Mimi na wewe tunawaza kitu kimoja, lakini alipopigwa risasi alikuwa amebaki na bunduki moja na inawezekana alikuwa na ile bastola yake bado.
Baada ya kumpiga na kudondoka, cha kwanza kabisa ni kuchukua silaha yake kama yule askari alivyofanya, lakini pia ilitakiwa kumgeuza na kumsearch kama ana bastola au vitu vingine vya kudhuru na kuvichukua.
Baada ya kujiridhisha jamaa hana threat tena, unatakiwa kucheck kama yupo hai, na kama yupo hai, polisi wanatakiwa wafanye wafanyavyo jamaa aishi ili atoe taarifa kamili.