Kwanini Tumaini Kweka afanya majukumu ya Mwendesha Mashtaka wa Mkoa na Wilaya katika kesi za Sabaya? Je, ana maslahi binafsi?

Kwanini Tumaini Kweka afanya majukumu ya Mwendesha Mashtaka wa Mkoa na Wilaya katika kesi za Sabaya? Je, ana maslahi binafsi?

Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
Kwa nyuzi hizi mnaweza mkawa mnampeleka kubaya zaidi Ole Sabaya. Mngetulia tu Mungu ndiye Mwamuzi wa haki.
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
Mwisho umeaharibu ingawa sabay ametenda makosa ila kweka Yuko front Sana kuahakikisha jamaa anafungwa napata mashaka sana
 
Mwisho umeaharibu ingawa sabay ametenda makosa ila kweka Yuko front Sana kuahakikisha jamaa anafungwa napata mashaka sana
Kweka yuko mbele kwa Sabaya. Je watenda mabaya Tanzania ni Sabaya tu? Mbona hatumuoni kwa wengine?
 
Kwanza mtoa hoja umekuwa biased. Umeona Kweka ni mkosaji na sabaya ni mtakatifu. Pia umewahukumu wachaga ni wezi wauza madawa lakini Sabaya mtu mwema. Sitaki kusema sana ila

Jiulize wauza unga nchi hii ni wachaga? Mbona wanaokamatwa mara kwa mara sio wachaga?

Je wachaga wanamagenge ya uhalifu, na ikawaje hata magufuli alishindwa kuwakata na kuwafunga? Au kuyamaliza hayo magenge?

Propaganda hizi za kuchafua makundi ya watu hasa wachaga kama kabila ni mbegu mbaya sana ya ubaguzi na inaota mizizi na kukomaa kuna siku tutavuna matunda yake, tutagundua tumechelewa.

Rai yangu tuache dhambi hii ya ubaguzi wa kikabila au ukanda maana tayari imeshaleta mpasuko. 2025 tutaona baadhi ya matunda yake ndani na nje ya vyama.
 
kwani wewe unawashwa nini huyu DPP kuwepo ktk kesi hizi?
Huoni kuwa anafuatilia haki ?
Kwani DPP ndie anafunga watu?
Nahisi wewe ni mfaidika wa ujambazi wa huyu shetani na mwendawazimu
 
Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?
Eboo🙄
Kwa hiyo mwizi akikamatwa anaiba asiadhibiwe kwa kuwa tu kuna wezi wengine waliiba hawakukamatwa?!!!

Hakuna asiyejua kuwa Sabaya ni mhalifu.. Au wewe ni mshirika wake?!

Wacha mahakama ifanye KAZI yake. Akikutwa Hana hatia ataachiwa tu
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
NAIBU DPP HANA KITUO MAALUM ANAENDA POPOTE
SABAYA NI MUUAJI JIZI NA MTEKAJI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Sasa hao wauza madawa ya kulevya,wezi wa magari walioshughulikiwa sabaya mbona hatukuwaona akiwapeleka mahakamani?Au ndio utaratibu kuwa walitakiwa kushughulikiwa na sabaya nje ya mahakama?
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
Serikali haifanyi kazi kama familia yako. Wacha kulialia. Lil.e Jambazi Sabaya lijililie nafsi yake. Jela ni mahali Salama kwake, uraiani na maadui wengi.
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
 
Huyo kweka ni shetani anayeonea wazalendo.

Na kuwapigania wafanyabiashara wakwepa kodi na majambazi ya moshi yanayoiba magari kenya na kuleta Tanzania.
 
Ungeuliza hayo maswali kwenye kesi ya Mbowe
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
Sorry siwatetei nanwala siko upande wa mtu yoyote.
"Pia wengi wanao mlalamikia ni wachaga na mbowe"

Sabaya alikuwa mkuu wa wilaya eneo linalokaliwa na wachaga. Unachoshangaa hapo ni nini?
Kuhusu mbowe sijui
 
Ni wazi Kweka ana maslahi binafsi. Kwanza ni mmachame, anawapambania wamachame wenzake wenye malalamiko dhidi ya Sabaya.
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
Sukuma gang mtakufa kwa pressure.
 
Back
Top Bottom