Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
Hakuna STRATEGY nzr waliyotumia... Polisi wetu wametuangusha.. kipindi yupo ktk kibanda ndio angekamatwa kama KUKU.. palee ndio alikuw kashajiweka sehem sahihi kumkamata akiwa HAI.Ninachoelewa mimi, hata mtu awe mlenga shabaha vipi, kulenga mtu anayetembea ni kazi kubwa na hasa unapolenga na kujibanza kwa kuibia.
Nakupata, lakini pia kumbuka pale kwenye kibanda kuna askari alijaribu kumfikia na kumpiga risasi kwa bastola lakini kwa bahati mbaya yule askari akapigwa risasi ya mguu au kiuno ( sina uhakika).Hakuna STRATEGY nzr waliyotumia... Polisi wetu wametuangusha.. kipindi yupo ktk kibanda ndio angekamatwa kama KUKU.. palee ndio alikuw kashajiweka sehem sahihi kumkamata akiwa HAI.
Kama kweli jamaa ni gaidi, basi kiuhalisia jamaa ana moyo mzuri. Sijui kilichombadilisha ni kitu gani mpaka akawa hivyo. Kwa sababu angependa angeuwa watu wengi zaidi.
Sas ile sio strategy ya kumkamata ADUI ule ni upuuzi.Nakupata, lakini pia kumbuka pale kwenye kibanda kuna askari alijaribu kumfikia na kumpiga risasi kwa bastola lakini kwa bahati mbaya yule askari akapigwa risasi ya mguu au kiuno ( sina uhakika).
Ila naanza kuamini jamaa sio gaidi, kwa sababu angependa kumumaliza yule askari aliyempiga mguu angefanya hivyo.
...Kweli Mkuu, nilidhani pia kwa jinsi njemba ilivyokuwa ikitamba pale katikati ya Barabara Askari wetu walipaswa kumpiga risasi ya mguu ili awe Hai wakamuulize vizuri kulikoni???Ukiangalia video ile vizuri inaishiria kwamba jamaa alikua na tatizo la akili, yule sii gaidi hamna gaidi wa namna hiyo, angekua gaidi zaidi ya police 10 wangekufa pale kwanza hawana shabaha mtu iko kati kati ya barabara peke yake bila kizuizi chochote wanapiga lisasi zaidi ya 20 na mnamkosa askari zaidi ya 30.
Ilipashwa iwe hivo kulikua hamna haja ya kuua raia asie jua hata basic skill za military za ku-take cover and position, police wetu wanakosa uweledi ethics za police, police lazima awe civil..........Kweli Mkuu, nilidhani pia kwa jinsi njemba ilivyokuwa ikitamba pale katikati ya Barabara Askari wetu walipaswa kumpiga risasi ya mguu ili awe Hai wakamuulize vizuri kulikoni???