Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

Android ni mfumo tu wa simu, lakini muhimu ni servers ambazo zitakuwa zinatunza hizo data ambazo I bet sio Android.
Sijui sana mkuu, ila nachoelewa ni kuwa inahitaji kuwa smart kuweka mfumo wa kukusanya mapato ya nchi kwenye simu, na pia lile limachine la Efd si gharama ila kuna sababu ya kuwa ghali, nahisi ni mfumo na management ya software wakati wa installation
 
Yes ila bank ukifanya kosa ukaibiwa pesa yako hilo si jukumu lao ni lako.

Imagine mfumo wa android ni wa dunia nzima na control yake ni ndogo sana TZ. Sasa uutumie kukusanya mapato ya nchi yako halafu wanaijeria, waisrael, wahindi, waarabu woote hao wana utundu wa kucheza na android software.

Inawezekana sana, ila si jambo la kukurupuka. Inahitaji kutulia na uwe na It wenye akili sana.
Miamala inayochajiwa kwenye transactions za bank(kodi na gharama za kibenki) umewahi kusikia imeibiwa au kupotea na kushindwa kuwafikia benki husika? TRA wanashindwaje kuingiza matumizi ya mifumo kama hiyo ili kuwaondolea wateja wake usumbufu na pia kuongeza mapato?
 
Sijui sana mkuu, ila nachoelewa ni kuwa inahitaji kuwa smart kuweka mfumo wa kukusanya mapato ya nchi kwenye simu, na pia lile limachine la Efd si gharama ila kuna sababu ya kuwa ghali, nahisi ni mfumo na management ya software wakati wa installation
Mbona siku hizi tunalipa malipo karibu yote ya serikali kupitia simu? Halafu hii software si lazima uweke kwenye simu. Unaweza kuweka kwenye laptop au desktop. Ni uamuzi wako.
 
Miamala inayochajiwa kwenye transactions za bank(kodi na gharama za kibenki) umewahi kusikia imeibiwa au kupotea na kushindwa kuwafikia benki husika? TRA wanashindwaje kuingiza matumizi ya mifumo kama hiyo ili kuwaondolea wateja wake usumbufu na pia kuongeza mapato?
Yaani tupo kwenye wavelength moja!!. Thanks.
 
Yes ila bank ukifanya kosa ukaibiwa pesa yako hilo si jukumu lao ni lako.

Imagine mfumo wa android ni wa dunia nzima na control yake ni ndogo sana TZ. Sasa uutumie kukusanya mapato ya nchi yako halafu wanaijeria, waisrael, wahindi, waarabu woote hao wana utundu wa kucheza na android software.

Inawezekana sana, ila si jambo la kukurupuka. Inahitaji kutulia na uwe na It wenye akili sana.
Kama TRA haina wataalam wa IT kama zilivyo bank na makampuni ya simu, kuna haja gani ya kuendelea kuwepo? Acha kutetea us3nge Mkuu.
 
Machine sio gharama wala tatizo, tatizo ni 10% TRA kwa kila anaeomba uwakala wa hizi machine na msambazaji mkuu pergamon.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Shida iko hapo Mkuu, hicho ndio kikwazo cha TRA kuingia kikamilifu kwenye matumizi ya teknolojia kama zilivyo kampuni za simu na mabenki.
 
Machine sio gharama wala tatizo, tatizo ni 10% TRA kwa kila anaeomba uwakala wa hizi machine na msambazaji mkuu pergamon.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ndio maana ni bora tuondokane na mfumo huu ovyo. Yaani kimachine cha ovyo hivyo kiuzwe laki sita? Ukiritimba wa kununua, kuki configure, karne ya 21?
 
Idea nzuri sana hii....ila utekelezaji wake ndo shughuli maana hizi mashine ni kichaka cha watu kuingiza pesa

Last month...EFD machine yangu ilikufa print head...ikiwa ndani ya muda wa warrant. Niliwapelekea wauzaji wairekebishe..

Waligoma kwa kusema iyo ni shida ya hardware, haihusiki kwenye warrant. Na wakadai mashine inakufa print head endapo itapata ukungu kama sijaitumia kwa muda mrefu.

Wakataka niwalipe 155,000 kama gharama za kureplace kifaa husika. Nikaamua kuachana nao..niliagiza print head from china na ikafika azikiwe post office dar es salaam kwa shilingi 17000 tu pamoja na nauli yake..nimerekebisha mashine yangu mwenyewe.

Haya makampuni yana haja ya kudhibitiwa sasa..
 

Attachments

  • IMG-20200717-WA0005.jpg
    IMG-20200717-WA0005.jpg
    41 KB · Views: 3
  • IMG-20200717-WA0004.jpg
    IMG-20200717-WA0004.jpg
    17.9 KB · Views: 3
Miamala inayochajiwa kwenye transactions za bank(kodi na gharama za kibenki) umewahi kusikia imeibiwa au kupotea na kushindwa kuwafikia benki husika? TRA wanashindwaje kuingiza matumizi ya mifumo kama hiyo ili kuwaondolea wateja wake usumbufu na pia kuongeza mapato?
Tofautisha mfumo wa kulipa ela iwafikie na mfumo wa utoaji risiti na utunzaji kumbukumbu.
 
