Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,203
- 5,997
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aka former returning officer. Alikuwa DED huyu, ndiye aliyekuwa anafokewa na Jerry Muro kule ArumeruMkurugenzi wa kinachoitwa tume ya taifa ya uchaguzi ni kada mtiifu wa CCM na JPM.
Mkuu Zygot bado una safari ndefu ya kuelewa haya mambo. Hakuna hata nchi moja iliyo endelea ambayo haina katiba. Nchi kutawaliwa na dikiteta haina maana nchi hiyo haina sheria. Britain ina constitution siyo kama unavyofikiria na zote Japan na Korea zote mbili zina katiba zao. Na popote penye katiba pana sheria. Ni dhahiri wewe huijui dunia. Bado una nafasi ya kujifunza haya mambo, kusoma sayansi isiwe sababu ya kutojua haya mambo.Kwa hiyo unaamini bila sheria hakuna usalama, maliasili hailindwi, n.k. Vipi nchi zilizoendelea na hazina hata Katiba ya nchi? Ni wajinga? Vipi Japan iliyoendelea chini ya dikteta? Vipi Korea iliyoendelea chini ya dikteta. Usiwe mtumwa wa kukariri vifungu, dunia huijui!
Yapi? Maendeleo yapatikane kwa kurekebisha sheria! Ipi hiyo? Mwambie atoe ahadi za sayansi na teknolojia, Mwanbie atoe ahadi za elimu bora kwa kila mtu. Sheria, sheria, sheria, nonsense!
Utafiti! Nani afanye utafiti? Mnyika, no! Lissu, no! Msigwa, no! Mbowe, no! Nyarandu, no! Nawataja hawa ili usijiaminishe kwamba kila unachohisia ni utafiti.Wana JF wenzangu wakubwa kwa wadogo, kuna kitu kinaitwa Environmental research, utafiti wa kimazingira. Watu wanaoishi na makada wa ccm wamethibitisha hali hii ambayo haijawahi kutokea ndani ya chama cha mapinduzi, kuwa takribani kila kada wa ccm ndani ya dakika tano anamfikiria Tundu Lissu eidha kwa mabaya au mema.
Hakuna hata kada yoyote wa ccm ambaye ameweza kukaa kwa muda mrefu bila kumuwazi Tundu Lissu. Mjomba wangu ambaye ni kada maarufu na mfia ccm amedai kuwa Tundu Lissu anamsababishia presha maana akimuwazia tu moyo unashituka, hivyo anamkosesha raha maana ana wasi wasi na jinsi anavyoungwa mkono na watu wengi. Mbaya zaidi ni pale anapoona baadhi ya makada wenzake kumuongelea vizuri kwamba Tundu Lissu ni msafi na ndiye anayemkabili Mh. Magu vilivyo.
Baba yangu mdogo yeye ni kada mtiifu wa CCM lakini wanatofautiana sana na mjomba wangu kwa kumuwaza Lissu kila mara kama mkombozi na mwenye uthubutu wa kumsema Mh.Magu bila kuogopa, maana baba mdogo anasema kuwa Magu anafanya kazi vizuri lakini ana kauli na kiburi cha kufikiri yeye ndio mtanzania anayejua mambo yote kuliko wengine na mwenye uchungu kuliko wote kitu ambacho anasema siyo kweli. Jambo lingine baba mdogo anasema ndani ya ccm wapo watu wengi ambao wanampenda Lissu kwa sababu hana tuhuma halafu amekuwa akitetea rasilimali na wananchi siku zote. Utafiti wa kimazingira umeonyesha makada wa ccm wanamuwazia Lissu sana kila baada ya 1-5 hadi tano lazima wafanye hivyo.
Hitimisho ni kwamba hakuna aliyetarajia ndani ya chama cha mapinduzi kama angetokea mtu yeyote katika uchaguzi huu ambaye angeweza kuleta changamoto kama Lissu anavyofanya leo. Kila mmoja alitarajia kuwa ccm isingeweza kutumia nguvu kubwa kunadi mgombea wao, ila mambo yamekuwa tofauti na matarajio. Hali ilivyo sasa inatisha maana kuna wasi wasi kwamba Lissu anaweza kuchukua nchi ndio maana imeanza kutumika nguvu kubwa ya vyombo vya dola na tume ya uchaguzi. Kumbuka mwanzoni mwa kampeni, mgombea wa Urais ccm alidai picha za mafuriko ya Lissu ni za 2015, makada wengine wakasema ni zakuedit, leo wanadai wanaofurika kwa Lissu siyo wapiga kura maana hawajaandikishwa. Lissu makada wa ccm wanakuwaza sana.
Kusoma sheria na historia isiwe sababu ya kutojifunza sayansi! Najua ni ngumu sana lakini komaa tu! Machache utakayovuna yatakufaa. Angalau ujue kwa nini mkojo wako una rangi tofauti na maji unayokunywa.Mkuu Zygot bado una safari ndefu ya kuelewa haya mambo. Hakuna hata nchi moja iliyo endelea ambayo haina katiba. Nchi kutawaliwa na dikiteta haina maana nchi hiyo haina sheria. Britain ina constitution siyo kama unavyofikiria na zote Japan na Korea zote mbili zina katiba zao. Na popote penye katiba pana sheria. Ni dhahiri wewe huijui dunia. Bado una nafasi ya kujifunza haya mambo, kusoma sayansi isiwe sababu ya kutojua haya mambo.
