banda la mbuzi tu tena kule milima ya upareni😂😂😂😂😂
 
Huwoo ni wivuu..

Uchawi ulianza hivihivi..

Sent from my MHA-L29 using JamiiForums mobile app
Hii mishahara si mikubwa, hususan kwa CEO wa kampuni ya mafuta. Basi nchi yetu tu uchumi mdogo. Tunalipana kimasikini.

That's just over $15,000 a month.

I make that much (in the US), take home after taxes, halafu mimi wala si CEO wala nini, ni technocrat tu.

Tena Muafrika fulani tu ambaye hajapewa kazi kwa kujuana na watu wala uteuzi wa rais. Competence, experience na education tu. Tena working from home, sijakanyaga ofisini naelekea mwaka wa tatu huu.

Kuna binti mmoja mbongo nurse kipindi hiki cha pandemic walikuwa wanapiga mpaka $8,000 kwa wiki.

That means huyo nurse wa US kwenye miaka ya pandemic hii aliweza kupiga mara mbili ya huyo CEO wa Tanzania kwa mwezi.
 
Mkurugenzj wa TPDC miaka kadhaa iliyopita ilikuwa wanakunja hadi million 36 per month...yan kila mwezi kuna uwezekano wa kujenga nyumba kali ya standard
Mkurugenzi ampite mshahara rais ,waziri husika na karibu husika can't be serious!!!
 
Nilifanya kazi TPDC enzi Mkurugenzi Mkuu akiwa Yonna Kilagane,Mwenyekiti wa Bodi alikuwa General Mstaafu Robert Mboma,Mkurugenzi wa Masoko akiwa Dismas Fuko, Mkurugenzi wa Exploration Halfan Halfan ambaye baada ya kustaafu Mama Samia kamteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC hapohapo,enzi Ofisi zipo Upanga kabla hatujahamia Mkapa Tower.
Uzuri wa TPDC upo kwenye kuwajali wafanyakazi wake kitaaluma,maana ukipelekwa kusoma Masters au PhD Ulaya unalipwa mpaka Pesa ya Pedi inakuwa kwenye Bajeti yako.Wakati huo Eng.Modestus Lumato alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA,wakati Eng.Charles Sangweni alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa PURA.
Bwana MPWAYUNGU uliza swali lolote kuhusu TPDC nitakujibu
Wewe ulifanya kazi position na department ipi TPDC?
Nilifanya kazi TPDC enzi Mkurugenzi Mkuu akiwa Yonna Kilagane,Mwenyekiti wa Bodi alikuwa General Mstaafu Robert Mboma,Mkurugenzi wa Masoko akiwa Dismas Fuko, Mkurugenzi wa Exploration Halfan Halfan ambaye baada ya kustaafu Mama Samia kamteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC hapohapo,enzi Ofisi zipo Upanga kabla hatujahamia Mkapa Tower.
Uzuri wa TPDC upo kwenye kuwajali wafanyakazi wake kitaaluma,maana ukipelekwa kusoma Masters au PhD Ulaya unalipwa mpaka Pesa ya Pedi inakuwa kwenye Bajeti yako.Wakati huo Eng.Modestus Lumato alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA,wakati Eng.Charles Sangweni alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa PURA.
Bwana MPWAYUNGU uliza swali lolote kuhusu TPDC nitakujibu
Unatushauri nini vijana tunaotaka kuingia TPDC?
 
Back
Top Bottom