muhogomtamu
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 412
- 69
Ndugu wanajamvi,
Binafsi nakerwa sana na ninaposimamishwa na traffic kisha kuombwa leseni, kadi ya gari na wakienda sana ni fire extinguisher na triangle! vitu hivi ni muhimu kuwa navyo na hasa ni kwa usalama wa mmiliki wa gari.
Hainiingii akilini kama mimi mtu mzima natoka na gari yangu umbali mrefu naingia barabarani mwenyewe halafu sijithamini usalama wangu! nikishamuonesha kadi ya gari, ama leseni, yeye kikazi inamsaidia nini?!
Fire extinguisher siku hizi lazima ulipie kupitia re-licensing, sasa kwa nini watu hawa huulizia hii kitu, utakuwa mwendawazimu kiasi gani ulipie fire extinguisher kisha uishie kutokuwa nayo?
Napata maswali mengi sana juu ya taaluma hii, ndivyo maelekezo ya kazi yao au WANAPASWA KUELIMISHA JUU YA USALAMA BARABARANI?!
Wanajamvi naomba anayefahamu sana mambo haya anielimishe, I am tired, karibu napaki gari zangu, nianze kutembea kwa baskeli. asanteni.
Binafsi nakerwa sana na ninaposimamishwa na traffic kisha kuombwa leseni, kadi ya gari na wakienda sana ni fire extinguisher na triangle! vitu hivi ni muhimu kuwa navyo na hasa ni kwa usalama wa mmiliki wa gari.
Hainiingii akilini kama mimi mtu mzima natoka na gari yangu umbali mrefu naingia barabarani mwenyewe halafu sijithamini usalama wangu! nikishamuonesha kadi ya gari, ama leseni, yeye kikazi inamsaidia nini?!
Fire extinguisher siku hizi lazima ulipie kupitia re-licensing, sasa kwa nini watu hawa huulizia hii kitu, utakuwa mwendawazimu kiasi gani ulipie fire extinguisher kisha uishie kutokuwa nayo?
Napata maswali mengi sana juu ya taaluma hii, ndivyo maelekezo ya kazi yao au WANAPASWA KUELIMISHA JUU YA USALAMA BARABARANI?!
Wanajamvi naomba anayefahamu sana mambo haya anielimishe, I am tired, karibu napaki gari zangu, nianze kutembea kwa baskeli. asanteni.