Kwanini tukio liwe karibu na Ubalozi wa Ufaransa?

Ninachoelewa mimi, hata mtu awe mlenga shabaha vipi, kulenga mtu anayetembea ni kazi kubwa na hasa unapolenga na kujibanza kwa kuibia.
Hamna kazi yoyote mkuu..
Kila kitu kina mafunzo hata wadunguaji wanafundishwa kupiga target inayotembea...we kimbia hata speed ya filbet bayo ila uta kutana tu na risasi. Sembuse huyo anae tembea tembea kwa kunyata.
 
Askari wa Africa hawa heshimu wahai wa watu, kwaza kulikua hamna haja ya kumumiminia lisasi nyingi mtu tayari kasha pingwa chini, askri wetu wanakosa uledi na professionalism.
Yah kabisa mkuuu, japo nadhani walikuwa wanazuia secondary threat ndiyo maana wakawa wanamuongeza risasi.

Secondary threat hutokea iwapo mnadhani mtu amekufa ilhali kumbe anawalia timing msogee ili achomoe bastola awamalize.
 
Mkuu yule jamaa alikuwa na AK mbili na alishaua watu kadhaa, unawezaje kuwaza unayowaza? Taarifa zitapatikana tu
Mimi na wewe tunawaza kitu kimoja, lakini alipopigwa risasi alikuwa amebaki na bunduki moja na inawezekana alikuwa na ile bastola yake bado.

Baada ya kumpiga na kudondoka, cha kwanza kabisa ni kuchukua silaha yake kama yule askari alivyofanya, lakini pia ilitakiwa kumgeuza na kumsearch kama ana bastola au vitu vingine vya kudhuru na kuvichukua.

Baada ya kujiridhisha jamaa hana threat tena, unatakiwa kucheck kama yupo hai, na kama yupo hai, polisi wanatakiwa wafanye wafanyavyo jamaa aishi ili atoe taarifa kamili.
 
Wewe unafikiri mtu mweneye tatizo la akili hawezi kutembea, kukaa, ama kuzungumza. Kubambikia watu kesi, kutesa wengine, kutumia madaraka vibaya kwa kuwatuma watu kwenye kuua wapinzani wako, kupoteza watu, hayo yote ni matatizo ya akili. Kama akili yako haina matatizo hauwezi kufanya hayo mambo.
 
Kwa kweli hata mimi nakubaliana na wewe yule yuko mentally disturbed. Nimeangalia picha yake kuna mtu amepost sehemu amevaa viatu tafauti kwenye miguu yake. Hiyo peke yake ni ishara ya kuchanganyikiwa.
 
Angalia ile clip baada ya kuanguka, kuna askari alienda kumgusa shingoni, then rudi tuendelee
 
Hii inatakiwa iwe kazi kubwa kwa raia asie kuwa na mafunzo ya silaha,haitakiwa kuwa kazi kwa polisi waliokua trained
Mimi ninaomba siku moja uende range halafu upande gari inayotembea na upewe target. Kaka ni ngumu.

Ndiyo maana hawa jamaa wanatakiwa kufanya mazoezi kila mara.
 
Mbona picha zinasambaa jamaa wa kishua sana ndo maana anamiliki piston.
NB: alikuwa na hasira za Tozo.
 
Well said mbao za mawe imagine hao jamaa wangekuwa watano ingekuwa ni gharika aisee
 
Tatizo mishahara midogo ya polis na njaa zinawafanya wawe na stress za maishaaa mwambie mama Samia awaongezee pesa, polisi wengi njaa wamekonda na wamepauka midomo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hawana njaa bana muda wote wananuka rushwa
 
1. Angekuwa Hana akili timamu asingeweza kupiga risasi yule jamaaa aliyemfuata kwenye kibanda
2. Angekuwa Hana akili timamu angeua raia hovyo kwenye daladala, magari binafsi na bajaji..lakini yeye shida yake ilikua ni Askari tu
Yale ya Kibiti yanaanza kutokea mjini kati.. wapanda treni na daladala mu/tuwe makini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…