Kwanini tumeamua kurejea Dar saa 7 za usiku kutokea tulikofungwa na Ihefu FC jana, wakati awali tulipanga kurejea 'Kimadaha' saa 4 asubuhi leo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Sasa na wale Waandishi wa Habari na Mashabiki wenu mliokuwa mmewaandaa (kwa Kuwalipa kama kawaida yenu) mkiamini kuwa Jana mngevunja mwiko pale Highland Estates Mbarali mmewapa au mtawapa majibu gani?

Hatutakatai kuwa katika Mpira Kufungwa ni Jambo la Kawaida ila GENTAMYCINE na Wadau wengine wa Soka tunajiuliza ni kwanini Wewe anayekufunga na Kukutesa kila wakati tena Kwake ni huyo huyo na kwa idadi ile ile ya Magoli?

Kudadadeki......!!
 
Asikwambie mtu kitu Mkuu, kufungwa kunauma.

Maana stori yao kubwa ilikuwa ni unbeaten, maana walishaanza kujilinganisha na Barcelona.

Sasa itabidi wajifungie ndani kulia hadi uchungu uwaishe 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…