Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

Hizi mashine ni miradi ya watu na kamwe hata ukiwapelekea haya mawazo hakuna jipya watafanya ,wapo kiupigaji zaidi jana tu huku kijijin hawa jamaa wa TRA wametimba kuwataka wafanya biashara kununua hizi wakaacha na zile barua zao kuwa ndani ya siku 14 kila anayepaswa kuwa na mashine basi awe nayo.So wadau wanafikiria hyo laki 5 inapatkana vip
 
Hello mkuu, nitapataje hii site ya hii alert please
 
Back
Top Bottom