Wewe piga Kura matokeo tuachie sisi,Mwaka huu tushawaandalia chungu yao.Tunasema kila siku humu hamuelewi[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119],huu uchaguzi ni geresha tu,nyie mnashupaza shingo,eti ni yeyeee[emoji23][emoji23]!!.hata hakuna haja ya kupiga kura.wastage of time ...
Wakuu mimi si mtaalamu sana wa sheria lakini najaribu kujiuliza maswali machache.
1. Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Kupitia mkurugenzi wake) inajaribu kujibu na kukanusha tuhuma kwa mgombea fulani. Si ilipaswa yeye mwenyewe au waenezi wa chama kama akina polelepole wafanye hiyo kazi?.
2. Je, Mkurugenzi anavosema mgombea A anapotosha umma na kuwadhihaki wengine, je hiyo kauli yake kuwa kuna watu watapeleka madini nje kwake haoni kama ni tuhuma pia.
Na hii imesemwa na mgombea anaye mtetea, haoni kama ni kitu kilekile anachokataza upande wa pili?
3. Anavosema Watanzania wanataka A,B,C, hawataki E,F,G ni lini alikaa na Watanzania wakamwambia hayo. Je anaweza kuthibitisha hayo mahakamani.
4. Je, uvunjaji wa taratibu unaofanywa na baadhi ya Wagombea ubunge, mfano anayetoka nje ya jimbo lake kumnadi mgombea urais wa chama chake (kazi iliyopaswa kuwa ya mgombea mwenza) hayo haoni kama ni ukiukwaji wa taratibu?
Nawasilisha
Naona umetoka kabisa nje ya mada ya msingi. Kwa taarifa tu taaluma yangu ni biomedical sciences yangu na nikatop na degree ya social sciences. Hivyo naongelea from an informed position.Kusoma sheria na historia isiwe sababu ya kutojifunza sayansi! Najua ni ngumu sana lakini komaa tu! Machache utakayovuna yatakufaa. Angalau ujue kwa nini mkojo wako una rangi tofauti na maji unayokunywa.
Wale wengine wanaotumia pesa za umma kama za kwenye wallet zao hadi kuamua kujijengea kiwanja cha ndege kwao kwani wenyewe ni bunge.Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?
Wakuu mimi si mtaalamu sana wa sheria lakini najaribu kujiuliza maswali machache.
1. Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Kupitia mkurugenzi wake) inajaribu kujibu na kukanusha tuhuma kwa mgombea fulani. Si ilipaswa yeye mwenyewe au waenezi wa chama kama akina polelepole wafanye hiyo kazi?.
2. Je, Mkurugenzi anavosema mgombea A anapotosha umma na kuwadhihaki wengine, je hiyo kauli yake kuwa kuna watu watapeleka madini nje kwake haoni kama ni tuhuma pia.
Na hii imesemwa na mgombea anaye mtetea, haoni kama ni kitu kilekile anachokataza upande wa pili?
3. Anavosema Watanzania wanataka A,B,C, hawataki E,F,G ni lini alikaa na Watanzania wakamwambia hayo. Je anaweza kuthibitisha hayo mahakamani.
4. Je, uvunjaji wa taratibu unaofanywa na baadhi ya Wagombea ubunge, mfano anayetoka nje ya jimbo lake kumnadi mgombea urais wa chama chake (kazi iliyopaswa kuwa ya mgombea mwenza) hayo haoni kama ni ukiukwaji wa taratibu?
Nawasilisha
Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?
umesema MtanzaniaTume walishamuandaa mshindi wao Sasa hili nyomi hawakulitegemea pili kule kuna Robert Amsterdam kiboko ya madikteta ya afrika ana file case moja kwa moja the Hague, mabeberu wamechoka kuhudumia wakimbizi wasababishwao na hii midikteta iliyokosa malezi Bora utotoni.
Hajui kuwa Yohana hakuwa Nabii yule wala Masihi ?Mkurugenzi anamtetea YOHANA aendelee kunywa POMBE....,
Mkurugenzi wa Tume yuko sahihi anayajua mahitaji ya Watanzania, Usijilinganishe na Mkurugenzi wa tume ya Uchaguzi eti nani alimwambia hayo, yeye anavyo pia vyanzo vingi vya taarifa na mimi niko tayari kusimama Mahakamani kama shahidi wa Mkurugenzi wa Tume kutetea hayo mahitaji ya Watanzania aliyoyataja Mkurugenzi wa Tume. Mgombea anasimama na kujinadi eti nitawaletea uhuru wa kujieleza, kwani uhuru huo haupo? Mbona hapa tunajieleza. Eti nitawakomboa, anatukomboa kwa jambo lipi wakati Tanganyika tulishaikomboa nchi yetu tangu 1961. Eti nitaleta maendeleo ya watu na siyo vitu. Kwa akili ya kawaida huwezi kutenganisha maendeleo ya watu na maendeleo ya vitu. Mgombea huyo huyo akajisahau alipokuwa Iringa akaahidi kuwajengea wanakiki barabara, tukajiuliza kwamba hizi risasi za paja alizopigwa na genge lake zimemuathiri hadi ubongo maana anapoteza kumbukumbu kwamba hataki barabara zijengwe lakini leo hii anaahidi kujenga barabara. Mitano tena kwa Magufuli na baada ya hiyo mitano tunamuongezea bonasi ya mingine mitano