Haitakusaidia chochote sisi tunataka tuwaachie Watoto wetu na Wajukuu Nchi ya Kidemokrasia na yenye kujali HAKI za BINADAMU.Sawa ila Polisi wamenifurahisha Kwa kuwashikisha adabu,Sasa hivi wanaimba wimbo mmja hii hapa
Kwahiyo mtu akikamatwa uwanja wa ndege kafanya vurugu? Unamfungulia kesi gani? Si usubiri afanye vurugu ndipo umshtaki kwamba kafanya vurug? Yule aliyetamka kupoteza watu kule Kagera alishafunguliwa mashtaka? Aliyetangaza kwamba kura zina matokeo matatu alishaitwa kuhojiwa? Watu wa leo siyo wa mwaka 47.Kutaka kuitisha maandamano ya vurugu Kwa nini? Polisi shikilieni hapo hapo Kwa sababu Chadema wamechoka na uhuru
Usijitoe ufahamu,alikuwa anaenda kuhamasisha nini? Polisi si iliwazuia wakasema wataenda Ili wakamatwe pamoja au?Kwahiyo mtu akikamatwa uwanja wa ndege kafanya vurugu? Unamfungulia kesi gani? Si usubiri afanye vurugu ndipo umshtaki kwamba kafanya vurug? Yule aliyetamka kupoteza watu kule Kagera alishafunguliwa mashtaka? Aliyetangaza kwamba kura zina matokeo matatu alishaitwa kuhojiwa? Watu wa leo siyo wa mwaka 47.
Hakuna mwananchi anayeona kuna tishio au hali isiyo ya kawaida kwenye siasa. Ila viongozi wa kisiasa ni kama wamepaniki.
Pamoja na mikutano yote waliyofanya bado nafsini mwao wanaamini wananchi wana njaa na wakiruhusiwa kuonyesha njaa zao kura zitapungua.
Je makatazo haya hayapelekei kuathiri uchumi mpana wa nchi? Je, wanaonufaika na huu mvurugano wanania njema au wanalenga lao lakuwatisha watawala ili wao waendelee kupewa respects?
Tukumbuke hapa ndipo uzaliwa bajeti kubwa ya ulinzi wa RAIA na ununuzi wa magari ya washawasha......let us think twice
Cdm hawana sababu ya kuwa makondoo. Makondoo wabaki mazombie wasiojitambua.Kutaka kuitisha maandamano ya vurugu Kwa nini? Polisi shikilieni hapo hapo Kwa sababu Chadema wamechoka na uhuru
Polisi wanazuia haki za wananchi zilizoko kikatiba wao kama nani?Usijitoe ufahamu,alikuwa anaenda kuhamasisha nini? Polisi si iliwazuia wakasema wataenda Ili wakamatwe pamoja au?
Ndio wamekamatwa Tulieni Sasa.Mkaidi ......
Sawa Kwa hiyo chorus ya free our leaders inatoka wapi? ππCdm hawana sababu ya kuwa makondoo. Makondoo wabaki mazombie wasiojitambua.
Haki za kutaka kuleta vurugu lazima zizuiliwe.Polisi wanazuia haki za wananchi zilizoko kikatiba wao kama nani?
Hicho ndio tunachokitaka, sio utapeli wa 4r's huku ukitakiwa kujinyenyekeza ili kupata haki yako.Sawa ila Polisi wamenifurahisha Kwa kuwashikisha adabu,Sasa hivi wanaimba wimbo mmja hii hapa ππππ
View attachment 3067875
πππππ¨Hicho ndio tunachokitaka, sio utapeli wa 4r's huku ukitakiwa kujinyenyekeza ili kupata haki yako.
Kwani shughuli zote zinazofanywa na wengine wananchi wote huwa wanajihusisha nazo? Kuleta vurugu kwa tafsiri ya kiccm. Hizo siasa za kujinyenyekeza bakini nazo nyie mnaotegemea hisani za majizi ya kura.Haki za kutaka kuleta vurugu lazima zizuiliwe.
Pili raia wanaendelea na mishe zao ndio maana hawajihusishi na nyie wahuni
Ni haki yetu, ama ulitakaje?Sawa Kwa hiyo chorus ya free our leaders inatoka wapi? ππ
Kwani na Zanzibar mikutano imezuiliwa? maza anaharibu amani ya bara sababu siyo kwaoHakuna mwananchi anayeona kuna tishio au hali isiyo ya kawaida kwenye siasa. Ila viongozi wa kisiasa ni kama wamepaniki.
Pamoja na mikutano yote waliyofanya bado nafsini mwao wanaamini wananchi wana njaa na wakiruhusiwa kuonyesha njaa zao kura zitapungua.
Je makatazo haya hayapelekei kuathiri uchumi mpana wa nchi? Je, wanaonufaika na huu mvurugano wanania njema au wanalenga lao lakuwatisha watawala ili wao waendelee kupewa respects?
Tukumbuke hapa ndipo uzaliwa bajeti kubwa ya ulinzi wa RAIA na ununuzi wa magari ya washawasha......let us think twice