Kwanini TRA mnatulazimisha kuja na risiti za mauzo wakati rekodi zetu mnazo?

Kwanini TRA mnatulazimisha kuja na risiti za mauzo wakati rekodi zetu mnazo?

unajua utachekwa ndugu, kulipia ada ya liseni TRA wamepewa tu jukumu la kukusanya haimaanishi wao ndiyo wanaotoa liseni. sasa kwa nini hushangai polisi wanaposema tumezifuta au fungia liseni kadhaa na siyo tra ? jiongeze kidogo
Umejitahidi kwa hilo japo najua watu wanakucheka. Haya na hili la kitabu cha benki mbona hutaki kuanika ujinga wako kama unavyouanika kwenye leseni?
 
Hivi kwa nini wasomi wetu hambafiliki ? Hiyo risiti ya kutunza kwa miaka yote ni hii ya efd?, hamjui kuwa kwa wakati huo sheria ilikuwa inaongelea risitti za vitabu ambazo records zake zilikuwa ni ngumu kuzipata ?
Efd device leo hii ukitaka kupata receeipy zote ilizowahi kuandika , unapata , bado wasomi mnakomaa na sheria ambazo tech imeshazianya useless
Sheria unayongelea hapa naami i ilitungwa wakati hakuna efd , na ilitakiwa ifanyiwe mabadiliko baada ya ujio wa efd.
Ni kama vile askari wa barabarani wanavyokomalia sicker ya bima kwenye windscreen ,ilhali sheria ya bima ilishacha kutumia sticker
Unahitaji physical evidence kwa ajili ya auditing, EDF only provides sales receipts. Wakitaka ku match sales zako na purchases they need to see evidence ya manunuzi ya bidhaa unazouza na stock yenyewe pia at times.

Ni hivi kutokutunza receipts ni kujitafutia matatizo makubwa sana for auditing purposes.
 
Back
Top Bottom