Mbona siku hizi tunalipa malipo karibu yote ya serikali kupitia simu? Halafu hii software si lazima uweke kwenye simu. Unaweza kuweka kwenye laptop au desktop. Ni uamuzi wako.
Ww unataka mfumo wa kulipa ndo ubadilishwe au mfumo wa utoaji risiti na utunzaji kumbukumbu za serikali?
 
Idea nzuri sana hii....ila utekelezaji wake ndo shughuli maana hizi mashine ni kichaka cha watu kuingiza pesa

Last month...EFD machine yangu ilikufa print head...ikiwa ndani ya muda wa warrant. Niliwapelekea wauzaji wairekebishe..

Waligoma kwa kusema iyo ni shida ya hardware, haihusiki kwenye warrant. Na wakadai mashine inakufa print head endapo itapata ukungu kama sijaitumia kwa muda mrefu.

Wakataka niwalipe 155,000 kama gharama za kureplace kifaa husika. Nikaamua kuachana nao..niliagiza print head from china na ikafika azikiwe post office dar es salaam kwa shilingi 17000 tu pamoja na nauli yake..nimerekebisha mashine yangu mwenyewe.

Haya makampuni yana haja ya kudhibitiwa sasa..
Safi sana
 
Mbona siku hizi tunalipa malipo karibu yote ya serikali kupitia simu? Halafu hii software si lazima uweke kwenye simu. Unaweza kuweka kwenye laptop au desktop. Ni uamuzi wako.
Ww unataka mfumo wa kulipa ndo ubadilishwe au mfumo wa utoaji risiti na utunzaji kumbukumbu za serikali
Kama TRA haina wataalam wa IT kama zilivyo bank na makampuni ya simu, kuna haja gani ya kuendelea kuwepo? Acha kutetea us3nge Mkuu.
Bank haitumii mfumo wa android kutunza kumbukumbu zao boss. Machine ya Efd si ya kutuma pesa, ni ya kutoa risiti na kutunza kumbukumbu. Mada imesugest tutumie android kutoa risiti si ndio? Unless sijaelewa.
 
Ww unataka mfumo wa kulipa ndo ubadilishwe au mfumo wa utoaji risiti na utunzaji kumbukumbu za serikali

Bank haitumii mfumo wa android kutunza kumbukumbu zao boss. Machine ya Efd si ya kutuma pesa, ni ya kutoa risiti na kutunza kumbukumbu. Mada imesugest tutumie android kutoa risiti si ndio? Unless sijaelewa.
Mkuu usiwe lijinga na mbishi kiasi hiki, hoja hapa ni TRA kuachana na mashine za EFD, badala yake wajikite kwenye matumizi ya teknolojia kikamilifu kama zilivyo bank na kampuni za simu. Mifumo ya teknolojia sio android tu, uwe na akili kidogo. Wewe ni kati ya wanufaika wa huu mfumo wa kishenzi uliopo sasa?
 
Tofautisha mfumo wa kulipa ela iwafikie na mfumo wa utoaji risiti na utunzaji kumbukumbu.
We mbwiga, unapofanya miamala yako kwenye mifumo ya simu huwa hupati risiti? Makampuni ya simu huwa yanakosa kodi yao? Uwe na akili kidogo, kama TRA wanapata kigugumizi kuingia kwenye matumizi stahiki ya teknolojia ujue kuna tatizo hapo.
 
We mbwiga, unapofanya miamala yako kwenye mifumo ya simu huwa hupati risiti? Makampuni ya simu huwa yanakosa kodi yao? Uwe na akili kidogo, kama TRA wanapata kigugumizi kuingia kwenye matumizi stahiki ya teknolojia ujue kuna tatizo hapo.
Atakuwa muuzaji wa EFD machine.
 
Mkuu usiwe lijinga na mbishi kiasi hiki, hoja hapa ni TRA kuachana na mashine za EFD, badala yake wajikite kwenye matumizi ya teknolojia kikamilifu kama zilivyo bank na kampuni za simu. Mifumo ya teknolojia sio android tu, uwe na akili kidogo. Wewe ni kati ya wanufaika wa huu mfumo wa kishenzi uliopo sasa?
Tulia tumia zilizopo mpaka tutakapopata mbadala. Usituchoshe
 
Hapa tunaongelea TRA kujikita kwenye matumizi ya teknolojia, kama hauko huko au hujui chochote kuhusiana na teknolojia inavyofanya kazi, unawashwa washwa na nini Mkuu?
Tulia tumia mfumo uliopo mpaka mbadala utakapopatikana.
 
Back
Top Bottom