Mkuu inawezekana kbsa kujenga kwa milioni 36 Kama una kiwanja
Ukajenga vxr sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Inawezekanaje mtu anasema yeye huwa ni foremen wa ujenzi wa nyumba kila siku..ingawa anabisha million 36 hujengii nyumbayuko sawa mimi nimejenga sitting room with open kitchen na master room imekamilika kabisa vioo tiles imecost 15 m wazee muache kubeza kila kitu hapo tu mapinga mkitaka kupaona nitafuteni
Siku ukianza ujenzi wa nyumba ndogo ya wastani utanielewa kakaHiyo pesa ndogo sana labda banda la kuku
Achana nae ajawahi jenga huyo hiyo hela unajenga nyumba kali tuu yakuishiHuwa sibishani na watu wa namna ile kabisa..mtu anabisha million 36 huwez jenga nyumba tena anasema yeye huwa anasimamia nyumba sana
Itakuwa chamaz jenga uzaWapi? Mkuu itabidi nikutafute tuongee vizuri.
Ila wasiwasi wangu ni kuwa unaongelea nyumba za wapi? Inabidi tujue tukiongelea standard tunaongelea standard gani.
HahahahaMangese mnajidai kushtuka nyumba ya Mil 36 wakati mwsho wa mwezi hamuwashi sabufa mnalala mmezima taa landlord asijue kama mpo
Kaka Kiranga utakapokuwa bongo,tafadhali njoo Changanyikeni na Makongo uone nyumba za maana lakini zimejengwa kwa gharama nafuu.Mkuu, milioni 36 unajenga nyumba kali ya standard?
Standard gani na wapi?
Kujenga si hoja, hoja ni kwa standard gani, hapo ndipo tunaweza kutofautiana.Mkuu inawezekana kbsa kujenga kwa milioni 36 Kama una kiwanja
Ukajenga vxr sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huwoo ni wivuu..Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Ina maana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yaani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725
BoTMmmh kuna taasisi wanalipa vzuri zaidi ya TPDC??
Tupia picha tuone kidogoyuko sawa mimi nimejenga sitting room with open kitchen na master room imekamilika kabisa vioo tiles imecost 15 m wazee muache kubeza kila kitu hapo tu mapinga mkitaka kupaona nitafuteni
BoT hao ni habari nyingine
Hicho kibanda cha m15 napo unapaita nyumba unaweza hatankupokea wageni wawili wakawa comfortable unaweza weka mke watoto na msaidizi hapo hilo si sawa na banda la mbuzi tu tena kule milima ya upareni😂😂😂😂😂yuko sawa mimi nimejenga sitting room with open kitchen na master room imekamilika kabisa vioo tiles imecost 15 m wazee muache kubeza kila kitu hapo tu mapinga mkitaka kupaona nitafuteni
Hii mishahara si mikubwa, hususan kwa CEO wa kampuni ya mafuta. Basi nchi yetu tu uchumi mdogo. Tunalipana kimasikini.
Mkurugenzi ampite mshahara rais ,waziri husika na karibu husika can't be serious!!!Mkurugenzj wa TPDC miaka kadhaa iliyopita ilikuwa wanakunja hadi million 36 per month...yan kila mwezi kuna uwezekano wa kujenga nyumba kali ya standard
...Upo T.P.D.C. ??...Sio lazima kuanzisha nyuzi JF kila siku, hakuna mashindano humu, non sense
Fuatilia mambo chief...kuna taasisi kubwa humu tanzania watu wanalipwa salary kubwa mno...Mkurugenzi ampite mshahara rais ,waziri husika na karibu husika can't be serious!!!
Wewe ulifanya kazi position na department ipi TPDC?Nilifanya kazi TPDC enzi Mkurugenzi Mkuu akiwa Yonna Kilagane,Mwenyekiti wa Bodi alikuwa General Mstaafu Robert Mboma,Mkurugenzi wa Masoko akiwa Dismas Fuko, Mkurugenzi wa Exploration Halfan Halfan ambaye baada ya kustaafu Mama Samia kamteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC hapohapo,enzi Ofisi zipo Upanga kabla hatujahamia Mkapa Tower.
Uzuri wa TPDC upo kwenye kuwajali wafanyakazi wake kitaaluma,maana ukipelekwa kusoma Masters au PhD Ulaya unalipwa mpaka Pesa ya Pedi inakuwa kwenye Bajeti yako.Wakati huo Eng.Modestus Lumato alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA,wakati Eng.Charles Sangweni alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa PURA.
Bwana MPWAYUNGU uliza swali lolote kuhusu TPDC nitakujibu
Unatushauri nini vijana tunaotaka kuingia TPDC?Nilifanya kazi TPDC enzi Mkurugenzi Mkuu akiwa Yonna Kilagane,Mwenyekiti wa Bodi alikuwa General Mstaafu Robert Mboma,Mkurugenzi wa Masoko akiwa Dismas Fuko, Mkurugenzi wa Exploration Halfan Halfan ambaye baada ya kustaafu Mama Samia kamteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC hapohapo,enzi Ofisi zipo Upanga kabla hatujahamia Mkapa Tower.
Uzuri wa TPDC upo kwenye kuwajali wafanyakazi wake kitaaluma,maana ukipelekwa kusoma Masters au PhD Ulaya unalipwa mpaka Pesa ya Pedi inakuwa kwenye Bajeti yako.Wakati huo Eng.Modestus Lumato alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA,wakati Eng.Charles Sangweni alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa PURA.
Bwana MPWAYUNGU uliza swali lolote kuhusu TPDC nitakujibu